Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

JE WAJUA ULIMWENGU UKUPAO KILA KITU UTAKACHO KATIKA KANUNI ASILI YA MAUMBILE? - SEHEMU YA PILI Leo katika mwendelezo wa mada hii, tutaangazia Kanuni nyingine ya Hermes. Katika sehemu ya kwanza...
9 Reactions
8 Replies
1K Views
Kila nikifatilia historia juu ya majengo makubwa na yenye stori lukuki pale Egypt, yani pyramids napata mashaka ya nini kinachoendelea. Hususani kumekuwa na stori tofauti tofauti lakini bado...
37 Reactions
132 Replies
6K Views
Huu ni mfano wa sanduku la agano ambalo wana wa Israel waliambiwa watengeneze na Mussa wakiwa nyikani wakitoka Egypt (Misri) wakielekea promised land (Nchi ya ahadi). Sanduku hilo lilikuwa ni kama...
15 Reactions
168 Replies
34K Views
PART-1 "Mapambano tunayowaitia hayana mahusiano na mijadala ya Socrates wala mawazo ya plato wala diplomasia za Aristotle. Yana mahusiano na mijadala ya mauaji, ulipuaji na uharibifu.Serikali ya...
21 Reactions
46 Replies
12K Views
Watu wachache kabisa na wamiliki wa kampuni chache tu, lakini kampuni kubwa mno duniani, watu hao nyuma ya kampuni hizi wanafanya kila wawezalo usiku na mchana kumiliki kila punje ya mbegu iliyopo...
30 Reactions
74 Replies
17K Views
Upo usemi kuwa maisha ni kama Gwaride wa kwanza anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho akawa wa kwanza hii yote inategemea gwaride limeamrishwaje Wiki tatu zilizopita update ni kuwa Martin Mkisi...
22 Reactions
523 Replies
82K Views
Mungu wa Israel, Mungu Allah, Mungu wa wabudha, Miungu ya kale pale misri, Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo hai. Ukweli mchungu ni...
14 Reactions
344 Replies
15K Views
Waandishi wa habari undercover wanajifanya kuwa majambazi wenye dola bilioni moja za pesa chafu zinazohitaji kusafishwa. Wanapata upenyo kwa wanachama wa Afrika wa Gold Mafia na kurekodi mikutano...
14 Reactions
160 Replies
26K Views
Habari nilipata hivi punde kutoka huko Nyamongo, TARIME, Kuna mapambano kati ya jeshi la polisi na Intruders (raia wanaotaka kuingia kwa nguvu) kwenye mgodi huo. Na hadi sasa inasemekana...
2 Reactions
95 Replies
11K Views
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
63 Reactions
1K Replies
355K Views
Mfalme OG anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati i.e uislam,ukristo na uyahudi.... Inaelezwa alikuwa ni mfalme aliyetawala eneo la Canaan (palestina/israel ama jordan ya...
55 Reactions
780 Replies
164K Views
Mkapa ambaye kipindi hicho alikua ndiye Rais wa JMT alilitangazia Taifa kuwa Mwalimu Nyerere ameaga dunia katika hospitali ya St Thomas huko Uingereza ila kwa uhalisia Mwl alifariki siku nyingi...
2 Reactions
169 Replies
38K Views
Nianze na salamu za mwaka huu wa 2024 kwa wanajukwaa wote,nilibanwa kidogo na shughuli nyingi mwaka huu ila sasa nimerudi tena jukwaani. Tunaanza; Tambua kuwa nafsi ndiyo sehemu ya mtu iliyobeba...
61 Reactions
444 Replies
37K Views
There are many factors and reasons that lead a person to hold onto their beliefs and personal opinions, even when they contradict certain facts and scientific theories. The most prominent of these...
8 Reactions
88 Replies
1K Views
Nawasalimia wana JF wote. Leo nitaongelea uthibitisho wa kisayansi uwepo wa Mungu. Na ninapenda tujadili hapa kisayansi zaidi. Pamoja na kuunganisha imani mbalimbali zilizopo. Sipendi niseme...
25 Reactions
407 Replies
14K Views
--- ### Introduction Throughout history, societies have attributed major events—wars, migrations, victories, and catastrophes—to divine will. But does this framing serve to reveal deeper truths...
2 Reactions
0 Replies
151 Views
Sir Isaac Newton tumemzoea kwenye maswala ya Sayansi, na amefanya mabadiliko makubwa katika Ulimwengu huu Je wajua aliwahi pia kukichambua kitabu cha Daniel kwa undani zaidi? Leo nitakuonesha...
4 Reactions
90 Replies
2K Views
The Voynich Code - The Worlds Most Mysterious Manuscript - The Secrets of Nature Ni kitendawili cha muda wa taktiban miaka 600 Mnamo 1912, muuzaji wa mashirika ya kale aitwae Wilfrid...
4 Reactions
18 Replies
8K Views
Habarini wana JF, Hadithi za Biblia na Quran zinaeleza Shetani na Robo ya Malaika ndo waliasi mbinguni ila sote tunajionea ni miaka maelfu sasa huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia na kadri...
8 Reactions
70 Replies
2K Views
JASUSI PAUL KAGAME ALIEITOA RWANDA KWENYE ARDHI YA DAMU (Simba Wa Vita Alieikimbia Rwanda Kwa Mtutu na kurudi kuikomboa Kwa Mtutu). version. 2 Naam Baada Ya Maombi mengi...
11 Reactions
60 Replies
20K Views
Back
Top Bottom