Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Team za spain mara nyingi zimekuwa zikifanya vizuri katika michuano hii mikubwa ya ulaya kwa ngazi ya vilabu. Zina mikakati haswa pale zinapotinga fainali, hasa kwa Barca na Real Madrid. Hii ni...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari ndiyo hiyo. Ile baiskeli ya mbao imeanza kulegea. Coastal ilitangulia kupiga goli kipindi cha kwanza kabla ya Yanga kuchomoa. Coastal imecheza ikiwa pungufu.
8 Reactions
40 Replies
6K Views
Hayo ndo matokeo ya leo ligu kuu Sent using Jamii Forums mobile app
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari wakuu Leo ni usiku mwingine wa maajabu ya UEFA champions leagu ambapo man city anaenavaana na spurs Nipende tu kuwataarifu kuwa, hii mechi gardiola ataikamia kwa kutaka kufunga magori...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Jana kuna clip ilikuwa inatembea ikionesha jinsi Rais Magufuli akiwa anashangilia ushindi wa Taifa Stars akiwa Ikulu. Akiwa anashangilia alifika katika dining room, ambapo kuna watu wawili...
10 Reactions
109 Replies
19K Views
Wadau mlio wengi mtakubaliana nami juu ya maada hapo juu.Tumeshuhudia vilabu vyetu vikicheza mpira Mchana wa saa 8 huku hali ya hewa ikiwa ya joto sana karibia nyuzi joto 34 kwa miji ya Dar,Tanga...
0 Reactions
0 Replies
951 Views
ikiwa agg inasoma 0 1 Spurs ilishinda ikiwa kwao, leo ni ndani ya etihad stadium the citizens wapo nyumbani. utabiri wangu MANCITY WIN&GG
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Niko katika presha kubwa sana na hii game vs fc porto away. Lakini tunaamini maamuzi ya makocha,mipango yao na mifumo Lfc anfield Ynwa. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
694 Views
Nawaza tu kwamba kwa sasa kipaumbele cha TFF ni uchaguzi wa Yanga na wala siyo mashindano ya Afcon. Maendeleo hayana vyama!
0 Reactions
2 Replies
740 Views
Salamu wakulu! Naona Simba tumeshapigwa kimoya!:rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes:...! Mapemaa! Naingia TBC nakutana na kitu hii!
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Nasikitika kuona Tanzania yenye wingi wa watu inapokuja mambo ya kitaifa kuna mushkeli. Niulize hivi hii Serengeti boys ina wachezaji toka mikoa ipi? Dar peke yake au?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba niwasalimu wana JF wote. Nasikitika kuona Yanga wakichangishana Mara kwa Mara ili kupata FEDHA ya kuendeshea timu. Naomba nilete njia mbadala ya kuondokana na hali hii kwa WANAYANGA...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nampongeza Rais Magufuli kwa kutoa wazo la kujumuisha wachezaji kutoka jeshini kwenye kikosi cha timu ya Taifa cha mpira wa miguu. Hali hii itazidi kukifanya kikosi cha timu ya Taifa ya mpira wa...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Mchezaji Mstaafu wa Timu ya Taifa ya England na Klabu ya Manchester United, Paul Scholes atuhumiwa kwa kushiriki kubashiri(betting) matokeo ya michezo ya mpira wa miguu Kwa mujibu wa Chama cha...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
ikiwa agg inasoma 0 1 Spurs ilishinda ikiwa kwao, leo ni ndani ya etihad stadium the citizens wapo nyumbani. utabiri wangu MANCITY WIN&GG city anaqualify kwenda semi-final
0 Reactions
6 Replies
625 Views
Report ya mheshimiwa mkaguz ni kwamba yanga ni dhaifu na ina stahili kujitathimini kwa kina Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ratiba ya vipora ya Simba ligi kuu imetoka na kuonyesha maajabu ya Soka kwa kulazimisha kucheza mechi 7 ndani ya siku 15 huku akilazimika kutoka Mkoa mmoja kwenda mwingi ndani ya siku 2. Ratiba ya...
2 Reactions
59 Replies
6K Views
simba itabaki juu kama penati ya Bocco, vyura fc wapi?
1 Reactions
3 Replies
885 Views
Kocha wa Simba kupitia mtandao wa Twitter ameonyesha kushangazwa na ratiba ya TPL isiyozingatia afya za wachezaji huku alisema ratiba hiyo haitekelezeki akizingita mechi zingine zinachezwa saa 8...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa ratiba mmeshapangiwa na inaonekana kuwa tight sana kwa nini msigawanye vikosi viwili? Nadhani mna wachezaji wa kutosha na wenye uwezo, gawanyeni kikosi kimoja kinacheza huku kingine kule ili...
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…