Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nataka niweke vitu sawa hapa, wakati sisi watanzania tulipokuwa tunaisaport Tim yetu ya taifa, alitokea kiongozi na kusema ile Tim ni serikali ya chama cha mapinduzi na inamuwakilisha rais. Sisi...
27 Reactions
46 Replies
5K Views
1. Tuliingia afcon baada ya kushika nafasi ya pili chupuchupu tukose nafasi , mpaka katimu kama lesotho kalitufunga shauri ya maandalizi duni na programu dhaifu ya tff 2.Wachezaji bado hawajapata...
1 Reactions
7 Replies
949 Views
Namuamini kabisa RC Makonda na kama ambavyo aliahidi juzi kuwa jana Tanzania ingeshinda dhidi ya Wakenya na imekuwa Kweli basi sasa namuomba sasa RC Makonda aendelee kubaki na Timu huko huko Misri...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Huyu jamaa sijui huwa ana balaa gani...nimeshapoteza mvuto "game" hata kabla ya mechi kuanza
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Tusaidiane jamani Timu ya taifa imechukiwa ghafla Kuna haja ya kiongozi wa kitaifa kusafisha hali ya upepo Maana sasa kuna Timu ya Taifa ya CCM na ya CDM, na ya wasio na vyama,timu ya Taifa...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Klabu ya Yanga inategemea Kufanya ‘ Harambee ‘ yake waliyoipa jina na ‘ Kubwa Lao ‘ ikiwa ni njia ya Kujipatia Fedha nyingi za Kufanyia Usajili na Kuendesha Shughuli zote za Klabu ili mradi tu na...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Pamoja na kuwa tumechabangwa na wamasai wa Kenya lakini kuna touch and shoot ya samata ilioZaa goli kupitia kwa msuva Lilikuwa shoot hatari lilikuwa na speed ya 90/sec Kwahiyo touch moja tu...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
KONGOLE STARS, ILA TULIWAVURUGA SANA VIJANA KIuhalisia Tanzania imeyaaga mashindano ya AFCON rasmi na hata ndugu zetu Kenya nao wameyaaga tu licha ya kutujeruhi maana watapigwa tu mechi na...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Muda utasema, kama ni kweli walikuwa na mbinu hii, hatutasikia wakilijadili hili suala, kama wakilijadili, watalijadili juu kwa juu ili tusiwajue kama ilikuwa ni mbinu. Na kama mawazo yangu...
0 Reactions
2 Replies
811 Views
Hali ndiyo hii wabunge vs RC Makonda 45mins UPDATE:
1 Reactions
67 Replies
6K Views
Wakuu, Kocha wetu ni dhaifu mno kusoma mchezo na kubadili mbinu. Timu inacheza vile vile hata wapinzani wanapobadili mbinu. Mbaya zaidi kilema kikuu ni kocha kutojua namna ya kutumia viungo wetu...
8 Reactions
35 Replies
2K Views
Serikali imeonywa mara nyingi kuhusu huyu Makonda kuwa mikono yake ni michafu kila atakalo gusa linakosa Baraka ila inadharau. TFF nayo ikaingia mkenge, sasa ni wakati wa mavuno acha tuvune mabuwa...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimesikia kauli hii ikitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, kuwa timu ya taifa Taifa Stars ni mali ya Chama cha mapinduzi na kuwa Taifa Stars ikishinda imeshinda CCM. Kauli hizi...
14 Reactions
46 Replies
5K Views
Baada ya jaribio la kubaka uzalendo halisi, kupitia Timu ya Taifa kushindikana jana naomba Wazelndo halisi tuliopo Dodoma tukutane Tango Bar leo ssaa 12 jioni tufanye Tambiko la utakaso!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tumekuwa tukizani mpira ni mchezo wa siasa ni kosa kimantiki. Kuna watu sio wajinga wala sio werevu lakini tunapaswa kuto kuwapuuza ujinga wao. Makonda si kwamba ni mjinga au werevu lakini kila...
1 Reactions
7 Replies
924 Views
Wakuu wapenda Soka, kwanza poleni kwa kipigo cha jana - wengine hatukuumia sana sababu tulijua kutoka ni ngumu, Kuanzia dk ya 60 wachezaji wetu walichoka - hapo ndipo linakuja suala la NJAA -...
0 Reactions
3 Replies
720 Views
Raisi Wangu ni Msikivu Sana Naomba uniruhusu mimi na Watanzania Wenzangu tukawatandike fimbo za kutosha kuanzia wachezaji na benchi nzima ya ufundi maana wamehujumu uchumi wetu kwa kuchezea...
2 Reactions
6 Replies
907 Views
Hongera kwako Mkenya kwa kutufunga. Leo kicheko kwako; kwetu kilio. Kesho kinyume chake. Lakini bila kujali matokeo, tunabakia "DUGU MOJA". Tukutane baadaye kijiweni tukunywe.
2 Reactions
6 Replies
934 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…