Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Huyu hana sifa ya kuwa msemaji wa timu... Hana staha.... Hana adabu... Zaidi namuona ni muhuni tu.
6 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa mashabiki wa Arsenal msiokuwa na DSTV link yenu ya Live Streaming Hii hapo VALENCIA vs ARSENAL | Live Streaming Link
0 Reactions
3 Replies
721 Views
Kwa tusiokuwa na DSTV link ya Live Streming hii hapo chini CHELSEA vs FRANKFURT |Live Streaming Link
0 Reactions
5 Replies
993 Views
Totenham wamepindua meza ugenini kwa magoli matatu ya Lucas Moura dk (56 , 59 , 96 ) , hii ni baada ya kuwa nyuma kwa bao 2 hadi dk ya 35 Kila la heri timu za EPL
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Mzuqa Yote yawezekana ukimkabidhi Mungu. Mwenyezi Mungu shuka. Isaidie livaaa ishinde ushindi mnono wa 4-0 dhidi ya Barca. Na weekend Mancity ifungwe ama itoke sare na Brighton. Amen BlackPanther
8 Reactions
65 Replies
5K Views
Mfahamu anayegombea nafasi ya uenyekiti Yanga SC. - Anaitwa Dr. Mbette Mshindo Msolla. - Mtaalamu Mbobezi wa kilimo. -Hajawahi kuwa kocha wala hana taaluma ya ukocha. - Aliyekuwa kocha wa Taifa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Hizi video zilizovuja zinazosemekana ni za yule mtu wa Roho zimefifisha habari nyingi zikiwemo mechi kali ya marudiano nusu fainali ya UEFA kati ya Liverpool dhidi ya Barcelona... Mashabiki wa...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Naam Timu ya Barcelona imetolewa michuano ya klabu bingwa barani ulaya na timu ya Liverpool, Kutoka Barca ya Rijikaard, Pep Guardiola, Luis Enquirie ( rekebisha) na sasa yupo Valverde bado Barca...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Ni Jumanne Ya Tarehe 30 Mwezi huu ambapo Fc Barcelona atamkaribisha Liverpool Nou Camp, na siku hiyo pia Spurs atamkaribisha nyumbani Ajax FC kwa mzunguko wa kwanza kabla ya marudiano tarehe 7...
15 Reactions
106 Replies
10K Views
Wandugu tusio kuwa na DSTV link ya kutazama live streaming hiyo hapo AJAX vs Tottenham | Live Streaming
4 Reactions
15 Replies
2K Views
What is going on:
0 Reactions
3 Replies
682 Views
Mimi ni shabiki wa Man united :) Sitaki liverpool wachukue kombe la premier league wasije wakafikia record yetu ya kuwa na premier league titles nyingi, na imebaki mechi moja tu sioni kama...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Jioni ya leo Simba imewachapa goli 8 - 1 vijana wa Coastal Union kutoka Tanga.. Vijana hao wanaounda kikosi imara, leo wameonekana kuwa legelege kutokana na kuzidiwa na ibada ya kufunga hivyo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakati mtanange wa Jana wa Barcelona na Liverpool ukiendelea huku Messi aking'aa mchezaji mtukuku Maria Baloteli kupitia Instagram alipost alisema " kwa mapenzi ya Mungu naomba msimfananishe tena...
10 Reactions
111 Replies
10K Views
Mashabiki wa Barca na wa Yanga wanafuatilia kwa umakini 1. Msiba wa Mengi 2. Video zinazohusishwa na Gwajima Hawa jamaa toka jana wapo busy na hayo mambo mawili hawazungumzii kabisa mpira...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Huyu ni beki bora kama sio wa liverpool basi wa dunia, akitamka maneno haya kuhusu Leonel Messi 👇 Nasema hivi-Bora amekuwa mkweli. EINSTEIN112 PNC Prince Kunta Alvajumaa
1 Reactions
85 Replies
8K Views
Manara alisema ataihama Simba endapo Barcelona itaondolewa kwenye UEFA msimu huu wa 2018/2019 na klab ya Liverpool, kitendo hicho kilikamilika jana cha Barca kusukumwa nje ya uefa. Kwa sasa...
0 Reactions
5 Replies
986 Views
Wakuu wa jukwaa habari zenu! Leo ndio ile siku ya kuamaliza utata, Mchezaji bora toka kuumbwa kwa Ulimwengu Lionel Messi atakapokuatana na anayedhaniwa kuwa beki hodari kwa msimu huu Van Dijk...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Kocha wa Liverpool klopp anathibitisha kukosekana kwa wachezaji wawili muhimu katika kikosi chake cha kwanza kutokana na majeraha Hvyo hawatakuwa kwenye timu itakayo wavaa Barcelona UEFA pengine...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Hii ndiyo habari kwa sasa wakuu Milango ilianza kufunguliwa na Origi ( Dk 7 ) tu , then Wijnaldun (54 , 56 ) halafu origi tena ( dk 79 ) Ngoma bado mbichi mno ! Kazi imekwisha , Liverpool...
5 Reactions
38 Replies
4K Views
Back
Top Bottom