Wasalaam wana jamvi,leo nimeamua tumuangalie kocha wa Yanga SC,Mkongomani Mwinyi Zahera(Papaa)
Huyu Mwalimu mwanzoni alionekana ni mtu anayejielewa na mwenye uwezo mkubwa wa kuunganisha timu...
kuna kitu kinaitwa clutch moment, kinawahusu sana wachezaji wakubwa, wanaolipwa hela nyingi kwenye timu, ma kapteni n.k.
clutch moment ni ule muda mahsusi ambao timu yako inakutegemea ufanye...
Hii tabia kaileta haina manufaa kwa team kabisa. Kocha anaabudu sana ushirikina matokeo yake Yanga inaathirika kila mara.
Yanga inapigwa bao mbili na Lipuli sababu wachezaji wanaamini katika...
Kama aina ya mpira yenyewe ndio hii wanayocheza, hata wao watatufuata tu
Mimi ni shabiki wa simba ila siwaombei mabaya lkn hawa watani zangu km wanataka kuwa tofauti na sisi, basi hawana budi...
Kocha wa Yanga amesema Lengo la timu ya Yanga Mwaka huu ilikuwa ni kushika nafasi ya tano kwenye Ligi Kuu. Sijamwelewa Mzee wa Bolingo!!
Chanzo: Mahojiano yake na Azam Tv.
Paapaaa mutu ya watu zahera,ni mutu mukubwa sana UEFA inamujuya kabisa, kawa mikurugenzi wa ufundi wa Paris saint german PSG kabla ya kugombana na Edson cavan akaamua kujiuzulu ,sasa yupo hapa...
Utatukanwa Sana, utapewa maneno machafu yote ya DUNIA HII NA YASIYO ya Dunia hii.
...Ukweli mchungu Sana, Unapomuweka mchezaji BENCH Sana Anapoteza Hali Ya kujiamini.... Na haya Ndo matokeo yake...
Matokeo ya uchagizi wa klabu ya Yanga yametangwazwa huku nafasi ya Mwenyekiti akishinda Dr Mshindo Msolla na Makamu Mwenyekiti akishinda Frendrick Mwakalebela
Matokeo
Mwenyekiti
Dr. Jonas Tiboroha...
Pichani ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt Athumani Kihamia akipiga kura kwenye uchaguzi wa Yanga leo.
Akiwa kule Tume yeye ni refa ila kwenye tukio la leo alikuwa mchezaji...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania TPL kuendelea kupigwa leo Mei 5, 2019 kunako dimba la Sokoine mkoani Mbeya ambapo Tanzania Prisons wanatarajia kupepetana na Simba SC.
Mechi inatarajia kuwa kali na...
Na Bakari Chijumba,Lindi.
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mh. Hashim Mgandilwa amewataka wakaazi wa Ruangwa kuwa na utamaduni wa kusaidia timu ya Namungo Fc iliyo na maskani yake wilayani humo...
Caf Champions league-Semi final, live....Marudiano/Sec leg
Mamelodi-Wyda Casablanca 16:00
Mazembe-Esperance de Tunis 16:00
Kila la heri Wydad..
Mwenye link atupie wandugu!
Hivi Yanga mnakwama wapi? Ikiwa leo Klabu ya Yanga inaandika historia nyingine ya kuwachagua viongozi wapya na imara, ambao wanaotarajiwa kuipeleka mbele zaidi Yanga na kuleta maendeleo ili klabu...
Najua ni mahaba yenu na support kwa team mnazozipenda za simba na yanga ila hawa wachezaji kwao wanaona ni shobo na kero
Nitolee mfano wa team yangu simba,ukitoa Kagere ,kwasi na Gyan wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.