Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

LUTENI Kanali Coelestine Seromba aneyedaiwa kutoroka ndani ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), bado hajulikani alipo hadi hivi sasa. Msemaji wa JWTZ, Meja Erick Komba ameliambia gazeti hili...
1 Reactions
81 Replies
22K Views
Rais wa 45 wa Marekani, Donald J Trump ni moja ya binadamu wenye mafanikio sana duniani, japo kisiasa watu wanaweza kumbeza lakini huyu ni mtu ambaye anajua maana ya mafanikio, wakati wa mahojiano...
69 Reactions
119 Replies
16K Views
''Usipoteze machozi ya leo kwa huzuni ya jana, dhambi ya zamani inatupa kivuli kirefu" ................................................................................... Kisiwani Throne...
2 Reactions
2 Replies
283 Views
Special thread for discussing espionage business and other closely related issues: Bila shaka wote mu wazima wa afya humu JF. Kama ambavyo heading inavyojielezea hapo juu ni swali nililokuwa...
39 Reactions
893 Replies
176K Views
OPERATION BARRACUDA: "MISSION HATARI ZAIDI YA KIJASUSI KUFANYIKA AFRIKA" ILIYOSUKWA KUTAMATISHA MAISHA YA PATRICE LUMUMBA, NA KUZIMA NDOTO YA KILE KILICHOITWA MUSTAKABALI WA KONGO. Na. Comred...
51 Reactions
62 Replies
18K Views
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
115 Reactions
160 Replies
33K Views
Kupotea kwa mwanasiasa Ben Saanane takribani miaka miwili iliyopita pamoja na kupotea kwa mwanahabari Azory Agwanda mwaka mmoja uliopita,kuliwashtua Watanzania walio wengi na kuibua minong'ono juu...
72 Reactions
145 Replies
41K Views
USHINDI WA KAMARI: Hii ni spell rahisi itakayo kufanya ushinde michezo mbalimbali ya kamari. lakini kumbuka kuwa kamari ni michezo mibaya na haramu lakini watu wamejikuta wakicheza na kulazimika...
35 Reactions
517 Replies
132K Views
Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU. Lakini utungaji wa...
21 Reactions
316 Replies
13K Views
  • Poll Poll
INTRO Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa maisha kiujumla una maswali mengi sana abayo hayana majibu kamili...
88 Reactions
7K Replies
322K Views
Nawasalimu wote wanajukwaa,leo nataka tujifunze silaha kuu tano zinazotumika katika ulimwengu wa kiroho. Kama wengi tunavyojua kuwa katika ulimwengu wa kiroho kuna falme kuu mbili,falme ya kwanza...
138 Reactions
3K Replies
387K Views
Hello peoples.. Hebu tujisaule hapa kwa kuchanganya maarifa juu ya UTUPU kwenye ulimwengu, swali la msingi ni kuwezekana kwa hali ya utupu, namaanisha hivi mpaka sasa binadamu na teknolojia yake...
9 Reactions
48 Replies
2K Views
Hatimaye leo wapinzani wamefanya kile ambacho wamekuwa wakikitishia mara kwa mara kuwa wanawajua kwa majina vigogo wa ufisadi.Wamewataja kwa majina. Habari zitafuatia... Top Level embezzlement...
2 Reactions
1K Replies
172K Views
Mfahamu J. Edgar Hoover kachero aliyeogopeka zaidi katika historia ya Marekani. 1. Jina lake halisi ni John Edgar Hoover lakini alipenda kujulikana zaidi kama J. Edgar Hoover. Ni Kachero...
147 Reactions
221 Replies
58K Views
Kumekucha baadhi ya maeneo lakin kwingineko bado ni usiku na kwingineko inaelekea mchana, Katika kazi zangu nimepata bahati ya kukutana na dada mmoja jina ntamuita code name MNBQX Huyu dada...
22 Reactions
139 Replies
31K Views
Wahuni wa huku wana maneno mengi kuliko vitendo Wahuni hawajiheshimu Wahuni wanaomba mungu awalinde Wahuni wengine wanatutishia kwamba tutaona, vipi kumbe tulikuwa hatuoni au mmelenga...
1 Reactions
4 Replies
292 Views
Kwa jinsi unavyozidi kuficha jambo ndivyo ivyo linavyo zidi tamanisha watu lifwatilia,,,wengi wetu tupo radhi kuficha siri kubaki nayo moyoni mpaka siku ya kufa,,,,, maana ikitokea imevuja tuu...
26 Reactions
42 Replies
14K Views
Wakuu hii nimeikuta kwenye mtandao wa RWANDA hapo chini, kama unaona haina maana achana nayo. TANZANIA-RWANDA: SILENT WAR IN TANZANIA After Tanzania sent many Rwandan Tutsis back in Rwanda for...
4 Reactions
92 Replies
19K Views
Mawingu ni mkusanyiko wa Molekuli au Mvuke fuwele utokanao na maji au kemikali mbalimbali, unaelea angani juu ya uso wa dunia. Suratul Nur 24:43 Je! Huoni ya kwamba m/mungu huya sukuma...
20 Reactions
403 Replies
5K Views
Kuna tetesi kuwa ushindi wa rais wa sasa wa Burundi umefifilisha ndoto ya wahima wote wanaoishi katika ukanda wa maziwa makuu ya kuhakisha kuwa nchi zote za ukanda huu zinatawaliwa na wao. Ili...
5 Reactions
73 Replies
61K Views
Back
Top Bottom