Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Bocco goli 13. Kagere goli 11. Mugalu goli 10. Bado ligi haijaisha, tarehe 3 July utopolo msilete timu uwanjani singizieni mmewapima wachezaji wenu wote wamekutwa na Corona. Mkisingizia pesa...
10 Reactions
15 Replies
1K Views
Mimi si mpenzi kinda kinda wa Yanga lakini huwa naifuatilia sana. Leo ilikuwa tuwafunge Simba ila pambano likaahirishwa kutokana na kujitokeza kwa shughuli nyingine ghafla ya kuzindua kitabu cha...
6 Reactions
72 Replies
5K Views
Kutokana na janga la covid kuendelea kusumbua sekta mbalimbali hata mwaka huu kwa wapenzi wa NBA mechi zitakuwa chache kulinganisha na misimu iliyopita Tupeane news and updates kwa msibu huu...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
sote tunajua Morrison akifanya kitu lazima update ya CAS ije maana pale utopoloni hakuna cha wakili msomi,engineer,tajiri mwenye mijengo na ma lorry ya kufa mtu wote akili zao kama za Bumbuli au...
11 Reactions
10 Replies
2K Views
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo Juni 3, 2021 ambapo Ruvu Shooting wanawakabili na Simba SC kwenye uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Simba SC anaingia kwenye dimba...
15 Reactions
186 Replies
16K Views
Nimeshangazwa na uongozi wa timu ya Simba kunyamazia suala la wao kushutumiwa kupulizia dawa kwenye chumba walichopangiwa Dodoma FC hapo jana.Hii ni ishara ya dharau ya wazi kwa wachezaji wa...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Watu weweeeeee watu utoooooo people sema utooopoloooooooooooo,dadeki hatari sana hawa watu yaani ile mechi ilihairishwa na wizara inayoongozwa na mwanachama wao waziri bashungwa lakini lawama zote...
9 Reactions
33 Replies
5K Views
Pichani ni washiriki wa kinyang'anyiro cha mchezaji bora wa msimu EPL [emoji1022]󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿. Kwa mtazamo wako ni nani atachukua hiyo tuzo.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
haya hayaaaaaa fayaaa fayaaaaaa makanjanja hata kumchimba wema sepetu mmeshindwa? mlewesheni basi pombe kali awamwagie ma story ya mzungu kukimbia huko utopoloni? Oh I forgot issues za utopolo...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Huyu jamaa licha ya kuwa fundi mzuri wa Uchambuzi, kuna mahala naye huwa anakwama, unavaaje malapa kwenda studio? Halafu hapo Wasafi Media napo hawazingatii uweledi wa Wafanyakazi wao? Wengi wa...
5 Reactions
50 Replies
7K Views
Patashika ya Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC) linapigwa leo Mei 1, 2021 kwenye Uwanja wa Mkapa, ambapo Mabingwa Watetezi, Simba SC wanakwaruzana na Kagera Sugar katika mchezo wa hatua ya...
12 Reactions
211 Replies
16K Views
Kitendo tu cha Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo duniani ( CAS ) kutupilia mbali Ombi la Mchezaji Bernard Morrison kuwa Wasiisikilize Kesi yake ni ' wake up call ' kwa Simba SC kuwa kuna ' HATARI...
4 Reactions
39 Replies
5K Views
2018: Morata was at Chelsea when Atletico Madrid won the Europa League. 2019: Morata was at Atletico Madrid when Chelsea won the Europa League 2021: Morata is at Juventus who loses Serie A after...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
LONDON ,ENGLAND. MSHAMBULIAJI wa Chelsea, Tammy Abraham amepewa jezi namba 9 ya klabu hiyo akiirithi kutoka kwa mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina, Gonzalo Higuain. Kwa sasa jezi hiyo...
9 Reactions
34 Replies
6K Views
Huyu jamaa kwa jinsi alovyoondoka ni dhahiri yuko kwenye vita vikali sana na Simba vikiendeshwa chini chini. Hata msishangae sana kile kipigo south Africa alihusika katika kutengeneza fitna...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Pluijm amtetea Kerr Wakati kocha Yanga, Hans Pluijm akiituhumu Simba kufanya uamuzi wa kukurupuka kumfukuza Dylan Kocha wa Yanga, Han Pluijm (kushoto) akizungumza na aliyekuwa kocha wa Simba...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kuelekea mtanange wa kukata na shoka leo jioni kati ya Azam F.C na Mnyama.. Yule Kocha bora kabisa kwa sasa katika VPL, Dylan Kerr, mmiliki wa tuzo kibao za ukocha na kipindi anasakata kabumbu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nafasi ya 'katibu mkuu' yaani Afisa mtendaji mkuu (CEO) wa Simba kwa sasa iko wazi mara baada ya aliyekuwepo awali kujiuzuru ghafla. Huu ndio wakati muafaka wa Simba sc kumpa hiyo nafasi Paul...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Akitokea Tumbaku ya Mororgoro na kujiunga na Dar Young African miaka ya 1974 na kuendelea mchezaji huyu nguli Juma Matokeyo semeni mtamlinganisha na mchezaji gani wa sasa duniani watu ambao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo ilikuwa fainali ya ligi daraja la kwanza kati ya mshindi wa kundi A na B, Mbeya kwanza vs Geita Gold. Geita inayonolewa na Minziro imeshinda. Sasa wakati Fred anaenda kuchukua tuzo yake Karia...
1 Reactions
58 Replies
6K Views
Back
Top Bottom