Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Samatta uwanjani, kesho nitashare live stream kwaajili ya wale wanaotaka kistream ili kuchek ball. Tujuane mapema. Kizuri share na mtanzania Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
3 Replies
577 Views
EDIBILY JONAS LUNYAMILA RASHFORD ALIEZALIWA SHINYANGA ‌Rashfoooord ........he scored his dream goal he was looking for and maybe he will never ever forget .......ilikuwa ni saut ya mtangazaji wa...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa nini Yanga hawalalamiki sasa hivi kama wanaona ratiba imepangwa na wao hawamo? Kwa nini wanasubiri bodi yenyewe ishituke ndio waanze kuja na hisia eti watapangiwa mechi za karibu karibu...
5 Reactions
9 Replies
4K Views
Simba hasa Mo na Manara wawe makini takukuru wapo kazini maswala ya kuonga waamuzi muache tuna mchongo wote wa kuhonga mechi. Acheni iyo tabia chezeni mpira uonekane. takukuru itawashughulikia...
5 Reactions
38 Replies
4K Views
Akizungumza na Moja ya Wahariri wazuri wa soka, Muhariri huyu ametanabaisha kuwa. Yanga wameamua kupambana na Simba nje ya uwanja kuliko uwanjani. Na wameamua hawataki tena kuzungumzia ubora wa...
2 Reactions
3 Replies
36K Views
"Kiukweli mimi na vijana wangu tulipitiwa (kuwasahau) kuwapangia Yanga SC mchezo toka wacheze mchezo wa FA dhidi ya Prisons, Yanga nao walipaswa kutukumbusha kupangiwa mechi" Steven Mguto...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Huyu kaingia kwenye 18 zetu na bahati mbaya wanaomtumia wameshaanza kumkana na wanalaumu TFF eti wamekuwa wakali sana kwenye suala hili. Dogo anasema line alishavunja baada ya kushauriwa na watu...
8 Reactions
80 Replies
9K Views
Hello Hello...! Patashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea kutimua vumbi leo Jumatano ya January 29, 2020 ambapo Mabingwa wa Nchi Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, vinara wa VPL wakiwa na alama 41 kwa...
11 Reactions
255 Replies
22K Views
Kocha wa Namungo wakati anafanya press baada ya kumaliza game yao dhidi ya Simba wameeleza kwanini walikaa nje ya dress room kipindi wameenda kupumzika baada ya first half. kocha wa Namungo...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Samatta: Huyu ndie anaefaa kuwa rafiki yako Aston Villa. Kwanza natoa pongezi nyingi kwake Mbwana Samatta jana tumeona akicheza mchezo wake wa kwanza akiwa na jezi ya Tim yake mpya ya Aston...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Dogo hajahongwa na mtu..Mwalimu Nyerere wakati Tanzania na Malawi tunagombea mpaka wa ziwa nyasa..na Kamuzu Hastings Banda akiwa na uungwaji mkono mkubwa wa mabeberu (Afrika ya Kusini, Ureno...
2 Reactions
39 Replies
7K Views
Wahamasishaji wetu hawa kupitia michezo ifikie pahala serikali iwape heshima ya kuwatambua na kuwasaidia katika njia moja au nyingine kwani wayafanyayo mbali ya kuonekana ni comedy lakini wamekua...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Hata mimi nimetokea kumkubali mbali ya kuwa naishabikia Yanga,lakini nimewaza tu hizi sifa na covearage kubwa anazopata na ugeni wake asije akavimba kichwa akashindwa ku deliver hasa kile...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Hakika bila mashabiki, mchezo wa mpira wa miguu si kitu! Timu ya Valencia imeweka sanamu katika kiti cha shabiki wake (sasa ni marehemu) ambaye alihudhuria uwanjani hapo kutazama kila mchezo hata...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwenye pita pita zangu leo mitandaoni nilifanikiwa kuingia kwenye page ya Sky Sport ya Instagram, Source ya michezo ambayo naiamini kuliko zote. Achana na hao wakina Shafii Dauda, maana kwenye...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
wadau wote tusiokuwa na DSTV link hii hapo tujoin pamoja aisee hiyo hapo chini Liverpool Vs Barcelona Live Streaming Link
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jana ilikuwa ni siku ya kipekee sana kwa watanzania. Jana, mamilioni ya watanzania kwa namna mbalimbali macho yao yalikuwa katika jiji la Birmingham. Macho yao yalikuwa huko kwasababu moja tu...
7 Reactions
11 Replies
2K Views
Ukiistaajabu ya uwanja wa CCM Sokoine Mbeya utayaona ya CCM Kirumba. Nimeskia tangazo redioni kuwa Harmonize atakua na Show ya bure Kirumba tarehe 7 February km sjakosea chini ya udhamini wa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Leo nd'o leo. Macho ya watanzania wengi wapenda michezo yataelekezwa katika jiji la Birmingham. Katika uwanja wa Villa Park unaomilikiwa na klabu ya Aston villa kutakuwa na mtanange wa nusu...
3 Reactions
203 Replies
19K Views
Mbwana Alli Samatta ‘Captain Diego’ leo anaanza kukiwasha ardhi ya Malkia. Wakenya mnanuna sana poleni. Wanyama kazeeka. Mariga sijui yuko wapi? Wakenya ndo mjue kama ni mvua basi hii rasha...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…