Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Michuano ya Nusu Fainali ya Kombe Shirikisho la Azam Sports Federation Cup (ASFC), kukamilika kwa mchezo kupigwa leo Juni 26 2021, ambapo Mnyama Mkali Simba SC anatingishana na Wana lamba lamba...
9 Reactions
194 Replies
16K Views
Nashauri kesho viongozi wa yanga twendeni CAS au FIFA. Tukakumbushie kesi ya Morrison.huyu mchezaji ana kera sana.anakera mpaka mwisho. Jana tena ametonesha kidonda kwa kusababisha faulo na...
13 Reactions
11 Replies
2K Views
Nianze Kwanza kwa Kumshukuru Mchambuzi 'mahiri' wa Mpira kutoka Clouds FM Kipindi chao cha Michezo cha Sports Extra Farahani (Farhan) Kihamu kwa Ufafanuzi wake ulioenda Shule (Kidato) Na nikiri...
8 Reactions
24 Replies
3K Views
Mwanachama wa Yanga Yusuf Manji amewasili muda huu kwenye mkutano mkuu wa yanga na kuzua shangwe kubwa nje ya ukumbi na ukumbini
1 Reactions
7 Replies
1K Views
a ) Rafu mbaya sana na ya Kikatili mno aliyochezewa Luis Miquissone wa Simba SC na Beki Mpuuzi Mghana wa Azam FC ambayo si tu ingemjeruhi vibaya bali ingeweza hata Kuhatarisha Uhai wake na cha...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
After almost 20 years, Safari Rally Kenya returns to the World Rally Championship this weekend and the roads north of Nairobi are primed, ready, waiting and completely alien to today's rallying...
3 Reactions
13 Replies
983 Views
Mshambuliaji kinda wa Tanzania, Kelvin John "Mbappe" ame sign mkataba wa miaka 3 na timu ya KRC Genk ya ligi kuu ya Belgium Timu ya Genk ndio timu aliyokuwa anaichezea nahodha wa Tanzania Mbwana...
22 Reactions
32 Replies
4K Views
🤣🤣🤣 Simba na Yanga raha,burudani unazipa nje na ndani ya uwanja
3 Reactions
7 Replies
2K Views
MESSISTATS ALL TIME INTERNATIONALS ALL TIME 73GOALS 43ASSISTS 146APPS 165 mins per goal 104 mins per goal contribution RONALDOSTATS ALL TIME INTERNATIONALS ALL TIME 106GOALS 30ASSISTS 176APPS...
7 Reactions
58 Replies
6K Views
Mm ni mpenzi wa mpira sana,huwa nafuatilia michuano mbalimbali hata kama sitoiangalia kwenye TV huwa naangalia kwenye flash score yangu. Kwa sasa kuna hii FIFA Arab cup inayoendelea huko...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
wananchi wanatisha kwa hasira hata refa alijua kabisa angekataa lile goal wangemla nyama live..vitisho vyao vinafanya kazi kwa kweli kasoro tu mitambo ya magoli inashindwa kufanya mambo sijui...
4 Reactions
70 Replies
7K Views
Timu ya soka ya Yanga imeifunga timu ya Biashara kwa BAO 1-0 na kufanikiwa kuingia fainali ya kombe la ASFC Katika mechi hiyo iliyofanyika katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora, bao la...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba kujua hivi ni nini hasa kilichosababisha Manji kuacha kuifadhili yanga. Maana kama hakuwepo nchini sio sababu yenye mashiko. Najaribu kutafakari na sipati majibu maana aliiacha yanga...
0 Reactions
7 Replies
701 Views
Katika kitu ambacho kiliniumiza nafsi ni mechi ya Mei 8 kuahirishwa. Lakini kutokana na msimamo wa ligi ulivyo sasa. Naamini katika ule msemo wa mabeberu "Everything happens for a reason". Hivi ni...
7 Reactions
21 Replies
2K Views
Kulikuwa na kiwanda Cha mafuta ya kupikia mazuri sana, VOIL, Tanbond, Mafuta ya karanga, kiwanda Cha mbolea Tanga, kanga nzuri sana za urafiki, nk
0 Reactions
2 Replies
674 Views
Habari ndio hiyo, sasa kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake. Sheria hiyo iliyoanzishwa mwaka 1965 itaondolewa kuanzia msimu ujao kwenye mashindano ya UEFA ikiwemo Champions League. Sheria...
6 Reactions
65 Replies
7K Views
Wakuu Shirikisho la Soka Tanzania (Tff) wamemalizana Na Aliekuwa M/kiti Wa Yanga Mwakalebela Kwa kumfutia adhabu zake Zote, Pia Kamati Hyo Imewaondolea Adhabu Wanachama wawili Wa Yanga, Kocha...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Nimetoka Kumsikia Msimamizi Mkuu wa Uwanja wa Maji Maji huko Songea (Mkoani Ruvuma) utakaotumika katika Nusu Fainali ya ASFC Kesho kati ya Azam FC na Simba SC nimebaki Kusikitika na hata...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Yawezekana kuna watu watakataa lakini hilo ni 'non of my business ' Nije kwenye mada moja kwa moja, kwa maoni yangu naona soka la bongo limekuwa zuri haswa, yaani hata ukilipa au kutenga muda...
2 Reactions
41 Replies
3K Views
Back
Top Bottom