Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Habari wakuu, mimi ni shabiki mpya kabisa wa Yanga,nahitaji msaada namna ya kupata kadi ya shabiki au mwanachama ya NMB. Naomba kueleweshwa utofauti wa kadi hizi mbili pamoja na gharama zake na...
1 Reactions
8 Replies
583 Views
I salute you kinsmen. Kuna vichekesho vingi sana hapa nchini lakini hilj la usajilj wa garasa Mpanzu nalo lijjmuishwe. Huyu alisajiliwa kwa mihemko sana na bosi wetu gabachori aliingizwa chaka...
8 Reactions
68 Replies
2K Views
Usiku wa kuamkia leo nimepokea barua kutoka FIFA ikitamka kuifungia klabu ya Yanga kwa kushindwa kulipa madeni ya Usajili
8 Reactions
59 Replies
2K Views
Wakuu Nani kalikoroga huko, Rais hapendezwi kabisa! == Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, leo Disemba 7,2024, katika mkutano Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania...
0 Reactions
23 Replies
903 Views
Kuna muda unaweza ukaota timu Fulani imefungwa na inafungwa kwelii, Kuna muda unaota Hadi idadi ya magoli na inakuwa hiyo hiyo, kumbe ndoto Zina Siri ndefu!!. Niliotaga utopolo amepata vipigo...
1 Reactions
12 Replies
521 Views
Tunapoelekea nusu ya msimu mimi Mkaguzi Mkuu wa Sirikali. USAJILI WA DUBE Wanachama waangalie jambo hili wakiwahoji viongozi wao. Hizo Milion 700 za kumnunua Dube alikula nani? Tunapoangalia...
2 Reactions
11 Replies
713 Views
Yanga wana tabia ya kuwasifia wacheza sindimba wao, lakini mchezaji wa maana anayeifanya Yanga iwe inashinda kwa sasa ni Maxi Nzengeli. Hao wacheza sindimba kina Chama, Ki na Pacome wanakuzwa tu...
4 Reactions
30 Replies
845 Views
YANGA ITATISHA SANA MSIMU UJAO KAMA ITAMSAJILI CHAMA - ROBERTINHO Kocha wa zamani wa Simba, Robero Oliveira 'Robertinho' licha ya kushituka kusikia uwezekano wa Chama kwenda Yanga amesema endapo...
1 Reactions
13 Replies
761 Views
Mademu. Kuna mademu walitumwa na mikia kuharibu wachezaji wetu. Kuwamaliza nguvu. Ndo UBAYA UBWELA ile. Hawa Simba waliamua kutumia hii kauli wao wakisema sisi tulikuwa tunanunua sana wachezaji...
11 Reactions
23 Replies
2K Views
Aliyekuwa Mchezaji wa Yanga Hafiz Konkoni ameshinda kesi yake ya madai dhidi ya Klabu hiyo (Yanga) akidai fidia yake baada ya kuvunjiwa mkataba, Yanga wamepokea barua ya maamuzi ya kesi hiyo...
6 Reactions
34 Replies
1K Views
Yanga wafungwe Yanga wafungwe Yanga wafungwe Yanga wafungwe Yanga wafungwe Yanga wafungwe kila mechi, kila wakati hiyo ndiyo furaha yangu mimi. TUJIKUMBUSHE KITU : YANGA 0 AL HILAL 2 YANGA 1...
6 Reactions
53 Replies
1K Views
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetoa zawadi kwa klabu za Simba na Yanga kama ishara ya kutambua mchango mkubwa katika kutangaza na kukuza chapa ya Ligi Kuu Bara ndani na nje ya bara la Afrika...
0 Reactions
1 Replies
221 Views
Mechi iliyokua ichezeke mapema leo, Merseyside Derby kati ya Everton na Liverpool maarufu Majogoo wa London, imehairishwa. Sababu ya kuhairishwa ni uwepo Kimbunga kikubwa na dalili ya mvua isiyo...
2 Reactions
2 Replies
297 Views
Wakuu habari zenu, Naomba kuuliza hivi huyu raisi wetu wa mpira wa miguu amefanya nini kwenye kipindi chake cha uongozi? Maana watu wanasema kwenye kipindi chake taifa stars imeshiriki AFCON...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Young Africans SC imetangaza Adnan Behlulović kuwa kocha mpya wa mazoezi ya viungo pamoja na Taibi Lagrouni! Soma, Pia: Kocha wa viungo wa Yanga SC, Taibi Lagrouni hajasafiri na timu baada ya...
1 Reactions
6 Replies
739 Views
Kulingana na kibali alichopewa na CAF kurusha matangazo bure, mechi ya kesho hatoweza kubadilika? Maana tupo dunia ya kibepari
6 Reactions
13 Replies
882 Views
Habari za asubuhi wana jukwaa natumai mmeamka salama kabisa na tayari mmeshafanya maombi kwa Mwenyezi Mungu juu ya mahitaji binafsi. Kichwa cha habari kinahitaji elimu ya darasa la nne tu...
4 Reactions
7 Replies
480 Views
Mchezaji na nahodha wa Ipswich Town Sam Morsy ndio nahodha pekee wa timu za EPL aliyekataa kuvaa kitambaa cha unahodha chenye rangi za upinde zikiashiria LGBTQ plus wikiendi iliyopita, Sam alisema...
12 Reactions
49 Replies
2K Views
Orodha ya timu za mpira wa miguu za watoto wa kihuni pamoja na vituko vyao katika soka, premier league na mchangani, bila kusahau wana soka waliokuwa wanacheza soka la...
2 Reactions
72 Replies
11K Views
Kwema wakuu Mods tafadhali msiuunganishe huu uzi na nyuzi nyingine, huu ni spesho kwa ajili ya ligi tano bora barani ulaya. Mdau wa kubeti tupia mkeka wa wikiendi hii watu turuke nao
0 Reactions
0 Replies
109 Views
Back
Top Bottom