Embu niambienii.........!!!!
Ikiwa Man city ni Bingwa wa EPL, pia anacheza Fainali ya FA, Je? Kama anashinda FA cup atacheza na nani Communuty Shield??
Niwape pongezi za ukweli Manchester City kwa kutwaa ubingwa season hii 18/19. Hakika ushindani umekuwa mkubwa sana, Liverpool akomae na CL huenda akajipoza kule.
Back to mada siku ya mwisho wa...
Kufuatia kuondoka kwa nahodha Antonio Valencia klabuni Man Utd, nani anapaswa kuwa nahodha mpya wa klabu hiyo ambayo msimu ujao itashiriki kikamilifu kwenye Ligi ya Europa.
Mwanzoni nilipenda...
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara klabu ya Simba ambao ni vinara kwa pointi 81 ikifatiwa na Yanga yenye pointi 80 na Azam nafasi ya tatu pointi 68, itashuka dimbani kumenyana na Azam FC ktk mechi...
Ligi Kuu Bara inaendelea leo katika uwanja wa Uhuru, kati ya Ruvu Shooting dhidi ya Yanga. Endapo klabu ya Yanga itaondoka na pointi tatu katika mechi ya leo, moja kwa moja Yanga itaenda kuongoza...
Yanayotokea sasa wenye ' Kuujua ' zaidi Mpira tuliyategemea ila tatizo la wana Simba SC na baadhi ya Viongozi mna dharau Kubwa mno hasa pale mkiona Watu kama akina GENTAMYCINE na wengineo...
Mara hoooo!!! Liverpool awachukui ligi kuu, mara liverpool watafungwa na Spurs fainali Uefa, sisi kama mashabiki wa Liver ata tusichukue kombe lolote lakini mziki wetu mmeupata msimu huu. Tufungwe...
Huyu engineer Leo atashangaza wengi, Liverpool anaenda kufa pale etihad kwa mabao 4
sababu kubwa za kuwafanya watu wachane mikeka yao na kumfurahisha muindi,
1.Liverpool wamerelax wakijua kwamba...
Tofauti na fainali zingine zilizopita, hii imetokea kuwa ni yenye ushindani sana ukizingatia timu zenye mastar wa dunia namaanisha juventus wakiwa na cr7
Na fc Barcelona wakiwa na lionel messi...
Kutokana na sheria za EPL kuwa tofauti kidogo na zile za Kombe la Dunia kuwa wafungaji vinara wakiringana magoli basi kiatu huamuliwa Kwa pasi za mwisho "assist" na Kama nazo Zita lingana...
Wadau,
Naamini weekend inaendelea vyemaaa!
Mods tafadhalini huu uzi uacheni hapa hapa msiupeleke jukwaa la michezo, maana huu ni zaidi ya taarifa za kimichezo. Tunaongelea utaifa zaidi hapa...
Pep Guardiola kaibadilisha sana EPL
1.Kaifanya Top 4 kuwa na thamani zaidi.
2.Kafanya alama 80+ kuwa chache kutwaa ubingwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
The International Football Association Board (The IFAB) , imebadilisha baadhi ya kanuni za mchezo wa soka kwenye kikao kilichofanyika wiki iliyopita nchini Scotland . Mabadiliko hayo ni kama...
Katika mahojiano kabla ya mechi ya LIVERPOOL VS BARCELONA, Vidali aliulizwa na waandishi wa habari "Je liverpool itaweza kupindua matokeo?" kwa mbwembwe na bashasha akajibu "kama liverpool...
Hii ni Arsenal iliyokuwa imesheheni mastaa wa kutosha tena wengine wakiwa ni washindi wa kombe la dunia.
Wataje nyota unaowakumbuka pichani hapo chini!
Naingalia taifa stars kwa jicho la tatu kuelekea afcon misri,
Niukweli usiofichika baadhi ya ligi barani ulaya zimeshatamatika na zingine zipo hatua ya mwisho lakini bado najiuliza TFF...
Kila mara alipokuwa akihojiwa na Waandishi wa Habari mbalimbali alisema tena kwa Nyodo zote kuwa Yanga SC itakuwa Bingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania ( TPL ) na kwamba hata Kombe la ASFC pia itabeba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.