Yaani hawajaamini kule kutoa draw na timu ya Yanga maana waliamini zile goli 3 walizompiga simba mwaka 2014 zingejirudia,ila bado wanakumbuka matokea ya Yanga na township rollers yasije kuwakuta.
Mimi kama mwanasimba halisi. Nilivyoona simba yangu msimu uliopita ikifanya vizuri na usajili iliofanya mwaka huu nikajua tutakua mabingwa wa Africa.
Kwa bahati mbaya ud songo wamakonde wakatutoa...
..Mjerumani Rudi Gutendorf aliekuwa kocha wa Taifa Stars miaka 80 amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 93. Rudi ndie anaeshikiria rekodi ya dunia (Guinness World Record) ya kufundisha timu...
Shiriki katika utafiti unaofanyika kuhusu mpira wa nchini tanzania kuhusu athari ya uongozi wa timu kutokuwa na ukaribu na mawasiliano na mashabiki wake.
Mawazo yako kama mwanamichezo ni ya muhimu...
Wachezaji pekee ambao wanaweza wasilaumiwe moja kwa moja ni Yondani,Moro, Mitacha Minacha na Mapinduzi. Ila wengine wote walikua na makosa kibao!
1.Ali sonzo. Nakumbuka mpaka mechi inaisha...
Msimu huu sioni wa kuzizuia timu za EPL kutesa tena kwenye michuano ya ulaya ,
Naiona Liverpool ,man city zikifika mbali kuanzia nusu hadi fainal ,
Timu kama Madrid bado haijaelewana vema ...
Nimekuwa nikimfuatilia Kocha Mwinyi Zahera tangia ajiunge na Timu ya Yanga Mwishoni mwa msimu wa 2017/18. unaweza kusema amepata mafanikio kiasi ikiwemo kuifanya Timu yake kushika nafasi ya Pili...
Patashika ya Kombe la Shirikisho Soka Barani Afrika, Kuendelea kutimua vumbi leo Jumapili ya September 15, 2019 ambapo wawakilishi wa Tanzania Azam FC wakiwakaribisha Triangle United ya kutoka...
Hakuna mahali popote duniani mshabiki wa soka aliyelipa kiingilo kuingia uwanjani anaruhusiwa kupigwa au kufanyiwa fujo.
Kuna wahuni wachache wasiojua mpira wanavamia soka letu. Na Kuna kila...
Nataka niushauri Uongozi wangu wa Yanga SC kwamba tuwaombe CAF na hata TFF watuanzishe Ligi ' Maalum ' tu ambao Ushindi wake utakuwa ni wa Kupiga / Kupigiana tu Penati kwani naamini kwa Timu yetu...
Wana Yanga SC wenzangu wala tusishangalie sana kwani kumbe tunacheza na Zesco B ( Kikosi cha Pili ) cha Zesco na cha Kushangaza bado wanatusumbua tu na haka ' Kagoli ' ketu Kamoja ka Kupewa na...
Leo kutakukuwa na game ya kukata na wembe kati ya watetezi wa nchi dhidi ya wageni Zesco United pale katika dimba la mkapa.
Young Africans ndio timu pekee inayowakilisha nchi katika michuano hii...
Huyu kijana nimekuwa namsikia toka yule kocha wa kibrazil Yupo Tanzania mpaka sasa
Napenda sana mchezo wake huwa namfananisha na andrea pirlo Yule wa The azures Au taribo west wa super eagles...
Kauli hii inasikika sana kutoka kwa baadhi ya mashabiki,wanachama na hata viongozi wa Yanga.Ukiitafakari kauli hii kwa mbali inaonyesha hali ya mashaka kuwa CCL sio saizi yetu.Hii kauli nashauri...
Tukiwa tumehakikishiwa tunanzia makundi champions league ya Africa. Sisi wekundu tukasajili wachezaji mafundi wenye uzoefu gafla tukanzia mtoano kwa kukosa wachezaji wenye uzoefu na team ndogo...
Wanajamvi habar zenu.
Aisee mimi leo nimebeti,,sijabeti takriban miaka 2 sasa leo nmepata hela ya ziada na haina kazi(nimehongwa),sasa nikaamua nibeti timu nne tu.
Barca
Juve
Man city
PSG...
Kiukweli timu yetu ya Yanga ,timu ya wananchi,mabingwa kihistoria wa Tanzania.mwaka huu tangia msimu huu wa 2019/2020 umeanza timu yetu bado haijapata muunganiko unaotakiwa.
Kocha mwinyi Zahera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.