Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Uongozi wa Simba SC Pamoja na msemaji wao lopo lopo asie na weledi Haji Manara wamegundua kua tambo zao hua zinawapa morali na kubusti hari ya upambanaji kwa wachejibwa Yanga kwenye Derby. Mara...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Klabu ya wekundu wa msimbazi Simba imemchagua Barbara Gonzalez Kuwa Afisa mtendaji Mkuu wa klabu hiyo. Barbara amechaguliwa na bodi ya wakurugenzi ya Simba,anachukua nafasi iliyoachwa wazi na...
5 Reactions
355 Replies
40K Views
Kwa matokeo ya mechi za juzi pale Zanzibar yamkini mfungaji bora akawa yupo Zanzibar lakini hatujui! Nawashauri ZFA watunze kumbukumbu vyema ikiwezekana wainggie mikataba na Azam Tv mpira wa...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Simba huyu mwalimu/msemaji atawafaa sana ikiwa mtaamua kuachana na Haji,huyu ni muhamasishaji nguli na huenda akawa hana gharama kubwa zaidi ya mshahara wa wastani na kumnunulia simu 6 za smart...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Haji Sunday Manara ameishi Simba kwa kudra ila sio kwa sifa na weledi. Kwenye eneo la weledi tumuache mkurugenzi mtendaji mwanamke Barbara afanye kazi na apange safu kwa ustawi wa Simba. Haji...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Manara kama mwajiriwa anawajibika kufuata sheria za kazi kwa mapana yake. Lakini hili la kuanza kutukana mkuu wake wa kazi hadharani kwenye mambo ya kazi na tena kwa ushahidi kabisa! Hilo ni kosa...
7 Reactions
28 Replies
3K Views
Nashauri uongozi wa Yanga, benchi la ufundi, wachezaji na mashabiki wa Yanga tusije kubweteka na mpasuko uliojitokeza Simba kwa maneno ya Haji Manara yanayosambazwa mitandaoni na kuacha kujipanga...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Baada ya msemaji wa Simba, Haji Manara kumtuhumu mkurugenzi wake kuwa na chuki dhidi yake na kutoa madai kadha wa kadha, Barbara amejibu kwa sasa akili yake iko kwenye mchezo wa Jumapili dhidi ya...
8 Reactions
18 Replies
3K Views
Mi ni simba damu lakini sipendi huyu jamaa style yake ya usemaji, hafai kuwa msemaji wa club kubwa Kama Simba labda Ndondo Cup, huyu jamaa mwaka Jana alituaminisha tunashinda kesi huko FIFA na...
9 Reactions
72 Replies
9K Views
Uongozi wa Simba amkeni, kabla ya saa nne, wanachama na wapenzi wa club tupate taarifa, tayari mmeshamfukuza huyu msaliti Anajua kabisa keshokutwa tuna mechi ngumu na mtani,yeye anaanzisha...
10 Reactions
48 Replies
5K Views
MAONI YANGU JUU YA AUDIO CLIP YA MANARA ni kama ifuatavyo Regardless kama tuhuma anazotuhumu Manara kwamba kufedheheshwa, kunyanyaswa and the like ni za kweli au la! Kitendo alichokifanya cha...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Ila duh hii dunia tunaishi tofauti sana, ukiachana na hio miradi yake anayopiga hela, pound 1.2 Million a week ndio mshahara wake kwa euro ndio zinazodi zaidi ya hizo, leo bossi wako kukulipa laki...
5 Reactions
70 Replies
8K Views
Huyu ni Clatous Chotas Chama. Huwa hana mbio sana. Ni mtembeaji tu Uwanjani. Ana assist 15. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 15 na magoli mangapi? 7 kama sikosei Huyu ni Tuisila Tununu Tusinda...
21 Reactions
86 Replies
11K Views
Nimezifuatilia sababu za baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' wachache juu ya sababu zao kutaka Kocha Mkuu wa Simba SC Patrick Aussems aondoke na Kugundua kuwa zote ni za...
15 Reactions
125 Replies
14K Views
Soma haya madudu aliyoandika hapa chini. Nilishawahi kuandika humu kuwa Shaffi Dauda hafai hata kuchambua rede,wengi walinielewa sana. Narudi kwake tena kumshauri alinde heshima kidogo aliyobaki...
8 Reactions
51 Replies
4K Views
Haji Manara si msemaji mwenye akili. Ni kama Yanga nasi tuna watu wetu wachumia tumbo. Ndivyo alivyo Manara. Ni kilaza sana na ameota mapembe akidhani yeye ni mkubwa au yupo sawa na Simba. Mi...
11 Reactions
27 Replies
3K Views
Ukibisha Uje na facts sitaki longolongo ntakupiga BAN la kufa mtu[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
13 Reactions
463 Replies
32K Views
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha. Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko...
38 Reactions
97 Replies
7K Views
Wadau habari ya jioni,hivi karibuni tumeshuhudia wanaume wa mkoani Kigoma kutembea kwa miguu au kutumia baiskeli kwenda Dar kutazama mechi za Simba na Yanga. Je, wanaume wa Dar hamuoni kwamba...
2 Reactions
8 Replies
843 Views
Tangu alipoibuka ghafla kutoka kusikojulikana, mashamsham yameongezeka sana, Yanga imechangamka, kwanini asiwe msemaji wa yanga ili kushindana na Manara?!
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…