Wakuu mambo ni nini?
Hivi inakuaje bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo inadhaminiwa na mtandao namba moja wa simu TZ yaani Vodacom apate Tsh 80m wakati mshindi wa Ndondo Cup yeye anavuta Tsh...
Huyu Mtu hata mechi ikiwa mbaya, huwa anaifanya inakuwa nzuri!
Yaani kuna kipaji na Elimu, sasa huyu vyote anatumia....
Aliemuajiri AZAM kongole kwake!
........
Hili ni goli la Simba vs...
Wakuu,
Leo alfajili kulikuwa pambano la Mayweather na Logan limechezwa leo kwa idadi ya round 8, na hakukuwa na mshindi, ni kama ilikuwa ni exhibition match tu.
Makubaliano ya pambano lao...
"Sir Alex Ferguson kwenye Kanuni zake 9 kuhusu Nidhamu naomba nimnukuu kanuni namba 4, "Never ever, cede control" usikubali kupoteza Mamlaka yako mbele ya wachezaji"
"Kupitia hii Roy Keane...
Timu tishio Afrika Simba Sc inazidi kujikita kuelekea kuwa timu Kigogo barani Afrika. Ilipo Yanga waulizwe Yanga wenyewe
Goo Simba Goo
Goo Mo Dewji Goo
Wakuu wa jukwaa, leo tukumbushane wanasoka wakorofi katika mchezo wa kabumbu. Wanaweza wakawa na vipaji vya hali ya juu lakini bado wana tabia za ukorofi, ubabe kama sio utukutu yaani kadi...
Tarehe 18/07/2013 Uongozi wa Rais Leodegar Tenga na Katibu Mkuu Angetile Osiah kwenye Kanuni za Uchaguzi za 2013 waliongeza kipengele cha sifa za Mgombea Urais na Makamu wake kuwa na elimu ya...
Kwa kipindi cha miaka kama miwili hivi mchezo wa ngumi ulionekana kurudi kwa kasi na kuanza kufuatiliwa na watanzania wengi kama ilivyokuwa huko nyuma enzi za kina Rashid Matumla.
Hii ilichochewa...
Ngolo Kante ameamua kuwajibu watu baada ya kuwa wakisema yeye ni humble kuliko watu wote namnukuu "Ni kweli kuna muda mwingine huwa kuna hii picha kwamba mimi ni mtu wa pekee sana na mtu mzuri...
Wakuu Habarini.
Nimeona Na Kushangazwa na Uwanja Wa Lake Tanganyika Kigoma Ambao utatumia katika Fainali za ASFC, Huu sio Uwanja wa Mpira na Pori na Mapagale Ya Uwanja.
Sifikiri wala sioni huu...
Naangalia mchezo wa kirafiki Azam na Coast Union.
Pamoja na burudani hiyo ninashangazwa na ubora wa uwanja, hasa eneo la kuchezea.
Nalinganisha ninachokiona na hali za viwanja kama Mkwakwani...
Nilikuwa naangalia Mechi ya Belgium Vs Croatia.
Mechi imekwisha, Lukaku kavua jezi kumpatia mchezaji wa Croatia huku akimtaka nae ampatie yake!
Yule mchezaji akamwambia Lukaku wamekatazwa...
MABAO ndiyo yanayoleta ushindi kwenye mchezo wa soka. Ukizungumzia ufungaji wa mabao, wachezaji wakubwa wamefanya hivyo wakiwa na jezi namba tisa.
Kiutamaduni, jezi namba tisa ndiyo inayohusika...
" Tumeitoa Yanga SC Uswahilini pale Manzese wakiwa na hali mbaya, Njaa wakila Maharage na Ugali wa Kugombania na Wanang'atwa na Mbu na sasa tumewaweka pale Avic Town Kigamboni wanakula vizuri...
Habari wadau, leo TBC wapo Live kuonyesha game yao dhidi ya Bunge FC. Kwa kweli ndio maana hawaonyeshi mechi za timu ya taifa maana ni aibu, camera zao ni za kiwango cha chini sana. Vigumu...