Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kocha carlo ancelotti ameondoka EVERTON FC ya nchini uingereza na kujiunga na miamba ya soka ya nchini uhispania REAL MADRID mkataba umesainiwa mpaka mwaka 2024. === REAL MADRID YAMTANGAZA...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
110-120 miles per week!
0 Reactions
3 Replies
781 Views
Kocha wa timu ya Geita Gold, Fred Felix Minziro amewakanusha watu wote wanaosambaza video inayojaribu kuwashawishi washabiki waamini kwamba Rais wa TFF ana chuki naye na kwamba aliukwepa kwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mchezaji wa Inter Milan ambaye ni beki matata Vidal wiki iliyopita alipata chanjo ya kuzuia kupata ugonjwa wa Corona, lakini cha kushangaza wiki moja baadae amepimwa na kukutwa ameambukizwa virusi...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Hawa ndo wachezaji sita(6) waliofanikiwa kuchukua makombe yote matatu English Premier League UEFA CL & World Cup
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu Habari, Naona sasa kila msemaji wa club 3 za juu kwenye ligi kuu tanzania bara anasema kuwa timu yake ina nafasi ya kubeba ubingwa, nafikirii hii inakuja kwasababu hadi sasa hakuna timu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Bulembo,mzee mustaafu mwenye hekima zake ameapa kupeleka shauli mahakamani kuishtaki TFF ili iondoe kipengele cha lazima uwe na elimu ya Shahada ama degree ndipo uruhusiwe kugombea Urais na u...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
SportPesa yaipatia Simba SC [emoji1241] hundi ya Shilingi million hamsini (Tsh50000000) za kitanzania kama pongezi kwa kufika hatua ya robo fainali katika michuano ya klabu bingwa Africa msimu wa...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Kocha wa Los Blancos (Real Madrid) ameamua kuachana na timu hiyo rasmi baada ya kuwa na tetesi za muda mrefu. Klabu ya Real Madrid itatoa taarifa rasmi kuhusu kuondoka kwa Zidane. Zidane msimu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada ya kumaliza msimu (2020 /2021) bila kombe na kupoteza mchezo wa fainali, jumatano 26 mei 2021 dhidi ya Villareal; Manchester United inategemea kumwongezea Koche Ole Gunnar mkataba wa miaka...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Ole Gunnar ni kama hafanyi vizuri ndani ya Manchester United lakini Viongozi juzi wameanza mazungumzo nae juu ya mkataba mpya, ni kama inashangaza sana si ndio? Mikel Arteta ni kama hafanyi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Akiwa kaichezea Bayern Munich mechi 448, magoli 47, pasi za mwisho 35 na kubeba makombe 27, beki huyo wa kati amesaini mkataba wa miaka mitano kujiunga na klabu ya Real Madrid. Alaba [emoji1037]...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama shabiki wa Simba kindakindaki nimekaa nikiiangalia timu yangu hasa eneo la ushambuliaji. Ambako kuna Bocco, Kagere na Mugalu. Katika huyu Mugalu sasa anaweza kupata nafasi 5 za kufunga ila...
8 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa jina la Muumba na kwa upendo JMTanzania. Mwarabu huyu ametuonesha uzalendo na upendo wa dhati kwa Taifa letu adhimu. WanaMichezo na wanaHabari na wadau wengi watafaidika kwa njia mbalimbali...
19 Reactions
68 Replies
9K Views
Mwezi feb 1932 katika eneo la milan italia alizaliwa Casare Maldini, career yake ilikua ni kusakata kabumbu ambapo alicheza nafasi ya ulinzi . Mwaka 1954- 1966 alichezea club ya AC Milan akicheza...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari. Hadi sasa zimebaki timu nne ambazo zitacheza hatua ya nusu fainali na ratiba: Leg 1. 27 April 2021 Tuesday Paris Saint Germain Vs Manchester City Real Madrid Vs Chelsea Leg 2. 04...
7 Reactions
434 Replies
29K Views
Kwenye kampeni suala la mchezo ulisema utaisimamia ilani CCM kuhusu mambo ya viwanja vya wazi visiporwe, maeneo ya kucheza watoto na kadhalika! Ajabu sasa umesikika mjengoni unaongelea mambo ya...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi...
17 Reactions
139 Replies
11K Views
Mchezaj wa kimataifa wa Yanga mwenye asili ya kiangola amevunja mkataba wake na yanga na kuelekea kwao angola sababu hazijaeleweka ila chini ya kapet ni kuwa maisha ya utopoloni yamemshinda...
1 Reactions
69 Replies
7K Views
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna tukio linaonyesha mwamuzi akiungana na benchi la ufundi la Namungo kushangilia goli ambalo Steve Nzigamasabo wa Namungo aliitanguliza timu yake mbele. Bila shaka...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom