Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hawa wacheza watatu wanastaili heshima ya kipekee kwa taifa letu. Kwanza wamecheza kwa kiwango cha juu kwa muda mrefu takribani miaka 15 wakiwa katika ubora ule ule. Lakini cha msingi zaidi ni...
6 Reactions
48 Replies
4K Views
Achana na issue ya Kapilimba, wenyewe wanajuana Mzee wetu Said Hamad El Maamry mwenyekiti wa kwanza kabisa wa FAT sasa TFF na mjumbe wa kudumu heshima wa CAF ambaye kwa sasa anasumbuliwa na...
6 Reactions
18 Replies
5K Views
Boo njoo vile mi nasemaka, TFF iko inaonea sn Yanga. Wamenifungia mimi kuvaa hii niniiii kaptura,ona sasa tunapoteza mechi. Yote haya ni mambo ya ovyooo
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi...... Naomba kuuliza wachezaji waliowahi kucheza Moira wa miguu nje ya Nchi walishawahi kuleta tija yeyote kwenye jamii iliyozunguka kisoka? Walishawahi kuanzisha hata...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa wale wenzangu na mimi Wa kutupia mikeka Join My whatsap group! Kwa wale tunaobet double Chance, both team will score, over/under 2.5 https://chat.whatsapp.com/C9lATRU61o13bbAsVGAfmH
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Napenda sana Kazi yako, bidii yako na Ubunifu wako ambao hauna mfano ila Kiingereza chako kinakuharibia na sijui ni kwanini hutaki Kukiboresha wakati Uwezo huo unao na ikijulikana kwamba sasa upo...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Huyu bwana mdogo anaupiga mwingi lakini hatajwi popote, sio kwenye tuzo za soka, sio vyombo vya habari. Lakini huyu jamaa ana namba kikosi cha kwanza ndani ya timu kubwa kama Azam nadhan miaka 3...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakati akitambulishwa kuwa ambassador wa parimatch ambayo ni company ya kubetti Leo msanii wa kimataifa diamondplatnumz amesema pia alikuwa na mpango wa kuanzisha company ya kusaidia kuwatafutia...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Kumbe ni kweli mazoea hujenga tabia. Serikali yetu imeonyesha mazoea mabaya ya kutopenda kulipa madeni yake hadi ishtakiwe na kupambana mahakamani kisha linakuwa jambo LA kujisifia hadi bungeni...
0 Reactions
3 Replies
981 Views
Imekuwa ni jambo LA kawaida kwa watanzania kutopenda kuvitukuza na kuvipenda vitu vyetu wenyewe ambavyo asili yake ni hapa hapa nchini kwetu. Imekuwa ni ya wapenzi na mashabiki wa mpira wa miguu...
0 Reactions
1 Replies
619 Views
Hii ni taarifa inayosambaa kwa kasi mitandaoni kwa sasa. Taarifa zinaonyesha kwamba kocha huyu ameiongoza Taifa Stars kwa mechi 10 na kufanikiwa kupata ushindi wa mechi mbili ikiwemo ile ya...
3 Reactions
81 Replies
11K Views
Toka hafidhi awepo pale yanga Mechi zote za yanga za mwisho yanga na azam Yanga hajawahi kumfunga azam na si goli moja zaidi ya mbili na tulisha waambia viongozi na tunapata taarifa hushawishiwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Aman iwe nanyi Simba mzingatie haya Mkishindwa kufunga magori basi hata walau mshinde njaa Na kama mkishindwa kusonga mbele bas walau hata msonge ugari Mkumbuke sisi kama wana jangwani...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
Kwa taarifa zilizopo ni kwanza AZAM TV itaanza kuonesha ligi kuu ya Uingereza (EPL) kuanzia kesho jumamosi tarehe 31/8/2019 kupitia Azam UTV. Wanaanza na mechi ya Chelsea vs Sheffield united
1 Reactions
69 Replies
11K Views
Mabeki, Viungo, wawinga, na mafowadi kwenye mechi na Burundi hawakustahili pongezi pia kama za kipa wetu Juma Kaseja?
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwa aliyekuwa akitizama Mchezo huko Mwanza hawezi kukataa wala kubisha kuwa Toto Africans ' wamehongwa ' na Yanga SC leo ili wacheze chini ya Kiwango, wafungwe Goli nyingi ili kuwatia Imani...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu, Awali ya yote tunamshukuru Mungu kwa kutupa nafasi ya kusonga mbele haswa pale tulipoona kipa anageuzwa tegemeo na wachezaji wote kumi. Mvinyo unapozidi kukaa ndipo unapozidi...
6 Reactions
52 Replies
5K Views
Kuna baadhi ya wanasiasa ama kwa kujua au kwa kutaka kwao sifa kauli zao zimekuwa zinaigawa taifa stars na wananchi kwa ujumla. Ni wakati sasa TFF iweke kanuni kuzuia wanasiasa kutoa zawadi au...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Ukiitwa Tanzania one toka kipindi kile basi kweli wewe ni Tanzania one. Kipa bora ni yule ambaye anakuwa na consistency sio leo kichaa kesho mzima leo ndezi kesho mdebedwo. Sasa yale magoli ya...
11 Reactions
80 Replies
9K Views
Wandugu, Mimi sio mpenzi sana wa soka, ila huwa nafuatilia timu yangu ya Taifa, Timu yangu ya Mkoa naotoka, na timu mbili tatu ambazo zinanifutia ligi za mbele, ila sio yule shabiki ambae ni...
10 Reactions
113 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…