Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Barcelona bila Lionel Messi katika mechi 6 za mashindano Sare: 1-1 vs Inter Milan Kipigo: 2-1 vs Levante Kipigo: 2-0 vs Sevilla Sare: 0-0 vs Huesca Kipigo: 2-0 vs Celta Vigo Kipigo: 1-0 vs...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Neymar Barcelona wametuma ofa ya Paund 153milion kama ada ya kumrejesha Camp Nou nyota wao wa zamani Neymar kutoka Paris Saint-Germain huku wakijadiliana kuwa huenda Ousmane Dembele akawa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari mpya ni kwamba leo Mshambuliaji tegemeo wa Yanga Heritier Makambo amejiunga na Horoya ya Guinea kwa mkataba wa miaka mitatu, habari zaidi zitafuata.
1 Reactions
161 Replies
20K Views
Ibrahim Ajibu amezitumikia klabu za Simba na Yanga kwa muda mrefu lakini amekuwa akiongoza " Kupishana na gari la mshahara" Alikaa sana Simba akicheza soka la mchangani hamu ya kucheza kimataifa...
4 Reactions
22 Replies
5K Views
Timu ya wananchi imetoa ajira kibao kwa wananchi.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa namna Timu za Tz nilivyoziangalia hasa Simba na Yanga, ni dhahiri shairi hakuna combination kwa timu zote mbili.Kila timu bado haina muunganiko na wachezaji hawako tayari kiushindani kutokana...
6 Reactions
118 Replies
10K Views
Timu ya taifa ya wanawake [Twiga Stars] Kocha wa Timu ya Taifa ya Wanawake Bakari Shime ametaja Kikosi cha Wachezaji 40 watakaoingia Kambini kujiandaa na mashindano mbalimbali.Kambi itaanza rasmi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimekuwa sifurahishwi na msemaji wa timu ya Azam hasa katika mechi mbili zilizopita. Mara kwa mara hujunja moyo ya sie wapenzi wa timu hiyo na kwa wachezaji pia. Majuzi timu yetu ilipofungwa goli...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni kweli inatuuma Lakini mimi naona ni wakati wa mwalimu sasa kujenga timu anayoitaka kwa msimu mzima tutumie usajili wa dirisha dogo kuziba mapengo. Kisha usajili mkubwa kuingeza mtu mmoja au...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Hongereni sana Dar Young African wazee wa kimataifa hasa, wazee wa terminal Three, wale wengine Ubungo bus terminal inawahusu
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Ikiwa wewe ni kama moja ya wadau wa soka la bongo ..ukipewa dakika kumi za kuongea na bodi ya klabu ya 'wekundu wa msimbazi' Simba utaipa ushauri gani kwenda mbele
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Simba na Yanga walikuwemo kwenye michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika. Wote walianza kwenye hatua ya kwanza kwa kupepetena na timu za Msumbiji na Botswana. Mechi za awali zilishuhudia Simba na...
11 Reactions
35 Replies
3K Views
Shirikisho la Soka nchini (TFF) limewaita watu wote wanaoonesha mpira katika 'vibanda' Jijini Dar kwa ajili ya majadiliano ya ushirikiano TFF imesema imewaita watu hao katika kikao...
4 Reactions
26 Replies
5K Views
Dar es Salaam. Baada ya kutolewa katika mashindano ya kimataifa, KMC inarejea katika Ligi Kuu Tanzania Bara, lakini inakutana na kigingi kingine kwa Azam FC, leo Timu hizo zitavaana katika mchezo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuanzia benchi la ufundi,wachezaji, mishahara posho na fedha za kuendesha timu kwa mwezi, sidhani kama inapungua nusu bilioni pale. Now timu imetolewa kwenye kombe lenye hela nyingi CAF tena...
10 Reactions
31 Replies
4K Views
Mpira unadunda,mpira sio mbwembwe ,mpira ni mbinu.Simba wamecheza vzr sn lakini mwisho wa siku katolewa.Hatua hii ya mtoano ni hatua katili sn. Leo watu watatukana na kusema meeengi sn lakini...
9 Reactions
40 Replies
4K Views
Jumamosi iliyopita Yanga ikiwa ugenini Botswana ilifanikiwa kusonga mbele kwenye michuano hiyo baada ya kuichapa Township Rollers ya nchini humo bao 1-0, hivyo kuitoa kwa jumla ya mabao 2-1...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama endapo ingefungiwa kule ingekuwa shida kuisafirisha kuileta nyumbani Tumetumia hela nyingi sana katika kuiendeleza timu ya simba, usajili umefanyika tena wa gharama lakin hawa mabwana...
1 Reactions
6 Replies
856 Views
1. Timu ya Simba SC tulijiamini kupita Kiasi. 2. Timu ya Simba SC tuliwadharau sana Wapinzani. 3. Timu ya Simba SC ilijiandaa Kupata Mapato Uwanjani na siyo Matokeo mazuri Uwanjani. 4. Timu ya...
9 Reactions
62 Replies
6K Views
Nimeshuudia burudani ya mpira Leo yaani Azam wamefanya hii timu ionekane ya kawaida ila walikuwa na uwezo wa kushinda hata goal 6 ila hawakuwa makini kwenye finish ingawa pia kipa wa hiyo team...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom