Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ligi ya VPL imemalizika jana, taja mchezaji anayestahili kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu!!
3 Reactions
50 Replies
5K Views
Maajabu hayaishi duniani,ona hii ya TTF.
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Ikiwa huyu mzee wetu ataelekea kwenye fainali hii kule Kigoma ninashauri apatiwe ulinzi binafsi either Yanga au Kamati ya ulinzi na usaĺama ya mkoa wabebe jukumu hili Huenda ikatokea mzee wetu...
0 Reactions
12 Replies
902 Views
Jionee hapo Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
3 Reactions
5 Replies
2K Views
The Greek freek Giannis antekounmpo anakwenda kumpumzisha gwiji Lebron soon. Lebron asisubiri aibu ang'atuke mapema awache damu changa
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Hilo lipo wazi sana jamaa anakiburi na kisirani, hiki kitendo cha kususa sherehe ni ujinga mkubwa, Mbona Kuna watu inajulikana sio mali ya Simba kama Sheva lakini wamekuwa waungwana? Jamaa...
6 Reactions
49 Replies
5K Views
SIMBA NI WA MWISHO, WAMEBURUZA MKIA Ni kweli kuwa Simba wameburuza mkia katika mchuoano wa timu kubwa katika ligi kuu Tanzania Bara. Licha ya Mchuano wa ligi kuu kwa ujumla lakni kulikuwa na...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Tozo ya miamala imepiga mpaka kumbukumbu zimeruka
9 Reactions
52 Replies
5K Views
Habari wakuu Nawaza hapa endapo Simba itafungwa tena kigoma sijui hali itakuaje. Naiona Yanga ikitawala msimu ujao baada ya Simba kupasuka vipande vipande baada ya matokeo ya Kigoma.
15 Reactions
48 Replies
4K Views
Waafrika Haipaswi Kushabikia Soka la ulaya "Uropa" Waafrika wanapoteza wakati muhimu kutazama Ligi Kuu ya Uingereza, La Liga ya Uhispania, Bundesliga na ligi zingine za kandanda za Uropa. Wakati...
4 Reactions
71 Replies
5K Views
Mwanachama mkongwe wa Klabu ya mpira wa miguu ya Yanga Mzee Ibrahim Akilimali amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Bagamoyo Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi...!!
9 Reactions
97 Replies
11K Views
Rejea mada tajwa hapo juu. Mkurugenzi wa ufundi anakazi gani (majukumu) kwenye timu. Kama sijasahau amewahi kupita KIM POULSEN, AMMY NINJE & OSCAR MIRAMBO pale TFF. Binafsi sijawahi kuona nini...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari wakuu, Hapa namaanisha kampuni inataka kuwekeza kwenye mpira wa miguu. Inatafita viwanja vyake, kwa kukodi au kwa kujenga. Kisha inatafuta timu na kuanzisha ligi yake. Mapato ya mlangoni...
1 Reactions
60 Replies
7K Views
Viongozi wa mtibwa wamedai kuwa baada ya kucheza Mechi yao Alhamis dhidi ya Dodoma jiji waliondoka Dodoma na kuelekea Iringa kama ratiba ilivyoelekeza lakini baadae walipokuwa Iringa walitumiwa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Leo ndio tunahitimisha Vpl mnamo maajira ya saa 10 jioni. Hizi ni baadhi ya Mechi tamu Sana, 1.coast union vs Kagera 2.Jkt Tanzania vs Mtibwa sugar 3.Mbeya city vs Biashara 4.Tanprison vs Gwambina...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Baada ya mechi ya ngao ya jamii kupigwa, ni kiashiria tosha kuwa ligi inakaribia kuanza. Timu zimejiandaa vizuri, kuanzia kwenye usajili wa vikosi vyao mpaka kwenye benchi la ufundi. Huu ni...
18 Reactions
91 Replies
8K Views
1. Farouq Shikalo 2. Shomary Kibwana 3. Adeyum Saleh 4. Dickson Job 5. Bakari Mwamnyeto 6. Tonombe Mukoko 7. Zawadi Mauya 8. Feisal Salum 9. Saido Ntibanzokinza 10. Yacouba Sogne 11. Tuisila...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Katika sakata la Yanga na Morrison mwandishi ambaye nitaendelea kumheshimu ni Geoge Ambangile. Huyu bwana alisimamia kanuni za uandishi pasipo kupendelea upande wowote. Tofauti na wale vilaza...
11 Reactions
12 Replies
5K Views
Kama inavyo fahamika kwenye ligi yoyote Dunia bingwa hua ni mmoja ,ligi kuu Tanzania bara imetamatika leo na Bingwa wa nchi Simba SC wamekabidhiwa kombe lao huku wapinzani wao wakuu Yanga SC...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Mabingwa mara nne mfululizo leo wanakabidhiwa ndoo yao wakikipiga na Namungo FC. Hii ni katika mwendelezo wa kuchukua back to back 10
5 Reactions
113 Replies
9K Views
Back
Top Bottom