Ujinga na tamaa za TFF ndio zinaleta huu mkanganyiko.
Tayari GSM ameshaona kuwekeza Utopoloni ni hasara kwakuwa Utopolo inaishia humu humu, sasa wanajua Ili kupata Faida lazima uweke kitu Simba...
Kila mara kuna vitu ukifanya kwa hila ama kudhulumu utakuja kulipa kwa aina moja ama nyingine. Watanzania hasa wapenzi wa soka hawana imani na uendeshaji wa chombo chetu kinachosimamia mpira wa...
Maisha yanaenda kasi sana. Miaka mitatu au mmoja nyuma mchezo wa Simba na Yanga ulikuwa ni moja kati ya michezo inayowavutia wengi sana kuitazama. Mida hii kila sehemu pangekuwa pamezizima kwa...
Nauliza hivi, hivi mwijaku bado ni msemaji rasmi wa club ya simba? Kama ndie mbona simaikii wala kumuona akiifanya kazi yake mana yupo kimya sana. Kama siye mwijaku basi ni nani? Au club bado ipo...
Last weekend niliingia sokoni kwa chinga mmoja nikaona katundika uzi wenye Chata ya vunja bei red, white na kijivu, pia Alikua na matambala yale yenye picha za Misukule kibao ya watani zangu Vyura...
1. Mwalimu wa Simba, Pablo ameonyesha uwezo wake mkubwa aliokuwa akiutumia Real Madrid kwa kuanza na formation ya 4 4 2 ila baada ya kuona Yanga wamekaa sana nyuma, akabadilika na kuanza kutumia 4...
Viongozi wa Simba SC (hasa Poti wangu Crescetius Magori ) na Wewe Rafiki yangu mkubwa Kassim Dewji bila Kumsahau Mtani wangu wa Kiha (Muha) Mwina Kaduguda, Benchi la Ufundi (hasa Rafiki yangu wa...
Mdhamini wa klabu ya Yanga amewahidi wachezaji wa Yanga milioni 116 iwapo watawafunga Simba mechi ijayo
NB:GSM ni mdhamini mwenza wa NBC premiere league
Yetu macho
Kuna upande mmoja wa hizi timu mbili zitakazokutana tarehe 11 aisee wamechanganyikiwa... Hawana imani na timu yao hawana hamu na hii Derby... Yaani wanajitia nguvu tu lakini kiukweli kwao ni kama...
Habari za asubuhi
Natumaini wote tutakuwa wazima wa afya kabisa kama Kuna mtu anaumwa na mtakia quick recovery katika tatizo
Nawatakia happy independence Day 🇹🇿 kwa mana yanga wote tukutane...
Ni jambo la kushukuru kwamba simba imeingia hatua inayofuata kwa msaada wa matokeo ya nyumbani baada ya kupata magoli mengi, lakini pamoja na ayo simba hii inayo mapungufu kibao kuanzia safu ya...
Mazeru karate, is unique self defense system,that combines the techniques of karate, ju- jitsu, Kung Fu and other combat systems. These techniques is a simple and effective for self protection...
Niliwahi kusema na kamwe sijawahi kufumba mdomo na kuacha kusema kuwa tuzo za Ballon d’Or ni tuzo za kipuuzi na kipumbavu kuwahi kutokea kwa miaka ya karibuni katika Ulimwengu wa Soka.
Tuzo hizi...
Habar jf
Hawa GSM hawafai kudhamini timu yoyote hapa nchini, tumeshuundia miaka 3 walichokifanya ndani ya yanga ni ujaja jaja tu, Hatujawahi kuona yanga ikikaa miaka 3 ikiwa na mdhamini alafu...
Viongozi wangu wa Yanga nawaomba muwasajili wachezaji wa Simba hawa ambao wanauwezo na wamekosa nafasi za kucheza
1.Miraji Athuman
2.Hassan Dilunga
3.Jonas Mkude
4.Ibrahim Ajib
5.Kahata
6.Said...
Nadhani iko wazi Simba hawawezi vaa jersey yenye nembo ya GSM so huu mjadala ufungwe na tuendelee na mengineyo.
Kwanza bega la kushoto liko booked tayari[emoji881]
Watu wengi hawapendi kukutana na vitu vyenye maudhi kwao. Ili kuepuka maudhi watu Wana tabia ya kujizuia kukutana na vyanzo vya maudhi hayo.
Watu wengi hawapendi kuangalia mechi za ligi kuu ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.