Wakuu, pana "clip" moja nimeiona katika mtandao mmoja ukisema, nanukuu, 'msanii wa muziki wa kizazi kipya Abdul Nassib Diamond platnumz amepanga kuanzisha timu ya mpira wa miguu itakayoitwa Wasafi...
Marcio Maximo pamoja na yote akatimuliwa,kutoka hapo umepita mlolongo mrefu wa makocha..wazawa na wageni wote wameonekana hawafai....
Sasa wiki hii nayo gumzo lililopo ni kua eti kocha wa Azam na...
Iwe ni katika Michezo ya Wachezaji wa ndani pekee (CHAN) au hata ile mingine Kocha awe anapanga hivi:
1.Juma Kaseja
2.Haruna Shamte
3.Gadiel Michael
4.Kelvin Yondan
5.Erasto Nyoni
6.Jonas...
Kucheza ulaya ni ndoto ya kila kijana mcheza soka wa Africa. Lakini kucheza UEFA Champions leage ni ndoto ya kila mwanasoka duniani. Samata amepata hiyo fursa iliyofinyu mno mno! " Kucheza Uefa...
Kwa morali hii walionayo Zesco nahisi wanajiamini na wanajua wanachokifanya. Nimefurahishwa zaidi na furaha walionayo wachezaji, sidhani kama kuna madeni ya mishahara pale. Ngoja tuone mechi ya...
Hii timu ya Samatta inaanza kupgwa tano half time na underdog mwenzake, hii Genk hata Europa lig haitaingia. Napoli na Liverpool watakuja kuimalza kabisa
Kwa namna moja au nyingine najua kuna mamilioni ya watanzania walikua wakingoja mtanange wa Genk ndani ya UEFA CL kumuona champion boy Mbwana Samatta.. Kama miongoni mwa watanzania basi natumia...
Iwe ni katika Michezo ya Wachezaji wa ndani pekee (CHAN) au hata ile mingine Kocha awe anapanga hivi:
Juma Kaseja
Haruna Shamte
Gadiel Michael
Kelvin Yondan
Erasto Nyoni
Jonas Mkude
Miraji...
Sio lazima iwe ni aliefunga magoli tu,wapewe na viungo,mabeki na hata makipa kwani wao huangalia striker tu walinzi hapana hii sio fair,tubadilike kama ilivyo UEFA wameanza kubadilika.pia hili la...
Habari WanaJF,
Shiriki katika utafiti unaofanyika kuhusu mpira wa nchini tanzania kuhusu athari ya uongozi wa timu kutokuwa na ukaribu na mawasiliano na mashabiki wake.
Mawazo yako kama...
Mbwana Samatta: Mshambuliaji wa KRC Genk huenda akawakosa RB Salzburg kutokana na majeraha
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionMbwana Samatta anakuwa mchezaji wa kwanza kutoka Tanzania...
Toka mechi za majaribio mpaka hizi za kimashindano timu yangu ya Yanga SC chini ya Mwinyi Zahera imeanza kunitia shaka sana, tena sana tu. Zahera naona alianza kupotea maboya toka msimu ulopita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.