Demokrasia lazima ionekane ikitendeka kwenye taasisi zote za umma ikiwemo TFF.
Kwanini changuzi za TFF wenyeviti wanapita bila kupingwa kwenye nchi yenye watu zaidi ya elfu 60?
Rais wa TFF Bw...
1. Timu inacheza kwa Kasi kipindi cha Kwanza ila kipindi cha Pili inapungua. Na tatizo hili linaonekana pale tu Simba SC ikicheza Dar es Salaam ila kwa Mikoani Timu huwa inakuwa 'active' katika...
NBC Premier League leo Jumatano. Mabingwa watetezi watakuwa uwanja wa Benjamin Mkapa kuwaalika GEITA GOLD FC. Geita Gold wameshinda mchezo mmoja tu tangu ligi imeanza, huku wakiwa na kumbukumbu ya...
Mwaka 1982 tarehe Fulani tulikuwa tunaangalia mpira Jamatini moja mjini Lindi, Ilikuwa ni mechi za kombe la dunia zilizofanyika nchini Hispania.
Tulikuwa tunaangalia mikanda ya mechi zilizokuwa...
Mchezaji bora wa Mwaka wa Ballon D'or imenyakuliwa na Lionel Messi (33) wa PSG na timu ya taifa ya Argentina. Aliisaidia taifa lake kushinda kombe la Copa America na kuchaguliwa kuwa mchezaji bora...
Habari zenu ndugu zangu. Baada ya kuwajulia hali, ningepeenda niende moja kwa moja kwenye mada iliyonileta hapa. Bila shaka asilimia kubwa ya vijana tuliozaliwa na kukulia Dar es Salaam miaka ya...
Martin Saanya ni refa aliyewahi kuchezesha mechi ya Simba vs Yanga ambayo ilileta utata akafungiwa kwa kushindwa kumudu pambano hilo Either kwa kushindwa kutafsiri sheria au mapenzi.
Siku hiyo...
TV & RADIO PERSONALITY SPORTS JOURNALIST @wasafitv, Edo Kumwembe. Ametoa ya moyoni kuhusu Lion Messi baada ya kubeba ballon d'Or ya 7, nami BlackPanther kwa upande wangu nasema hivi "Yuko sahihi...
Kocha wa Geita Gold FC ambaye pia ni mwana Yanga SC lia lia (kindakindaki) Fred Felex Kataraiya 'Majeshi' Minziro amepewa Maagizo maalum ya kuhakikisha Wachezaji wake ama wanawaumiza vibaya au...
Nimefualilia mechi za Yanga katika viwanja vya ugenini na kuona wingi wa mashabiki wao. Inawezekana ni kweli kuwa Yanga ndo wenye mashabiki wengi zaidi hadi miaka hii?
Tusaidiane kutafakari
Tuwachambue wachambuzi wetu wa soka
Nasikia wanaingia sana JF kusikilizia pale tunapo wachambua na wao
Mimi naanza na wachambuzi wa Clouds Media haswa Sports Extra
WAONGOZAJI ni
Prisca Kishamba...
Baada ya mechi kwisha alihojiwa akasema.
"Hali ya hewa haikuwa nzuri Ila maamuzi ya refa yalitugharimu kwakuwa alitoka ukanda huu,tutarudiana na pia refa atatoka ukanda wetu"
NB: Simba waanze...
Na. John Mapepele
Waziri mwenye dhamana ya Michezo nchini. Mhe, Innocent Bashungwa leo Disemba 1, 2021 amewaongoza watanzania kuishangilia Timu ya Tanzania (Tembo Warriors) ambayo imefuzu na kuwa...
Mchezaji wa PSG, Neymar (29) ameumia kifundo cha mguu wakati timu yake ilipokuwa ikichuana na klabu ya St Etienne katika dimba la Geoffroy-Guichard na kushinda kwa goli 3-1
Neymar alionekana...
Ni ligii kuu Tanzania Bara, Kuendelea leo.
Ni Mbeya kwanza Dhidi ya Vinara wa ligi Kuu Tanzania Bara.
Mbeya Kwanza amekuwa na Mwanzo mzuri kwenye Ligii akipambana na wababe wa Soka La Tanzania...
Friends of Geita Gold tupo tayari kuisapoti timu yetu leo maana wametuahidi ushindi na clean sheet juu!!
Chonde chonde, Geita msituangushe tupo nyuma yenu asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.