Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kitendo cha yanga sc kuwepo kwenye top 100 ya teams bora afrika ikishika nafasi ya 74 nyuma kidogo ya namungo iliyo namba 60 kimeipa umaarufu mkubwa huko south africa huku wadau wakisema ni...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Washika mitutu wa kaskazini mwa London (Gunners ) wameanza mazungumzo na beki wao wa kushoto KIERAN TIERNEY juu ya kuongeza mkataba mpya wa kuendelea kukipiga arsenal,ikumbukwe arsenal walimsajili...
0 Reactions
2 Replies
753 Views
Kwa hao wagombea hapo, ni dhahiri sasa enzi za Karia zimeisha. Nawapa nafasi Ally Mayayi na Tarimba Abbasi
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Leo tutaje list ya wachezaji ambao walibeba 1. Balloo D' or 2.champions league 3.word cup. Mima naanza na ronadihno gaucho haya twende kazi. Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kocha kishingo kipindi yuko simba alitamani sana kupata beki mrefu wa kati anayetumia mguu wa kushoto kama ilivyokuwa kwa Ally Sonso ambaye shida yake ni mistakes nyingi, mwingine ni Abdi Banda...
14 Reactions
80 Replies
12K Views
Yanga msimu ujao watashiriki mashindano ya kimataifa na hii inatokana na SIMBA kufanya vizuri hivyo kuweza kuipatia nafasi yakushiriki Yanga.. Yanga ili kushiriki mashindano ya kimataifa ilikua ni...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
FIKA Chamazi ukajionee uwekezaji wa Azam FC. Eneo la zaidi ya eka 25 lililosheheni miundombinu ya kumfanya Cristiano Ronaldo au Lionel Messi awe mfungaji bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya na kushinda...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Mambo vipi wanajangani? Leo asubuhi nilikuwa pande za Kariba Lodge hapa mkabara na barabara ya Devland road, kusini kabisa ma jiji la Johannesburg. Nikashangaa sana kumuona mtu mzima Eng. Hersi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Taasisi zote imara na kubwa huwa zina Mambo yao ya ndani ambayo ni ssiri! Kuna Siri kubwa na ndogo! Hata ktk familia usiri ni muhimu sana! Hii husaidia kujenga uimara na heshima kwa taasisi...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Football is for fans, Shabiki wa Yanga kindakindaki yuko tayari kuchukua fomu ya kugombea ujumbe pale TFF kesho au kesho kutwa. Vijana tupeane sapoti, kijanja huyu msomi na mwenye mapenzi ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
si utani ama kwa hakika hii ni ligi ya 8 kwa ubora africa naomba sana simba na yanga zikutane hiyo fainali halafu siku hiyo makocha wa kigeni wakashuhudie kapeti la lake tanganyika watajua hawajui
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Viwanja vyetu vingi vya michezo hapa Nchini ni vibovu sana labda ukiacha tu Majaliwa Stadium iliyoko kule Ruangwa na ubovu wa viwanjwa hivyo unasababisha Timu bora kama Yanga inashindwa kupata...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Niwambie tu kwamba mnyonge m yongeni lakini haki yake mpeni. Hivi Nani asiyejua kuwa kwenye utawala wa karia timu ya taifa ilifika Afcon? Nani asiyejua timu ya vijana na wanawake zimepanda chati...
0 Reactions
10 Replies
971 Views
Nimezipokea hizi 'Tetesi' kwa Furaha kubwa mno na kama itakuwa ni kweli kwani Edward Charles Manyama ni Beki Bora wa Pembeni anayecheza 'Kisasa' zaidi tena kuliko aliyeko Mohammed Hussein...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Labda huu uzi alikuwa nao kitambo, au ndio "anajiuza"
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jean Makusu na Kabangu nani atatufaa kwa simba hii yetu? Makusu namwona kama soft soft hivi nawasikiliza wadau
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mashindano ya uefa euro 2020 yanaanza kutimua vumbi leo ijumaa kwa mtanange mkali wa kundi A baina ya miamba TURKEY Vs ITALY majira ya saa 4 kamili usiku kwa saa za afrika ya mashariki, je wewe...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Hii ndio taarifa ya leo hii kutoka kwa watoa fomu
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Uongozi wa Rais wa sasa Karia umekuwa na mapungufu mengi sana katika soka la Tanzania hivyo ninakuomba Mhe. A. Tarimba uchukue fomu ya Urais ili uokoe jahazi hili la TFF linaloenda kuzama.
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Mahakama Kuu ya Brazil imesema Michuano ya Copa America ambayo inatarajiwa kuanza Jumapili inaweza kuendelea Nchini humo licha ya janga la Corona. Majaji wametoa uamuzi huo baada ya Mkutano wa...
1 Reactions
3 Replies
969 Views
Back
Top Bottom