download wimbo wa mzee wa Bwax NAIPENDA YANGA kisha ujipige jichuukue video ukiwa unaucheza kisha tupia instagram, youtube, snap chat na kokote kwingineko kama hawa wakongo walivyofanya kwenye...
Haina ubishi, kila mtu anaona timu zetu zote, kwanzia Taifa stars, Twiga stars, na madogo wetu Serengeti boys...
Tutaenda kombe la dunia kwa njia gani kama sio vitu...
T P Mazembe of DR Congo beat Tanzania 's Simba 4-1 to reach Africa Champions League semis
Ambapo
Clouds TV : Simba walazwa unono Lubumbashi.
Sent using Jamii Forums mobile app
naanza na mimi kwa kusema sababu ni hii "kulinganishana kati ya simba na yanga" nasema hivi sababu nimeona shabiki wa simba mwaka huu kitendo cha kuingia robo fainali wakaanza kuwazogodoa yanga...
Povu baada ya kufungwa na Mtibwa. Ashauriwe kujikita na mechi zake,kama uendeshaji au maamuzi yana shida basi izungumzie game zake tu. Hili la kurukia progress ya Simba na kuihusisha na kushindwa...
Kwanza kabisa niwapongeze wachezaji, bechi la ufundi na uongozi kwa ujumla wake. Robo fainali ni hatua kubwa sana.
Kwa mimi naona bora tumetolewa kwani hata kama tungeshinda mbeleni tungepata...
Kama mnavojua timu ya Taifa ya vijana wa chini ya umri wa miaka 17 inashiriki michuano ya kutafuta bingwa wa afrika .Tanzania ni mwenyejeji wa mashindano husika.Hata hivyo pamoja na kuwa mwenyeji...
Habari wadau wa soka hasa mnaoumizwa na matokeo ya kikosi chetu cha serengeti boys katika kashindano yanayoendelea sasa.
nitangaze interest yangu kwanza. Mimi ni mtu wa Bara kwa kuzaliwa na...
Makonda akasimama akiwa na kipaza sauti na kumwambia Mengi ambaye ni sawa na baba yake.kuwa anampa order...siyo ombi.ni amri kuwa kwenye vyombo vyake vya habari vyote issue iwe ni serengeti Boys...
Je mpira wa kurushwa ukirushwa mpaka golini na goli likaingia bia mpira kuguswa na ama na mchezaji au kipa ni goli?
Iwapo goli ya kujifunga inahesabiwa ya aliyejifunga iwapo yeye ana magoli 20 na...
Kabla ya Vipigo vya Nigeria na Uganda maoni yao yalikuwa haya……
Serikali kupitia Wizara na Waziri Mwakyembe
“ Hii ndiyo Timu inayoenda Kututoa Kimasomaso Watanzania na hili Kombe tutalibeba hapa...
Ahadi hiyo imetolewa na Mlezi wa timu ya vijana Serengeti Boys Dkt.Reginald Mengi pamoja na Kamati ya kuhamasisha ushindi wa timu hiyo inayoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, es salaam, Paul Makonda...
Club hicho kinachoshiriki ligu ya seria A ya italy kimefikia hatua hiyo kutokana na matokea mabovu yanazozipata club pindi wapigapo picha na msanii huyo
Inaripotiwa baada ya mchezaji wa dortumund...
Kim said he was happy at the improvement of the players, despite the challenges he was facing within the Tanzania Football Federation (TFF).
Maoni yangu :
Sina chuki na kocha mkuu na Benchi la...
Kwa wale wasio fahamu matokeo ya mechi za leo
Coastal Union 1 Vs Simba Sc 2
Mtibwa Sugar 1 Vs Yanga 0
Baada ya mechi za leo msimamo ni kama unavyosoma hapo juu
Yanga ikiwa imebakiwa na mechi...
ET ooh! mimi juve wameninunua kwa ajili ya uefa! haya mshapgwa rudisheni goli mbili kama nyie wanaume!
juv 2 ajax 3 on agg.
juve anatakiwa apige goal2 hapa ndio apite.
Daaah aisee jana imeniuma sana, inshort nimeshindwa hata kulala sababu ya Manchester city. mimi ni shabiki mzuri sana wa hii timu ila nimeamini siasa zimeingia kwenye mpira, lile goal la mwisho...