Nilkuwa naona thread nyingi sana zikumsifia msemaji wa Yanga kuwa anafanya kazi kwa weledi togauti na Manara.
Leo nimepita kwenye acc yake ya instagram nilivyokuta post zake nimeona naye ni...
Following Simba and Gor Mahia qualifications to the quarter finals of the CAF Champions league and Confederations cup ,Tanzania could secure four slots in the 2020/21 CAF Club Competitions ...
Mara nyingi nimekuwa naingia uwanja wa Taifa kuangalia mashindano mbalimbali ya Mpira was miguu toka uwanja wa Uhuru.
Nimeonana Mara nyingi vitendo vya udanganyifu kwa wasimamizi na pia baadhi ya...
Siku kadhaa zilizopita ulitembea waraka kwenye mitandao ya kijamii kuwa huenda simba ikatolewa kwa sababu inatumia madawa.
bila shaka yoyote itakuwa timu pinzani inayoshindana na simba ndio...
*Sare ya Simba lawama kwa Serikali,*
kitendo cha kufungia uwanja kimetuathiri sana, siku zote ili kummaliza adui tunahitaji muda mrefu wa maandalizi ikiwemo kamati zetu kuweka miundombinu vizuri...
-Baada ya Simba kufuzu robo fainali Tanzania kama nchi tumekuwa na point 18 kwenye ranking ya Caf kwa miaka mitano 2015-2019/20 na tupo nafasi ya 12 kwenye msimamo
-Achana na mataifa 10 ambayo...
-Siku Tanzania inacheza na Uganda kwenye pambano lililo ishuhudia Taifa Stars ikiungana na Cranes kwenye safari ya Misri kuna kitu niliwaeleza watu niliotazama nao pambano hilo.
-Niliwaambia...
Wakuu Habari zenu?
Safari ya simba kwenye klabu bingwa Africa aina tofauti na Safari ya Liverpool uefa champions league.
Liverpool kwenye champions league msimu wa 2018/2019 ,walishinda mechi...
manula,zana,hussein,juuko,wawa,nyoni,kotei,muzamiru,kagere,boko,okwi.
nyoni atakuwa anasaidia upande wa kushoto kukaba,kotei kulia, muzamiru naye ana uwezo wa kukaba na kupiga pass,maana inabidi...
Habari Wana JF
Kwa wale wapenda soka, na wafuatiliaji timu yangu siku mbili tatu hizi imeamsha Jambo, si jipya lakini, nauona Kama mtihani mkubwa, kwa kocha na mechi muhimu kwa wakal wa soka...
Watanzani huwa ni wavivu kutumia fursa kwaajili ya maendeleo ya Taifa. Hii inatokana na kifanya kazi kwa mazoea, kukosa ujuzi na usimamizi mbovu. Mwaka 2019 tumebahatika kuwa wenyeji wa Mashindano...
Mechi ya Tz Prisons vs Biashara fc ya Mara leo ilitazamwa na mashabiki watatu tu waliolipa kiingilio elf 3000 na jumla kuwa sh.9000/=.
Nasubilia mgawanyo wa mapato
Habari ndugu.
Kilichoiponza leo simba kwa upande wangu mi naona ni kitendo cha kuumia Pascal Wawa. Jamaa kama asingetoka nadhani leo mazembe wangepigwa mengi kabisa.
Sent using Jamii Forums...
Nilimsikia kocha wa twiga stars akilalamikia maumbo makubwa ya wadada wa congonikajisemea mweeeh,wachezaji wazuri nchi hii wanatokea kigoma na morogoro unatarajia nini?labda wasukuma na wanyakyusa...
Mwaka 2019, Tanzania inaandaa mashindano makubwa ya soka la vijana barani Afrika. Mashindano haya yatatazamwa duniani kote na tutapokea wageni kutoka mabara yote. Kama Taifa, tujipange kuutangaza...
habari wadau..
kwa sheria za mpira mtu wa mwisho kumchezea rafu mtu ni red card.. okwi kapewa yellow..
nasikia mo ametoa usd 30,000 kwa mareferee...
je kamati ya fitna imempiga mo ama...
Mzuqa wanajamvi!
Habari za weekend matumaini yangu wote ni wazima na buher wa Afya.
Faster kwenye mada. Keita jana usiku alifunga goli Lake la kwanza tangu ajiunge na Liver na lilikuwa muhimu...