Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Huo ndo utabiri wangu. Klabu bingwa Liver anabeba, Ueropa Arsenal anabeba (Chelsea ni cha mtoto) na EPL nampa Man City. Tukutane msimu ujao
6 Reactions
22 Replies
3K Views
Sote tunaujua uwezo wa timu zote za UK, hasa miaka hii kidogo ukioondoa Man city na Liverpool. Timu za ligi hii hutolewa hatua za mwanzo kabisa makombe ya ulaya Sasa msimu huu timu zote nne za...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Baada ya kuwa likizo kwa miezi mitatu, hatimae ligi pendwa ya EPL inarejea kesho kwa mechi ya ufunguzi kati ya Man Utd Vs Leicester City kule Old Trafford. Ni msimu ambao mashabiki wengi wa Man...
10 Reactions
168 Replies
18K Views
Sukari kijiko kimoja kwa vikombe viwili utamu mpaka kichogoni Wenye akili mmeelewa
6 Reactions
11 Replies
4K Views
Kocha Mwinyi Zahera wa Klabu ya Yanga SC ni kati ya watu tisa waliopelekwa mbele ya Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa makosa ya nidhamu baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Ni wazi Barcelona wameanza kupotea taratiibu katika Uefa Champions league ni miaka sita sasa sio muda utasikia ni miaka 10 Binafsi nikikumbuka Neymar alivyokuwa Barcelona ni wazi anahitajika mno...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Link Hii hapo kwa tusiokuwa na DSTV Liverpool vs Wolverhamton | Live streaming Link
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Kwa tusiokuwa na DSTV tutazame game hapa kwa pamoja Leicester City Vs Chelsea | Live Streaming Link
0 Reactions
1 Replies
652 Views
Marekebisho kwenye title "Sad" sio "aad" Ander Herrera sad news. He said ''This is not an easy day or an easy decision, but sometimes in life you have to take decisions,” he told the club’s...
0 Reactions
9 Replies
909 Views
Shirikisho la Soka Barani Ulaya(UEFA) limemfungia mshambuliaji huyo wa Paris Saint-Germain baada ya kuandika maneno ya dharau na kejeli kufuatia timu yake kutolewa na Manchester United katika...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Tanzania Premier League (Ligi kuu bara) inaendelea leo ikikutanisha Simba dhidi ya Kagera. Simba ni bingwa mteteza anataka kuendeleza ubabe wa kwa kuchukua kombe hili mara ya pili mfululizo, je...
2 Reactions
220 Replies
18K Views
Habari za mchana wa leo chungu ya 6 Ramadhani kwa wenzetu Muslim asalam alykum. Kesho ni mwisho wa msimu wa ligi kuu ya England, timu zote zitaingia uwanjani. Competitive timu kama Chelsea na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ukicheka na nyani utavuna mabua! Hawa mabwana mdogo wa Kagera Sugar wamekuwa na mazea mabaya sana na Simba SC. Hatujasahau mwaka jana wametuaibisha mbele ya Rais sambamba na kutibua record...
5 Reactions
50 Replies
4K Views
Jamaa kakamatika na wenye mji aisee
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya Yanga leo kufungwa bao 1-0 dhidi ya Biashara United bao lililofungwa na Tariq Seif dakika ya 9, Simba SC inahitaji point 9 tu ili waweze kutetea ubingwa wao.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar wadau HV ikitokea Chelsea amechukua Europa league na wakat yupo top four je uingereza watatoa tm ngap kwenda uefa?
1 Reactions
20 Replies
5K Views
[http://phpstack-189796-562565] Huko TFF hata mipira ya kuchezea ligi kuu hakuna Today, 2h ago | Shabiki NambaMoja Inaelezwa timu za ligi kuu zimekuwa zikitumia mipira yao katika michezo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo kiporo kinaelekea kuchacha hatari fire
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Kuna Watu wamekuwa wakipinga Sana Kuwa ukiwaambia EPL ni ligi Bora duniani ,,,narudua Kwa herufi kubwa LIGI BORA DUNIANI.... point kuu wanazo Toa wanao pingaga huu ukweli ni Namna tim za Spain...
29 Reactions
55 Replies
5K Views
sasa nimeamin kua mpira n barca vs world maana cio kwa maneno tunayopewa mtaan lkn 2tabak kua barca fans forever
0 Reactions
3 Replies
759 Views
Back
Top Bottom