Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Bodi ya Ligi na Azam TV Limited kwa pamoja wameingia makubaliano ya kuonesha matangazo ya mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa muda wa miaka 10 wenye thamani ya...
Imekuwa ni muda mrefu sasa hatujakuona ukicheza katika timu yetu pendwa na tatizo sijui nini. Myself nai-miss sana ile mikwaju yako ya mbali ambayo katika timu yetu hiyo ni speciality yako tu na...
Ripoti kutoka Italy zinasema kocha wa timu ya Juventus na staa wa zamani wa timu hiyo, Andrea Pirlo atatimuliwa kazi muda wowote kuanzia sasa!
Klabu hiyo imekuwa na matokeo mabaya msimu huu huku...
Katika mechi ya Simba vs Dodoma Jiji, timu ya Simba ilipiga jumla ya pasi 873 na kati ya hizo, pasi 730 zilifika zilikopangwa kwenda. Takwimu hizi ni kwa mujibu wa Anwar Binda wa Wasafi FM wakati...
Tajiri na mmiliki wa klabu ya Manchester City, Sheikh Mansour asema atagharamia gharama zote za usafiri kwa mashabiki wake watakao hudhuria fainali za UEFA huko jijini Porto, Ureno tarehe 29 mei...
Leo asubuhi klabu ya Juventus imefikia makubaliano ya mdomo na Kocha Massimilliano Allegri kuinoa Juventus. Muda so mrefu atasaini mkataba na klabu hio itatangaza rasmi.
Andrea Pirlo rasmi...
KUHUSU RANKING
Afrika ina nchi 54 lakini ni nchi 32 tu zipo kwenye CAF RANKING na TANZANIA ikiwemo, hii ina maana kwamba mataifa 22 ya Afrika hayamo na ni kwasababu timu za nchi hizo hazifanyi...
Erling Haaland ampiku Robert Lewandowski katika tuzo ya mchezaji bora wa mwaka kwenye bundesliga. Ingawaje Lewandowski kuwa na msimu mzuri kwa kuvunja record ya Gerd Muller (magoli 41 kwa msimu)...
Habari.
Muda huu ni saa 02:15 usiku ila naona notification ya Simon Msuva kutupia goal lake dakika ya 39 ya mchezo kwa timu yake ya Wydad Casablanca.
Simon Msuva a.k.a 'kibaba' naona anaendelea...
Awali nilikuwa najiuliza kuwa kama hawa ndio wazungu na ndio inaaminika wao ni binadamu wenye akili kutuzidi! Inakuaje wanashindwa kuona vitu ambavyo viko wazi kabisa kwenye football!?
Vitu...
Ilikuwa Februari, 6, 1958, Timu ya Manchester United ilikuwa ikitokea Belgrade, kucheza na timu ya Red Star. Manchester ilikuwa chini ya Kocha Matt Busby; wachezaji wake walijulikana kama "Busby...
Wakuu,
Kikao cha Kamati ya utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kilichofanyika leo jijini Dar kikiongozwa na Rais wa TFF, Wallace Karia kimepitisha rasmi Uchaguzi mkuu wa TFF...
Baada ya majuzi Azam kupata haki ya kuonyesha VPL kwa mkataba wa miaka kumi walitamka na kiasi kitakacholipwa klabu zote shiriki
Kilichokuja nistua na kuniuma nilipokuja sikia kipindi cha michezo...
Maajabu Yanga, kanuni na Kamati ya Saa 72
BILA shaka umeshawahi kusikia Yanga Kampuni na Yanga Asili. Lakini utakuwa umewahi kusikia kuhusu Yanga Katiba na Yanga Ukuta. Hayo ni makundi yaliyowahi...
Asante Azam Media, Kampuni ambayo imechochea san aukuaji wa soka Tz, Mechi zote huzionyesha kwenye tv bila kujali ukubwa wa timu wala eneo
114,272,966.78 USD kwa miaka 10
97,284,020.03 USD baada...
Sasa hapa nchini Tanzania imekuwa ni kawaida Timu yoyote ile ya VPL ikija kucheza na Simba SC uwanja wa Mkapa na ikifingwa tu Kihalali (Kimchezo) itasingizia kuwa walipuliziwa Dawa Vyumbani...
TFF na AZAM TV zimeingia mkataba wa kudhamini ligi ya soka Tanzania Bara bila ya kutangaza Tenda na Pia hakuna mikataba mirefu kama huubwa miaka kumi.Huu ni ukiukwaji wa utaratibu wa kuonyesha...
OGS nakuombea kila la heri leo maana kwenye GROUP letu la WhatasApp watu wamesha andika MAKALA YA UDHAHIFU WAKO, MAKOSA YAKO, CV YAKO kwakifupi MISHALE IPO KWAKO wanasubiri UTELEZE TU uweze kujua...
Patashika ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup (ASFC), hatua ya robo fainali, kupigwa leo Jumatano ya Mei 26, 2021 ambapo Mabingwa Watetezi Simba SC, wanawakaribisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.