Leo timu ya mpira wa miguu ya Mkoa wa Kilimanjaro chini ya miaka 15 imepigwa goli za kutosha na Wapemba. Picha inajieleza zaidi.
=====
Katika mashindano ya TFF U15
vijana wa Zanzibar (Mjini...
Posted by Ste Carson June 12, 2019
Mikel Arteta has enjoyed a successful season at Manchester City as the mega-rich club secured the domestic trio of the Premier League, FA Cup and League Cup...
Habar wanamichezo wenzangu
Leo naomba nipate ufafanuzi juu ya Huyu mzee wa klabu ya simba ambaye inasadikika ana HATI ya klabu ya simba
Najiuliza toka simba inaanza mchakato wa kuibadili simba...
Salamu wandugu.
Mwezi tar 22 march, mwaka huu, niliandika makala fupi ni kwa jinsi gani CCM walivyochangia kudumaza soka letu kwa kiasi kikubwa ila kwa namna ambayo si ya moja kwa moja. Makala...
Kutokana na match ya jana ya Egypt vs Tanzania jana, nini umejifunza? nini umekona? unahis kocha wetu ashauriwe kitu gani ili michuano ikianza rasmi tusitoe boko?
Cus midfield ya jana mimi naona...
Nimeangalia gem ya Misti na Tanzania, kiukwel kiwango chetu bado sio kizuri hasa hasa kwa upande wa kiungo, namshauri kocha ikiwezekana Ajibu apande ndege haraka aende misri kidogo labda anaweza...
Jamani mi nasikia Mo Dewji kagoma kutoa pesa za usajili kisa Ni kukosa hati ya timu ya Simba ambayo inashikiliwa na Mzee Kilomoni. Na hiyo ndo iliyopelekea michakato ya kuwasajili baadhi ya...
ALIYOSEMA AFISA MTENDAJI MKUU CRESCENTOUS MAGORI KWENYE MKUTANO NA WANAHABARI.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Jana tarehe 12 June kilifanyika kikao cha Bodi ya Simba Sports Club Company Limited...
Nauliza tu maana kila mchezaji anaonekana anaongeza mkataba ofisini kwake na sio ofisini kwa club
Je watendaji hawaaminiki ama ni janja kuwa wachezaji wanaingia mkataba na mo mwenyewe kama yeye...
Wengi tunaona hili Jambo haliwezekani kabisaaaa.
Mimi Stars wakifuzu nitawapa nitawazawadia 20,000/= Kila mchezaji. Pia nitaanza mchakato wa kugombea Urais 2020 nitaamini hakuna kinachoshindikana...
Naomba msinipige mawe kabla sijaeleza.
1. Nimeangalia timu zote sijaona timu ambayo ina mastars wengi kama miaka ya nyuma au timu ambayo haifungiki. Timu nyingi zina wachezaji toka timu za...
BRIGHTON head a queue of Premier League clubs interested in signing Genk striker Mbwana Samatta.
The Seagulls, newly-promoted Aston Villa, Leicester, Watford and Burnley are all eyeing up the...
.. Nchi hii bhana..
Yani tunaishi ka madigidigi...
Our life is not assured at all..
TV linakula kodi zetuuuu.....
Busy kurusha mambo live yasiyo na tija.
Fff....
Nauliza.
-Aliyozungumza CEO wa klabu ya Simba kwenye mkutano na waandishi wa habari leo ni Mchakato wa mabadiliko, Ujenzi wa viwanja vya Simba Bunju, Jezi mpya za klabu ya Simba msimu ujao, Mambo ya...
Hio ndio thamani ya club inasikitisha kwa kweli huku ni kuharibu vipaji vya wachezaji wetu hasa chilunda ndo unaenda kupotea kabisa kwenye ramani ya mpira
Nadhani hata club zetu za hapa nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.