Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nimekaa mara fikra za woga zimenijia. Nahofia timu yangu Lunyasi wa Msimbazi kuaga mapema kwenye michuano ya CCL. Naomba iwe ni ndoto tu Kumbuka kwenye mchezo wao wa kwanza wa raundi ya kwanza...
27 Reactions
241 Replies
20K Views
Kwa wale wapenzi wa mieleka ya WWE, mkali wa mchezo huo Roman Rain ametangaza kujivua ubingwa wa Universal Championship kutokana na kuugua saratani ya damu -Leukemia. Jambo hiki limeleta simanzi...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Naona mambo ya AFCON yanajirudia. Kipindi kile walitangaza kuonyesha mechi zote wakaishia kuonyesha mechi chache. Toka juzi wanatangaza kwamba wataonyesha mechi za Ligi ya waliotutawala. Cha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haya Magazeti siku Yanga ikifungwa hayaandiki kwa Ukubwa wake na tena unaweza hata Habari ya Yanga SC Kufungwa usiikute au ukaikuta katika Kurasa za ndani ila Siku tu Simba SC ikifungwa utaona...
5 Reactions
30 Replies
5K Views
Ndugu yangu Haji Manara ( Msemaji wangu wa Simba SC ) nadhani sasa kwa huyu Msemaji mpya wa Yanga SC Mtangazaji Antony Nugaz wa Clouds Media Group ambaye muda wowote kuanzia sasa atatangazwa na...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Jana akihojiwa katika kipindi cha michezo, Clouds FM, Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amedai uwezo wa yule mkata umeme Sharaf Eldin Shiboub Ali Abdalrahman toka nchini Sudan ni sawa na uwezo wa...
22 Reactions
34 Replies
5K Views
Yangu au Simba ina maadili Yao hivi vikundi vya kuilinda timu wanavyo kwa ajili ya kulinda hujuma ndani na nje ya uwanja Nawashauri muwaite mkae nao wajipange Lakini mkijifanya kichwa ngumu na...
0 Reactions
4 Replies
976 Views
Simba vs JKT Tanzania Uwanja Uhuru Stadium Muda Saa 10:00 jioni
8 Reactions
87 Replies
10K Views
Tanzania kumekuwa hatufanyi vizuri Kwnye mchezo wa mpira wa miguu kwa muda sasa. Leo tunashinda, kesho tunapoteza, kesho kutwa tunasubiria mechi ya mwisho na kumsumbua Mungu kwa maombi ili kupata...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau wa Mpira Naomba ufafanuzi na tafsiri ya haya maneno kwenye Soka [emoji419]Work Rate [emoji419]duels won [emoji419]clearances [emoji419]most take-ons [emoji419]Interceptions...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Azam tv wamethibitisha kuanza kuonesha mechi za epl kesho wataanza na mechi ya Chelsea vs Sheffield United saa 11:00 jioni naona Azam wanaelekea kwenye mapinduzi ya burudani sisi kama wadau...
2 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari ya muda huu mwenyekiti wetu mpendwa Leo kwa Mara ya kwanza tumeshuhudia team yetu ya Yanga imefungwa na team kutoka mkoani Baada ya miaka 7 kupita Huu si mwanzo mzuri kwako mwenyekiti...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
*32 BORA AFRICA IMETOKA BAADA YA MAKAPI YOTE KUONDOKA MAPEMA* *_CAFCL First Round_* Al-Nasr SC 🇱🇾 vs. 🇲🇦 Raja CA JS Kabylie 🇩🇿 vs. 🇬🇳 Horoya AC Elect Sport 🇹🇩 vs. 🇹🇳 Espérance Tunis...
6 Reactions
31 Replies
4K Views
KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA RUVU SHOOTING LEO. 1. Farouk Shikalo 2. Mustafa Selemani 3. Ali Abdulkarim 4. Kelvin Yondani 5. Lamine Moro 6. Papy Tshishimbi 7. Juma Balinya 8. Feisal Salum 9. David...
6 Reactions
166 Replies
19K Views
Breaking | Barcelona & PSG are in the process of agreeing the transfer of Neymar, per @DiMarzio via @Guillaumemp.
0 Reactions
3 Replies
774 Views
Wakongwe habari zenu aisee wote tunajua kuwa maisha yamebadilika sana kutokana na pilika pilika za maisha utafutaji wa fedha watu tunakuwa busy sana kwani ukiangalia ratiba ya mtu ni nyumbani...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hakika Viongozi wa Mabingwa wa Soka Simba mmetuudhi sana wanachama ,wapenzi na mashabiki wenu kwa matokeo ya juzi. Usajili mmefanya kinyume na matakwa ya kocha mkuu,Wachezaji muhimu kama Emmanuel...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu mashindano hayo makubwa barani Afrika yanaanza leo huko Moroko. Sijaona amsha amsha yoyote kama ilivyokuwa kwenye AFCON. JE Tanzania haishiriki? Na kama inashiriki, ni michezo gani...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Aman iwe juu yenu Je ni kweli simba ni wapumbavu kama alivyosema manara au hasira tu Tunakumbuka miaaka ya nyuma mwenyekiti Wa simba alisema simba ni mambumbumbu AKA mashibhumbu Je ni kweli...
6 Reactions
35 Replies
6K Views
Back
Top Bottom