Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwanza awali ya yote niipongeze klabu cha Yanga kwa kutwaa ubingwa Jana. Moja kwa moja kwenye mada. Niseme tu wazi kwamba huyu Morison inatakiwa apewe ushauri abadilike. Haiwezekani anapewa pesa...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Miaka ya nyuma tunanua Yusuph Manji alikuwa anawanunua sana waandishi wa habari waandike kuhusiana na yeye na Yanga. Na moja ya magazeti ambayo yalitumika sana ni MWANASPOTI. Gazeti hili...
6 Reactions
40 Replies
5K Views
Eti anaacha soka kwasababu ya adhabu aliyopewa kuwa ni kubwa sana.Aende zake akafanye biashara, soka limemshinda kwani Tanzania hii ya watu milioni 40 ndie mchezaji pekee? Hata timu nzima ya Yanga...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mzee mmoja kutoka Bukoba ambaye kwa sasa yupo hapa Dar es salaam anadai kwamba Mshambuliaji wa Simba SC Tanzania Meddie Kagere ni mwanae na anaomba uongozi wa @simbasctanzania umkutanishe na...
6 Reactions
56 Replies
8K Views
SIMBA SC YAACHANA NA KOCHA SVEN DAR ES SALAAM: JANUARI 07, 2021 #HABARI: KLABU ya SIMBA SC imetangaza kuachana na kocha wake Mkuu Sven Vanderbroeck kwa makubaliano ya pande zote mbili. Taarifa...
6 Reactions
139 Replies
15K Views
Baada ya kina Francis Mhando wa Efm kumfanyia dhihaka Barbra na kumuita pisi kali chombo ya fundi wakihusisha maneno ya mtandaoni kuhusu mkude kusimamishwa kwamba alimtongoza nilianzisha uzi hapa...
3 Reactions
80 Replies
13K Views
Aisee Simba ina bahati mbaya sana na makanjanja kwa kweli, juzi kaulizwa matola kajibu jana kasema hana match fitness, inawezekana wanatudanganya lakini ukiniambia hawezi kukimbia tena...
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Yeeessss mambo ni fayaaaa ranking mpya ya CAF mwezi january imetoka simba iko nafasi ya 17 ikiwa na points 14, utopolo wako namba 69 wakiwa na point 1, Gor Mahia ni ya 29, kwa Afrika mashariki...
6 Reactions
44 Replies
6K Views
Nasisitiza Maamuzi haya ya CAF siyo kwa Ushindi wa Namungo FC bali ni kwa Ushindi mnono wa Simba SC na Kufuzu Kwake Makundi CL iliyopo. Taarifa: Mtandao rasmi wa CAF Ni matumaini yangu sasa Timu...
28 Reactions
87 Replies
13K Views
Huu ni ujumbe mahususi kwa Mashabiki wa soka nchini Tanzania , tunafahamu furaha ya Yanga (Kipofu kaona mwezi) , lakini sisi Simba tunalenga michuano ya CAF champions League tu. Sitaki maswali .
4 Reactions
46 Replies
5K Views
Sasa ndio naamin team yangu pendwa simba bila mchezaji aina ya chama hatuna mbinu za kufunga Hasa tunapocheza na team kubwa nashindwa kuamin mfungaji Bora wa Mapinduzi Cup hajapiga hata mpira...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nikiwa kama mpenzi wa soka, nilifanikiwa kuangalia baadhi ya mechi za kombe la mapinduzi hasa zinazohusu timu kubwa za Simba na Yanga. Niliangalia game ya Simba na mtibwa, binafsi sikuona ubora...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Simba na Yanga ni watani wa muda mrefu, utani unaendana na majigambo na tambo za hapa na pale, sasa kwa miaka hii ya karibuni Simba imeiacha mbali sana Yanga zaidi ya kuwa bingwa wa Kihistoria...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu leo ni siku nzuri sana, kwa mashabiki na watani wa jadi wa mpira wa miguu. Mimi ni mshabiki na mpenzi wa mnyama Simba SC. Utabiri wangu leo ni Simba kuondoka na kikombe kutokana na timu...
9 Reactions
190 Replies
19K Views
Yanga tuna bao 2 Simba 0. Ushihidi ni huu uzi. Yanga tumeadhamilia kushinda hii match. Wakati Simba tayari wanaonekana kushindwa hii match mapema sana. Hivyo nawashauri wana Yanga tuanze...
7 Reactions
35 Replies
4K Views
Namungo FC watakutana uso kwa uso na Primeiro de Agosto ya Angola katika hatua ya mtoano ya mashindano ya Kombe la shirikisho barani Afrika. Timu hiyo ya Ligi Kuu ya Tanzania ambayo inacheza...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeachana rasmi kubet football nimehamia basketball..aisee najuta sijui kwanini nilichelewa kuijua basketball yaani uku pesa nje nje hakuna vyuma kukaza. Jana nitumia sh300 tu nimeshinda laki5...
13 Reactions
101 Replies
35K Views
Mchezo wa leo mmeonaje KIWANGO cha sapong tumuache au tuendelee naee
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wakubwa, Moja moja twende kwenye fact awali kulikua na sinto fahamu juu ya kuondoka kwa Seven msemo wa "time will tell" umekuja na majibu kamili Awali imeripotiwa aliondoka kwasababu...
13 Reactions
85 Replies
9K Views
Napenyezewa habari hapa kutoka Simba SC jikoni kuhusu maombi ya ajira ya ukocha Simba SC. Nimeambiwa mpaka jana kuna makocha 108 ndani na nje ya bara la Afrika wametupa maombi. Kati ya makocha...
11 Reactions
77 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…