Tatizo la wapenzi na mashabiki wa Simba kutoweza kuingia uwanjani kutokana na malfunction ya mfumo mpya wa ulipiaji wa tickets kwenye uwanja huo limejirudia tena leo na kuwafanya mashabiki wengi...
Baada ya Azam media kuonyesha mechi chache za ligu kuu bara msimu uliopita ambapo Azam wana haki ya kuonyesha mechi hizo. Wadau wa michezo wakawataka TFF kuwabana Azam ili watimize vigezo vya...
Mihimili mikuu ya karate ni: Kihon,Kata na Kumite.
Ujumbe:
Karateka usiogope kutojua kwako kata nyingi jidhatiti kwnye Kihon na Kumite utasimama kama Bruce Lee.
Leo saa 18:30 kuna mechi ya Chelsea na Liverpool halafu saa moja mechi ya Simba na biashara.
Nina hamu kuona Simba anafanyaje leo lakini itabidi tu nilazimike kuangalia mechi ya Liverpool.
Huu...
Hatimaye Timu ya Yanga imegusa nafasi ya Kuongoza msimamo wa ligi ya VPL, jambo hili halijawahi kutokea kwa timu ya Yanga takribani miaka Miwili nyuma.
Pongezi kwa Timu ya Yanga japo lolote...
Baada ya kuvinjari kileleni Kwa masaa kadhaa kwenye ligi Ya VPL hatimaye Yanga yaporomoka tena mpaka nafasi ya 4, hii ni baada ya S.S.C kushinda 4G, hata hivyo pongezi kwake kocha mpya Zlatko...
Nimeangalia mpira wa Kagera Sugar mechi mbili za mwanzo kwakweli wana uwezo wa hali ya juu, wachezaji wana morali ya mchezo, wanacheza kwa nidhamu ya hali ya juu na wanaonekana kabisa wapo ground...
Naangalia hapa mechi kati ya RB Leipzig na Mainz, lakini lugha inayotumika ni kiswahili, ukibadilisha ili kupata lugha ya mabeberu inakuja lugha nyingine.
Namuona hapa Yousuph Poulsen mwenye asili...
Hakika nisiwe mnafiki mimi kama mwanachama na mshabiki kindakindaki wa timu ya Wananchi au kwa jina lingine mabingwa wa kihistoria hadi dakika hii sijaona cha maana walichofanya timu yangu...
kwangu mimi naona huku ni kuchemka kabisa kama EPL imeshindikana ni bora tungebaki Spain, na la liga yetu, ambapo walau kuna mabingwa wawili, Barcelona na Real Madrid, kuliko huku ambapo unaona...
mbona yanga inakiuka kanuni ligi na mko kimya
Na nyie vodacom na gsm mmekosa wekedi mpaka kukubali nembo zenu kuharibiwa
Sent from my SM-G530T using JamiiForums mobile app
Habari wana Jamiiforums
Baada ya kuifunga Mbeya city, leo mabingwa wa kihistoria wa Tanzania tunaenda kucheza na Kagera sugar katika uwanja wa kaitaba mkaoni Kagera. Nawakaribisha mashabiki wa...
Nahodha wa klabu ya Aston Villa ya nchini Uingereza Jack Grealish amesaini mkataba mpya wa miaka mitano na klabu yake ya Aston Villa utakaomfanya asalie klabuni hapo Hadi mwaka 2025.
Jack Amekuwa...
Wadau karibuni tujaribu kuchambua uzuri na udhaifu wa marefa wa VPL na wale wa EPL. Kwa vile hapa nchini kumekuwa na malalamiko kuwa kuna watu wanabebwa. Pia huko EPL kumekuwa na malalamiko juu ya...
Tumekuwa tukishuhudia michezo mbalimbali ikifanyika kwenye sub standard sports arena katika nchi yetu. Na hii inatokana na labda kutokuwa na financial resources au ni utashi tu wa wahusika wetu...
Salaam Wananchi,
Kwa Masikitiko makubwa Mimi nikiwa Yanga kindakindaki sikubaliani na hili, Yani Simba watengenezewe Jezi halafu sisi tutengenezewe Vijora?
Kwa Vijora hivi sisi hatukubaliani...