Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ndio,S.S.C Wapo Zambia ni Watanzania Hawa, wakiwa Wanawakilisha Bendera yetu ya Tanzania. Kama Watanzania hatuna budi kuweka tofauti zetu pembeni. Dua na Sala Zote Kwa Simba Sports Club ifuzu...
17 Reactions
74 Replies
4K Views
Mapendekezo yangu. Hayahusiani na akili za UTOPOLO
6 Reactions
51 Replies
3K Views
Hivi wakuu ni kawaida kurudia kuangalia goli moja siku nzima?😁😁😁 Hili goli haliniishi hamu.Yaani narudia kuliangalia hadi simu inaisha chaji kisha nachaji tena simu narudia kuangalia tena hadi...
1 Reactions
11 Replies
905 Views
Dakika ya 21 Sasa 0-0 ===
1 Reactions
40 Replies
4K Views
Habari wakuu, Kwa tukio la jana kukataliwa goal la Geita Gold ni wazi Azam TV wanapaswa kuboresha eneo lao la camera kwani hawakupi nafasi ya kuangalia angle zote za move ya mpira. Mfano jana...
11 Reactions
27 Replies
3K Views
Mohamed Aboutrika has asked Muslim Players to boycott England's Premier League's Rainbow Laces campaign in support of homosexuality. It's done through the wearing of multi-coloured laces...
9 Reactions
24 Replies
4K Views
Nimejiridhisha pasi na shaka kwamba Mourinho mbinu zakee na mfumo wake umeshapitwa na wakati na kote anakotimuliwa huwa hawamuonei isipokuwa ni kweli hana uwezo wa kufundisha na kuongoza timu...
9 Reactions
32 Replies
2K Views
Habari wanamichezo na wapenda soka wote ndani na nje ya Tanzania. Haya mambo yamekuwa yakijirudia mara kwa mara katika misimu yote ya ligi kuu ya Tanzania kwa sasa 'NBC Premier League' kuhusu...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Iwapo Kamati ya Maamuzi Ingekaa mara tu baada Ya Dk 90 za mtanange Wa Simba na Geita, huyu Refarii Uwezekano mkubwa Asingepona kufungiwa. Martin Saanya Sasa ni Kama amesafishwa na Upepo...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
Nimeona Mara nyingi utata wowote unaotokea viwanjani, Mr kazi ndiye mtu wa mwisho kuhitimisha malumbano. Kadi nyekundu Magoli Na maamuzi mengine VAR HALISI NI GHALI SANA KIASI TFF WANASHINDWA...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Takwimu: Mechi 1,097, mabao 801. Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia kufunga mabao 800 ya kiwango cha juu katika maisha yake ya soka alipoifungia Manchester United mabao...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Tume ya Ushindani wa Biashara (FCC) imesema imepokea malalamiko kutoka kwa wadau wa mpira wakiitaka kuchunguza udhamini uliofanywa na kampuni ya GSM kwa Ligi Kuu ya NBC Tanzania kama hautaathiri...
4 Reactions
64 Replies
6K Views
Selemani Kidunda akizungumza na waandishi wa habari leo, kuelekea pambano lake na Tshimanga Katompa jijini Dar es Salaam. Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital BONDIA kutoka Jeshi la Ulinzi la...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
🚶🚶🚶😂😂😂Mchezaji Star na mchechi wa Simba, Bernard Morrison @bm3gh anasema, anajilinda kabla ya kuambiwa ana Corona nchini Zambia😂😂😂😂😂 Sasa ndio avae barakoa mpaka kwenye macho? @bm3gh Eeee...
9 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari ya wakati huu Nikiwa na akili zangu timamu kabisa nasema hivi Tanzania hakuna wachambuzi wa mpira wengi ni waropokaji tu na wanaenda na upepo umekaaje Wengi wa wachambuzi wetu wanachambua...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Nchi ya Qatar ambayo ndio mwenyeji wa Mashindano ya Kombe la Dunia mwaka 2022 wameamua kutengeneza uwanja wa Mpira wa miguu ambao umetengenezwa kwa kutumia makontena. Qatar imefikia uamuzi huo...
5 Reactions
21 Replies
4K Views
Nidhamu sasa imeshuka kwa waamuzi wetu licha ya maonyo na adhabu wanazopewa mara kwa mara hii yote sababu ya tamaa...hii inapelekea kudhoofisha maendeleo ya mpira wa miguu Tanzania. Pendekezo...
5 Reactions
5 Replies
592 Views
Sijawahi Kupenda vibovu vibovu hata Siku moja na nilisema kuwa kwa sasa Tanzania bado sijaona Kiungo Mkabaji bora kama Mdogo wangu mwenyewe Jonas Gerald Mkude ila kuna Watu walinipuuza lakini kwa...
8 Reactions
85 Replies
9K Views
“Niliwahi kukataa pambano raundi ya kwanza huko Russia. Nilipigwa ngumi, nakinga mikono lakini nasikia ni kama chuma kimetua, naangukia kwenye kamba. Kocha wangu hataki kutupa taulo. Raundi...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom