Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hii ndio tofauti kati ya wale wanaokula mayai viza na pizza. Kwa hali hii wataendelea kuota ubingwa.
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Pamoja na maneno ya kashfa aliyoyasema Saido habari za kula Mayai Viza n.k sisi hatujali na tumemsamehe bado ana utoto. Ila aulize wenzie watamweleza. Na ashukuru kuwa amesafishwa nyota yake sasa...
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Hivi kweli wana Yanga SC kulikuwa na Umuhimu wowote wa Kuachana na Kocha Mwambusi na kutuletea hawa Wala Tende wa Tunisia Nabi na Wenzake? Hivi kweli GSM ni wa Kutusajilia Yanga SC yetu hii...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Karibuni tuelezane Tetesi za usajili VPL na FDL. Taja jina la mchezaji anatoka timu gani, anaenda wapi Naanza na Charles Ilanfya (KMC) kwenda Simba Mwamnyeto (Coastal Union) kwenda...
1 Reactions
49 Replies
8K Views
Kwanza nijitambulishe, mimi ni Simba Sc fun, naipenda Simba Sc to the Climax/Fullest. Leo ni kilele cha wiki ya mwananchi, uwanja wa Mkapa, nimefungua uzi maana naona dalili mbaya, nawaonea huruma...
6 Reactions
220 Replies
20K Views
Wale mafundi wa kusakata kabumbu africa mashariki na kati, wanajangwani,kipenzi cha watanzania wapenda soka,Dar es salaam young african tanzania,leo wanatarajia kuwa na mechi kali kati yao na...
9 Reactions
87 Replies
7K Views
Hongereni watani zangu a.k.a Utopolo. Sajili zenu zinatushangaza sana ukizingatia hali yenu ya kiuchumi hivi sasa. Ila tutakutana uwanjani tuwagonge bao 10.
1 Reactions
93 Replies
12K Views
Mimi ni shabiki wa Yanga kama nijulikanavyo hapa jukwaani. Ila nimeshangaa kinoma kuona Mwakalebela akiitisha vyombo vya habari na kuanza kulalamika kuhusu kuonewa na waamuzi viwanjani, cha ajabu...
12 Reactions
102 Replies
7K Views
Nikiwa kama mwana Yanga SC tena Mwanachama wake kabisa GENTAMYCINE mapema kabisa kabla hata 'Dirisha' la Usajili halijafungwa Usiku wa leo nakuwa wa Kwanza kabisa Kupinga 'Usajili' huu 'Mbovu'...
5 Reactions
45 Replies
5K Views
Wakuu habari zenu hapana shaka Simba aka Jobo wamekalia kiti cha uongozi wa ligi kwa muda lkn nimeona wana kelele mingi koko hawa....!! Leo jioni tunachukua pointi tatu muhimu kutoka kwa Azam na...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
MOTO uliouwasha Prince Dube sio wa kitoto kwani jamaa unalijua goli balaa. Mpaka sasa Dube ndiye unayeongoza kwa mabao kwenye Ligi Kuu ukifungana na mfungaji bora wa msimu uliopita Meddie Kagere...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Akiongea kwenye kipindi cha michezo Radio UFM. Afisa Habari wa Azam FC Thabit Zakaria 'ZakazaKazi' amekemea na kutoa Vitisho vikali kuhusu wenye mpango wa kuhitaji huduma ya mshambuaji hatari...
9 Reactions
38 Replies
6K Views
Rais wa shirikisho la soka Ulaya 'UEFA' Aleksander Ceferin amethibitisha vilabu vyote 12 vilivyotaka kushiriki mashindano mapya ya 'European Super League' vitaadhibiwa. ''Pamoja na mpango wao...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wazee tulio angalia mpira wa Azam vs Yanga huyu kijana BRAYSON naomba kupewa CV yake kwanini haitwi national team? Mbona hapewi heshima anayostahili? Azam mtunzeni huyu kijana ni natural Talent.
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Sitii neno lolote,tazama mwenyewe. Ningekuwa Mkude huyu line 2 ningemzaba kibao
4 Reactions
43 Replies
5K Views
Yanga imekuwa katika wakati mgumu baada ya mtu asiyejulikana Hans Pope kumuweka kwenye mikono salama striker wa Yanga Saido. Katika hali ya kushtua Saido amefuta picha zote akiwa na jezi za Yanga...
5 Reactions
59 Replies
44K Views
Hawa ndio wanastahili tuzo za umahiri katika kutangaza mpira redioni au kwenye Televisheni 1. Jesse John 2. Baraka Mpenja 3. Urrasa
4 Reactions
20 Replies
7K Views
"Nimezunguka Nchi Nyingi Kisoka Ila Yanga Ndio Timu Iliyonishangaza Kimfumo, Sizani Kama Ni Sahihi Afisa Uhamasishaji Kupanga Kikosi Yani Amekuwa Na Nguvu Kuliko Kocha, Binafsi Sijavutiwa Kubaki...
7 Reactions
73 Replies
8K Views
Ditram bado anaonekana mwenye furaha baada ya kufunga goal siku kadhaa zilizopita. Huku na Saido naye kwa furaha kabisa baada ya kufunga goal aliomba atolewe nje ili aende kushngalia. Kwa kweli...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau wa michezo humu ndani, nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ninaomba msaada wa kitabu cha sheria za mpira wa miguu, na pia kama kuna mwenye kitabu cha mazoezi ya viungo...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…