Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Conor McGregor amepoteza pambano lake la marudiano na Dustin Porier (by doctor stoppage) baada ya kuvunjika mguu mwishoni mwa Round ya kwanza
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanaojiita wananchi walipata kunena yafuatayo: 1. Hatuwezi kutumia bus la wahindi. 2. Mo hana hela, B20 imemshinda hawezi kununua Bus zuri. 3. Bus letu jipya ni kama la Madrid, Liverpool &...
16 Reactions
53 Replies
10K Views
Watu walio karibu na huyu mchambuzi uchwara wamshauri zaidi,atumike akiwa anatumia akili na kunena kweli. Haiwezekani watu wakutumie kwa vyovyote. Maana hata kuna malaya unaweza kuchukua lakini...
14 Reactions
32 Replies
3K Views
Uwanja mkubwa kuliko yote hapa nchini ni Uwanja wa Taifa (Uwanja wa Mkapa) ambao unachukua watazamaji 60,000. Uwanja huu unamilikiwa na Serikali ulijengwa kwa ushirikiano na serikali ya China...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Msimu wa 2020-2021 umeshapata bingwa ambae ni Simba sc ,na hii ni mara ya 4 mfululizo simba sc anakua bingwa wa ligi kuu Tanzania bara. Licha ya kua mabingwa mara 4 Simba hawaomeshi dalili za...
5 Reactions
72 Replies
7K Views
Unalala masikini unaamka tajiri.. Hii inawezekana tu kama una beti kibiashara zaidi.. Sio kubeti kama mchezo... Tumia akili.. Ukitaka kupiga hela za betting tumia mbinu hii ambayo imeniwezesha...
21 Reactions
123 Replies
39K Views
“Leonardo Bonucci and Giorgio Chiellini... they could go to Harvard University to give classes about how to be a central defender. They’re quality. When I say quality I don't just say creative...
12 Reactions
24 Replies
3K Views
Kiingereza Tanzania's Giant Club and VPL Champions Simba SC have lined up Kaiser Chiefs and Kenyan international midfielder Anthony Teddy Akumu as the perfect replacement of Brazilian Gérson...
3 Reactions
28 Replies
5K Views
Simba imeleta pisi kali inayoongelewa huko mitandaoni ,kwa kweli ni mzuri Sana kulinganisha na wachezaji wengine
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Mzee wangu aliwahi nambia vipaumbele vya Mzungu na Mswahili ni tofauti sana. Mzungu anawaza kuwa mwaka huu nataka nivumbue kitu fulani kiisaidie jamii mswahili anasema mwaka huu nikizikamata tu...
12 Reactions
24 Replies
3K Views
Simba SC imemsajili kiungo wa Brazil Gerson Fraga Vieira mwenye miaka 26 aliyekuwa anakipiga katika club ya Atletico De Kolkata ya india
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Hawa utopolo wanatumia taaluma ya mazingaombwe. Ndio maana sasa hivi Mzee mpili kwa sasa ndiye shujaa wao. Kwa sasa wanasajili kwa ajili ya mechi za kimataifa kwani wanajua huko hayo mambo yao...
5 Reactions
27 Replies
4K Views
Kutokana na ukweli kua hakuna Simba bila Yanga na uwepo wa clabu moja ndio chachu ya maendeleo kwa clabu nyingine hasa zenye upinzani kama Simba na Yanga basi ni lazima hivi vilabu vitengenezewe...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu salaam, Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni. Euro wametoa kikosi bora cha Mashindano lakini Goal Machine Mr CR7 hajatokea ilihali yeye ndiye katunukiwa ufungaji bora. Inawezekanaje...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
After the Europa League final heartache💔 on the 26th May😁Wachezaji wao wote went to their respective national teams in search of TROPHY..... ▶Fred Brazil❌ ▶Cavani...
0 Reactions
0 Replies
495 Views
Mfanyabiashara Mo Dewji anamiliki asilimia 49 ya hisa za Simba, Kama Simba watapata dili la kama la Yanga la bilioni 41 basi moja kwa moja asilimia 49 ya pesa hiyo itakwenda kwa Mo Dewji ambayo ni...
9 Reactions
61 Replies
6K Views
Jana kuna mtu anaitwa JAPHET KASILIRWA kutoka Rukwa, alikuwa mwamuzi msaidizi namba 1 Uwanja wa Taifa mechi ya Simba V Coastal. Kayafanya mambo anayajua yeye pekeyake sababu binafsi nimefanya...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Mabingwa ni Simba Sc Mfungaji bora ni John Bocco wa Simba Sc Mchezaji bora ni Luis Miqsonne wa Simba Sc Kipa bora ni Aishi Manula wa Simba SC Beki Bora ni Joash Onyango wa Simba Sc Hawa Simba...
9 Reactions
16 Replies
3K Views
Stat Leaders in UEFA Euro 2021, Most goals - [emoji1201] Ronaldo (5) Most assists - [emoji1237] Steven Zuber (4) Most free kicks - [emoji1087] Damsgaard (1) Most key passes - [emoji634] Marco...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Hili swali tuliambiwa tuwaulize GSM kama ikitokea tumekosa Ubingwa na ni kutokana na kikosi kikali ambacho Yanga tulisajili ukilinganisha na cha Simba chenye wachezaji Wazee. miaka karibia 4...
14 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom