Halafu hiyo Gari aina ya Harrier Nyeusi kila mara tu inakuja hapo Hotelini Kwenu inajulikana ni ya GSM inafuata nini ikiwa na hao Wazee Watatu na huyo Mmoja ana Mguu mbovu anaishi Mbagala...
Kwa wale wapenzi wa mpira haya sio majina mageni katika uchambuzi wa soka hapa nchini.
Sasa tupige kura kwa kutoa maoni yetu kwa jinsi tunavyowafahamu hawa jamaa. Mwalimu Alex kashasha na Dr...
Hivi ndivyo gari aina ya Coaster iliyoingia uwanjani ikiwa imebeba wachezaji wa Mbeya kwanza walipoingia uwanjani kupambana na Yanga, yaani gari imeingia kwa rivasi.
Bila shaka haya ni masharti...
Wakuu salaam,
Simba chini ya Pablo imekua na mabadiliko ya haraka sana, ukiwatizama wachezaji unaona kabisa ile nguvu, ari na uchu wa kuipambania team vimerejea kwa kishindo.
Ukiyatizama...
Nimeona kwenye taarifa ya habari ya ITV Leo tarehe 30.11.2021 sh. Mil. 20 zimetengwa kwa ajili ya kuninulia vifaa vya Michezo ya wabunge ili Hali shule nyingi asa za msingi watoto hawana madawati...
Kwa kuongoza kiungo cha Klabu yake ya Chelsea kushinda kombe ya ligi ya Mabingwa ya Ulaya na kwa kujenga kiungo Imara cha timu ya Taifa ya Italia na kuiwezesha kushinda kombe la Fainali za Euro...
Pots kwa ajili ya kupanga michezo ya play-off kwenye kombe la shirikisho barani Afrika imetoka na mchakato wa kupanga mechi hizo za nani anakutana na nani?, Zitafanyika kesho Oct. 26
CAF...
IMEVUJA
Kwa upande wangu LEO10 anasitahili, no doubt, na vigezo viko wazi.
Unaepinga jiandae kuja na facts with statistics.
Karibuni sana wadau, nawapendeni nyote
Mbunge wa Jimbo la Vunjo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei ametekeleza ahadi yake ya kuwa na ligi ya vijana wa jimbo hilo kila mwaka kwa kuanzisha Vunjo...
Je, wenye Akili tukihisi kuwa mmewatengea Pesa hiyo 'Kiduchu' kwakuwa ni Walemavu na mmewadharau tutakuwa tunakosea?
Halafu Waziri Mkuu Majaliwa jana ulisema kuwa ile Hela ya Hamasa Tsh 1.2B...
Fair result kwa Man United, alama moja mbele ya Chelsea ilikuwa na maana kubwa sana kwa Man United, ubora wa mpinzani wake na matokeo aliyoyapata hivi karibuni unapiga tu makofi kwa mlichokipata...
Tena nahisi huenda leo Yanga SC ikapata Karamu Kubwa (Ushindi Mnono) dhidi ya Mbeya Kwanza FC katika Mchezo wao dhidi ya Mbeya Kwanza FC katika Uwanja wa Sokoine Mkoani Mbeya.
• Ni mashindano ya Mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
• Timu 8 kupewa vifaa ili kushiriki.
Jumanne,November 30. Kampuni ya michezo Na burudani SportPesa leo imetoa...
Leo ni usiku maalum wa utolewaji wa tuzo maalum za Ballon D'or mwaka huu wa 2021.
Mshehereshaji wa shughuli hii ni aliyekuwa mchezaji machachari wa Chelsea na Ivory Coast, Didier Drogba.
.Tuzo...
Ingawa mechi ijayo Karick ataendelea kuisomamia Man United ila mechi inayofuata atakuwepo. Kocha wa Liverpool amesema ni hatua nzuri kwa Man U kumchukua kocha huyo kwani amefanya mengi kwenye...
Ni Jumapili Tulivu, Jumapili Yenye Kimvua Fulani Maeneo Ya Mjini Dasilamu, Litako pigwa Pira Real Madrid, Wakati Timu zingine Zikiwa Mikoani kuendelea kusaka Point, Kama mkoa wa mbeya Na Vitongoji...
[emoji1593]"Kupitiwa haijawahi kuwa dhambi Wala kusahau haijawahi kuwa dhambi ".
Viongozi wa Simba sio dhambi kukiri kuwa GSM anawavalisha wachezaji wetu /wao na timu nyingine.
[emoji1593]12...
Wajuzi wa mambo naombeni mnisaidie maana leo nilipokuwa natizama mechi mbalimbali za ligi ya uingereza nimeshangazwa sana na vitambaa vya unahodha vikiwa na rangi hiyo.
Hapa tuseme hawa watu...
Kwa kiwango hiki huyu Wakili Msomi alichoonyesha dhidi ya Red arrows huwezi kuwalaumu Yanga kwa kuendelea kumlilia na Kumkumbuka Benard Morrison, Wakili Msomi..
Hakika Yanga Nendeni Fifa Tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.