Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Samuel Etoo atangaza rasmi kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 38. Akitangaza uamuzi wake wa kustaafu, kupitia Ukurasa rasmi wa Samuel Etoo(Instagram) ameandika "mwisho sasa kuelekea...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tangu mpira unaanza mashambulizi yote yanapitia upande wa kulia Haruna Shamte kachoka tangu dk ya kwanza hawezi kabisa hii game kwenye benchi kuna Kessy hataki kumuingiza hii mikocha ya kigeni sio...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Leo wakati napitia gazeti la mwanaspoti online nimekutana na habari ya wasanii kutumika kuhamasisha Taifa Stars wameshakaa na kujichagua. Mimi nilifikiri wameshajifunza kitu kumbe bado akili...
1 Reactions
6 Replies
903 Views
Vazi nadhifu Kwa mmasai linaweza lisiwe nadhifu Kwa Mchagga. Kama hakuna juhudi ya kutoa fafsiri ya maana ya vazi nadhifu hakutakuwepo na tafsiri moja ya vazi nadhifu. Askali wa kikoloni walikuwa...
8 Reactions
67 Replies
11K Views
1. Wamempiga Mwandishi wa Habari wa Michezo Mohamed Zubery ( wa kutoka Mtandao wa Bin Zubeiry ) pamoja na kuwaweka ndani Kituoni Yeye na Mwandishi mwenzake Oscar Oscar ( kutoka Efm na Dstv ) na...
10 Reactions
36 Replies
4K Views
Hakika inashangaza sana kuona Viongozi wa Klabu ya Yanga na WAPENZI wa Klabu hiyo wanagomea sheria ya mavazi iliyotolewa na TFF. Watanzania sio nchi ya wahuni,kiongozi kama Kocha lazima uvae...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hakuna haja ya kurudia kueleza kinachoendelea nchini Africa kusini , kila mtu amejionea , wageni wanachomwa moto hadharani huku polisi wanachekelea Ikiwa kama tutaruhusu timu zao ziende...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Mwakalebela aache vitisho, awaache tff wafanye kazi hata yeye alipokuwa tff alishatoa adhabu nyingi, ukiwatumia yanga kufanya maamuzi ipo siku na viongozi wa simba watafanya hivyohivyo
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kura yangu kama Ndumbula Ndema bila shaka ni kwa huyu jamaa 👉Education Background • PhD (Education), Awarded at the University of Dar es Salaam, February, 2015. • MSc. Exercise and Sports...
1 Reactions
30 Replies
9K Views
Makubaliano yameafikiwa mpambano wa maruadiano kati ya mMexco Ruiz dhidi ya Mwingereza Joshua mnamo Dec 7 huko Saudia Arabia Ikumbukwe pambano la awali Joshua alikubali kichapo ambacho...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Ubingwa wa EPL 2018/2019 unawakataa Manchester city 'The Cityzens' Hivi sasa tunapoongea wachezaji wanne muhimu ikiwamo na mabeki wa kati muhimu wote wapo majeruhi na viungo wawili muhimu...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
wakuu mimi ni shabiki wa valencia cf ya palee spain tatizo kubwa nalopata ni wapi nitapata jezi yake ..kama kuna mtu anajua duka coz kwa hapa mwanza nimekosa
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Ifuatayo ni orodha ya makocha ambao walipewa jukumu la kuzinoa timu kutokana na umahiri wao ktk soka lkn wakashindwa kufikia yale mafanikio yaliyotarajiwa na wengi 1. DAVID MOYES (Man U) Pamoja...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Nchi ya Tanzania now imepiga hatua kwenye mchezo wa mpira wa miguu tofauti na kipindi cha nyuma nilikuwa naperuzi mtandaoni nikaona orodha ya nyota wa kibongo wanaokipiga majuu ya unaweza kwa sasa...
4 Reactions
21 Replies
11K Views
Nikweli kwamba kocha ni mwajiriwa na anapaswa kuisaidia timu iliyomwajili kupata usjindi, Shaka la mgongano wa kimaslahi haliepukiki Katika mechi za vilabu sio rahisi lakini kwa timu za Taifa sio...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Hongera sana timu yetu ya taifa kwa kupata sare ya magoli. Kwa mkapa tunaitaji ushindi au Bila bila Mungu ibaliki Tanzania Mungu ibaliki Taifa stars
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1. Juma Kaseja / Beno Kakolanya 2. Shomary Kapombe / Hassan Ramadhan Kessy 3. Mohamed Hussein Tshabalala 4. Erasto Nyoni 5. Kelvin Yondan 6. Jonas Mkude / Mohamed Issa Banka 7. Simon Msuva / Salim...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Wakuu, Naona nchi haiwezi kuhema bila Erasto Nyoni na Kelvin Yondani kwenye ulinzi. Hawa wachezaji waliomba kustaafu kuchezea timu ya taifa lakini ikabidi waombwe kuendelea sababu ya kukosa...
7 Reactions
17 Replies
2K Views
BREAKING NEWS| PAPAA ZAHERA MWINYI AKUMBANA NA ADHABU Kamati ya Bodi ya Ligi Kuu ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chake cha Septemba 2, 2019 ilipitia matukio mbalimbali ya Ligi Kuu...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Honeymoon is over..!!! Mashabiki wa mpira na Duniani na England kwa ujumla walimzodoa sana Mou kwa msimu mmbaya aliokuwa nao wakachochea hadi Mzee wa watu akatimuliwa. Ole akaja na upepo wake...
9 Reactions
53 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…