Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hivi timu yetu ya Vijana chini ya miaka 17 ya Taifa imeshindwa hata kufunga hata timu moja jamani!! Tatizo liko wap?
0 Reactions
6 Replies
707 Views
LIGI KUU ITALIA: Klabu ya Juventus yatwaa ubingwa wa ligi hiyo baada ya kuinyuka Klabu ya Fiorentina kwa mabao 2-1 na kufikisha alama 87 Magoli ya Juventus yamefungwa na Alex Sandro na Pezzella...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
#TotalAFCONU17. Rekodi ya Serengeti Boys katika fainali hizo: Aprili 14: Tanzania 4-5 Nigeria Aprili 17: Uganda 3-0 Tanzania Aprili 20: Tanzania 2-4 Angola
1 Reactions
45 Replies
5K Views
Kiungo wa Kagera Sugar, Behewa Sembwana amefariki dunia leo alfajiri kutokana na kuugua tumbo. Kiungo huyo amesumbuliwa na maumivu ya tumbo kwa muda mrefu, hali ambayo ilimlazimu kufanyiwa...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Juventus ndiyo timu ya kwanza katika ligi tano bora Serie A, La Liga, Bundesliga, Ligue 1 na Premier League katika historia ya kushinda ubingwa wa ligi ya Italy serie A misimu nane (8) mfululizooo...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Karibuni wadau kwa maoni juu ya hiyo mada hapo juu,maana huenda wakacheza mechi moja tu
3 Reactions
72 Replies
7K Views
https://www.instagram.com/soka_app/p/Bwe5Oudh1gH/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=hbihej2l50uz
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo Simba wamefanya mazoezi ya upigaji penati kwa kujiandaa na hatua hiyo Kama mchezo utaisha 0-0 kule Lugumbashi na TP Mazembe wachezaji okwi, kagere, Bocco, nyoni , mkude na chama walijifua kwa...
2 Reactions
79 Replies
6K Views
Wadau, kama post inavyojieleza hapo juu. Hii ni kwakuwa napataga tabu sana napokuwa katika mihanhaiko sehem ambapo hawaoneshi mipira, hivyo napataga wakat mgumu kufaham matokeo ya mechi mbalimbali...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Timu Ya Juventas tayari washamaliza mambingwa Mara 8 wa ligi ya Italia
1 Reactions
0 Replies
510 Views
Karibuni kwa live updates kwenye mchezo huu wa leo Mpira umeshaaanza hapa... Dakika ya 2’ Yanga wameanza kwa kasi hapa lakin Paul Nonga anautoa mpira nje pale Dakika ya 4’ Yanga wanaenda...
13 Reactions
246 Replies
17K Views
Hii ni haki? CAF wameita refferees 27 na assistants 26 kwenda AFCON lakini hakuna mtanzania
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Nilijiuliza toka awali kama ilikuwa sahihi pale Mlezi wa Serengeti Boys, Mh Mengi alipotoa ahadi kwa wachezaji wa Setengeti Boys ya kitita cha TZS 20m/- kila mmoja kama timu ingefuzu kuingia...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
1.kiporo hakiliwi na miwa 2.kiporo hakiliwi sikukuu 3...... 4...... Ongeza zako
0 Reactions
2 Replies
635 Views
Hii misemo nimezoea kuisikia ikisemwa na mijimama ikiwa ni lugha ya kumtambulisha mpenzi mvulana ambaye kiumri ni mdogo. Hii inanifanya nifikiri huenda hata hii timu inayoitwa Serengeti...
0 Reactions
2 Replies
689 Views
- Miamba wa Soka kutoka Nchini DR Congo, Klabu ya TP Mazembe rasmi imetangaza kuwa Rais wa Klabu hiyo, Moïse Katumbi Chapwe amerejea katika nafasi yake ya Mwenyekiti wa klabu hiyo baada ya kuishi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapenzi wa mpira hebu tuwe wa kweli kwa hili.CAF imeteua waamuzi kutoka nchi 33 za Arica kati 54.Kwa ujumla katika hizo 33 Tanzania hatumo,sio refa tu hata msaidizi jamani.Mwinyi Zahiri kocha wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
[emoji818] Naam ilikuwa ni mwaka 2005, kwenye nusu fainali ya Uefa Champions League iliyozikutanisha timu kutoka jiji la Milan, yaani Ac Milan vs Inter Milan. [emoji818] Game ya kwanza iliisha...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Juzi jumatano mechi za ligi zlichezwa wakati wa lunch (saa nane). Coastal union vs Simba na Mtibwa vs Yanga . Lengo la bod ya ligi ilkuwa ni kutoa mwanya kwa mashabiki kujitokeza uwanja wa taifa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Pima mafanikio yako ndani ya TFF kwa muda ambao umekaa hapo TFF. Makonda anakupotosha vitu vingi sana kwa kutaka UKUU WA KILA JAMBO. Mifano mingi ipo... hana jambo ambalo aliweza kulifanikisha...
11 Reactions
57 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…