Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kuna Watu Watatu kutokea Mbagala alipokuwa akiishi Mchezaji ' Mahiri ' kwa sasa wa Kitanzania Mbwana Ally Samata a.k.a Popa wamenifanya nianze Kuamini kuwa Watanzania tuna ' Nongwa ' na ' Uswahili...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Leo Yanga ilikuwa ikicheza na Mtibwa lakini katika mechi ikatokea offside upande wa Mtibwa ambayo haikuwa ya kweli lakini jambo hili halijawa gumzo sana. Tukio lile ingelikuwa limetokea upande wa...
5 Reactions
24 Replies
4K Views
Tuweke pembeni Usimba na Uyanga na tutoe mawazo ili ligi yetu iweze kuwa ligi bora na sio Bora ligi. Mana kumekuwa na malalamiko Mengi katika ligi kuu Tanzania Bara, na Mengi yanatoka kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samatta akazane na mpira tu Haya mambo ya mashabiki ni ngumu sana kuzuia, Mfano; ukienda page ya Man City ni full kiarabu na kila mada huhusishwa na Mahrez hiyo imetokana na uwepo wa Algeria wengi...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Katika mashindano ya “CAF Champion League” 2019/2020 Tanzania iliingiza timu mbili ambazo ni Yanga FC na Simba Sc. Kutokana na mafanikio ya Simba Sc katika msimu uliopita wa mashindao haya...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Samatta awachoka Watanzania wakorofi mtandaoni Mshambuliaji wa klabu ya Aston villa na timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Mbwana Samatta ameeleza masikitiko yake kufuatia maoni...
2 Reactions
52 Replies
8K Views
Serikali imesema itaendelea kuwabana wafanyakazi na wachezaji wote ili walipe kodi stahiki na Serikali iweze kupata mapato yake. Akijibu swali la Mbunge Bungeni leo Januari 4, 2020 Naibu Waziri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kampuni ya GSM imepanga kuiendesha Klabu ya Yanga kisasa kwa kuleta Mtendaji Mkuu (C.E.O), mpya wa timu hiyo atakayeifanya kuwa ya kisasa ili kufikia mafanikio yao. GSM ni kati ya wadhamini wa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
[emoji1621] Machache toka OT ( Manchester United V Wolves ) [emoji736] Fred ni mdhaifu sana katika ukabaji kuna wakati mipira ambayo yeye alipaswa kuizuia tangu juu alikuwa anafeli na kufanya...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo kutakuwa na game ya kukata na shoka kati ya Young Africans, Watoto wa Jangwani wakikutana na team ngumu na mabingwa wa Kombe la Mapinduzi a.k.a wazee wakulambisha sukari Mtibwa kwenye Uwanja...
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Hii tabia ya kujifanya tunaujua mpira saaaaana hadi kwenda kuchafua page ya Aston villa na wachezaji, hakika tunamharibia kijana wetu tunayempenda saana. Atakosa ushirikiano kwenye timu na mwisho...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Samatta angalia usije kuwa kama Emmanuel Eboue na wengine kama yeye. Tumeona kilichompata aliyekuwa mchezaji mahili wa washika bunduki wa London mchezaji Emmanuel Eboue. Mafanikio aliyoyapata...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Sisi wadau hatuongei sana na hatukufundishi ila utakuwa ushaelewa kinachoendelea hapo Mbele....hivi ana matatizo gani huyu kijana wako Glealish? Sasa kaa na kijana wako umwambie kabisa kwamba...
9 Reactions
64 Replies
6K Views
Wapenzi wa ngumi kuna mtu bado anamkumbuka Razor Ruddock? Miaka ya mwisho ya 80 na mwanzo mwa miaka ya 90. Alipigana na Tyson mapambano 2 ingawa yote Mike alishinda. Pambano la marudiano na...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Vodacom Premier League VPL kuendelea kutimua vumbi leo February 1, 2020 kusaka alama tatu muhimu, ambapo Vinara wa Ligi Wekundu wa Msimbazi, Mnyama Mkali...
5 Reactions
104 Replies
11K Views
PETER DRURY NA KINYWA KILICHOTAKASA BURUDANI YA SOKA Utamu wa Drury chumbani kwa David Cameroon. Ukifika viunga vya St John's School katika utawala wa mama mpendwa Malikia wetu Elizabeth ndani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Michuano mikubwa ya Tennis kwa upande wa Gland Slam imeanza kutimua vumbi hii leo huko Australia katika jiji la Melbourne. Michuano hiyo mikubwa inatarajiwa kufika ukomo hapo tarehe 2 ya mwezi wa...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Mzuqa wanajamvi! Kuna wasiwasi wa Liver kutokutwaa ubingwa wa EPL kutokana na homa ya mafua Coronavirus kuingia Uingereza na kuthibitika leo watu wanne wanayo huko Scotland baada ya kutoka nayo...
5 Reactions
22 Replies
4K Views
Sasa ni dhahiri kwamba huyu Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani , kuendelea kumbakisha kama Mshauri Mkuu wa bodi ya Simba ni kuiingiza timu yetu kwenye uchafu wake ulioshitukiwa dunia...
7 Reactions
43 Replies
4K Views
Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirates amefedheeka sana kwa kuiga stail yake wakati mkicheza timu moja huko South. Kumbe wakati wewe kakuweka Benchi ulikuwa na kazi ya kukopi haki zake za kucheza...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Back
Top Bottom