Nawahurumia sana mashabiki wa timu itakayofungwa hiyo kesho
Tatizo linakuja wakati wa kurudi Dar
Yaani umbali unakuwa unauona mara mbili zaidi[emoji23][emoji23][emoji23] hapo taifa tu kuitafuta...
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima!
Tumekuwa na wiki ya figisu nyingi. Ni figisu za kutaka kutuvuruga kwa kuwa mpinzani wetu amejikuta hana ubavu wa kutufunga tena kama alivyobahatisha mechi...
Hakika umekua msimu wa mafanikio kwa klabu yetu pendwa ya Simba chini ya uongozi wako Imara.
Tadhmini ya Mafinikio
1) Usajili wa Didier Gomes. Hapa tulilamba dume. Sven alikua kocha mzuri ila...
Kuelekea mechi kubwa Africa mashariki, barani Africa na dunia kwa ujumla yafuatayo ni mambo makuu yanayoenda kutokea kwenye mechi ya tarehe 25. Pale kigoma
1. Yanga kumfunga simba, hapa tuwe...
Naomba kujua maana ya proffessional player .
Sifa zipi zinamfanya mchezaji kua proffessional?
Kuna wachezaji proffessional na asiyekua proffessional kwenye team moja?
Katika lugha ya kiswahili...
Natazama Olympic
Basketball
USA Vs France.
Naona hii USA the dream team hamna kitu kabisa..
Niliona walifungwa hadi na Nigeria kwenye maandalizi ..naona mwaka huu hata medali ya Shaba hawapati
Habari wadau
Tukumbuke tarehe 25/07/2021 kutakuwa na mechi kati ya Simba na Yanga utabiri wangu unanambia hii mechi inaweza isichezwe.
Sababu ni hali ya Corona nchini iwapo serikali kupitia...
Wao wasioamini kinachoenda kutokea keshooo Kigoma.
Wale wa betting mnaweza kula hela hii. Htft Yanga/Yanga, ama htft Simba/Yanga
Red kad itakuwepoo kuwaondoa mchezoni Yanga
Lakini ft Yanga...
Mzuuka jf.
Mpaka Sasa 'kitamaduni za kiafrika' yanga ameshamaliza mechi yake dhidi ya mtani wake simba,haikua rahisi kuicheza hii mechi kwani Simba walikuja kivingine kupitia yule mtaalamu wao wa...
BAADA ya kupenya kwenye raundi ya 16 ya michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup), Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati,Ngao ya Jamii na Mapinduzi Azam FC, imepangiwa...
Caosta union 3, Pamba 1
Aggr 5 kwa 3
kwa maana hiyo Timu hizi zinaenda kwenye ligi zao.
Mtibwa 0 Transit 1
Aggr 4 kwa 2
Kila timu inabaki ilipotoka,
Hakuna kuha mji,
Hizi hapa ni orodha ya kesi zilizopo CAS ambazo zitasikilizwa mwezi wa sita hadi tarehe 1 mwezi wa saba
02.06.21
CAS 2020/A/7582 Al Sadd Sports Club v. Parma Calcio 1913 srl (FC Parma)
CAS...
Karibuni wana ukumbi,
Kuna wachezaji walikuwa/wana uwezo wa kawaida lakini wamepata mafanikio makubwa sana kutokana na mafanikio ya timu aliyochezea/anayochezea.
Mfano:
Anderson enzi akiwa Man...
Kuna shida gani? Naona kila siku waandaaji ni Ulaya, Amerika na Asia.
Huku sisi Afrika tatizo nini? Mbona Kombe la Dunia tuliweza na likafana sana, ni wapi tumekosea mpaka tukose nafasi ya kuandaa...
"The older I get, the better I get, like red wine." 🍷
“I can’t help but laugh at how perfect I am.” 😎
"Lions don't compare themselves to humans." 🦁
39 is just a number for Zlatan Ibrahimovic 💪
Mambo ya transfer season. Uongo mwingi kuliko ukweli
TRANSFER WINDOW OPENS
Man City be like:
- 12:30 no transfer news
-4:30 man city signs Herod, Methuselah and Enoch
.
Chelsea be like
-tuesday...
Timu ya ligi kuu, Coastal Union leo inacheza mechi ya marejeo na timu kutoka daraja la kwanza inayojaribu tena kurudi ligi kuu, Pamba ya Mwanza. Mechi iliyopita walitoka sare ya magoli 2-2 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.