Ikitokea Simba kesho imemfunga TP Mazembe. Mimi ntaponda ponda mapumbu yangu kwa nyundo yawe kama uji. Moderators muuache uzi huu nisipoweka ushahidi wa picha hiyo za mapumbu nliyoponda ponda...
Hiki kikosi cha 2012 ndio kilichompiga yanga 5-0 vs kikosi cha simba kilicho draw 0-0 vs to mazembe , kikosi kipi bora zaidi?
kama ulipokea usisite kutoa tena
Naamini wote mnamkumbuka Fernando Torres El Nino.
Jamaa alipotoka Atletico Madrid kwenda Liverpool alikuwa wa moto sana. Alipofika Liverpool hakuhitaji apewe muda, aliuwasha moto kwa haraka...
—Kwanza napenda kumpongeza sana Muhammad D. Ni moja ya watu ambao wanamchango mkubwa kwa Simba kufika ilipofika. Huyu ni mmoja wa wamiliki wa Simba mwenye hisa kubwa kuliko yeyote as per...
Mtanange wa leo kati ya Simba na TP mazembe ulikuwa mkali sana na wa kusisimua. Hongera sana Timu ya Simba mchezo mliouonyesha leo hakuna mfano. Mmecheza kwa uelewano mkubwa sana na kwa asilimia...
Najiandaa kuhama nchi Simba akishinda Lubumbashi Uongozi wa Jamii Foroum Simba akishinda mnipige ban ya maisha nawa takia ushindi mwema TP Mazembe bana ba Congo piga mutu mukono ya nyani yaani...
Nalipiga baragumu, wa bara na visiwani,
Sikie pate fahamu, wote mje uwanjani,
Simba wamevaa njumu, mazembe jasho kwapani,
Wote mlio timamu, tukutane kwa mchina.
Tukutane kwa mchina, wote mlio...
Simba imepangwa na TP Mazembe ya DR Congo kwenye mechi ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye droo iliyochezeshwa mjini Cairo
Mamelodi Sundowns wakikutana na Al Ahly, Horoya AC vs Wydad...
Katika barua pepe iliyotumwa na TP Mazembe kwa CAF, ambayo tovuti ya timu hiyo imeiweka bayana, inasema kuwa:
Uongozi wa TPM umeianisha njia kadhaa ambazo si za kimichezo ambazo Simba SC...
Wakuu,
Nashauri timu yetu ya Simba ijiandae kimkakati na kiufundi dhidi ya kasi ya ajabu watakayo kuja nayo As Vita, Simba waepuke kabisa kisababisha faulo kwenye 18 au kona.Manula ajiandae na...
Mechi iliyopita kati ya stars na ug mlijionea utapeli wa hawa watu, waliuza ticket nyingi zaidi ya uwezo wa uwanja. Watu walijaa hata pa kuchungulia hamna ile ilikuwa ni hatari
Hawa watu...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kushangilia Twiga Stars ili ishinde mabao mengi na kujiweka katika nafasi nzuri ya...