Wakuu jana Messi kaendelea kuonyesha kuwa bila Barcelona hawezi kushine baada ya timu yake ya Argentina kulambwa 3 kwa moja toka kwa wahuni wa Venezuela hii inaashiria kuwa messi ni kama wifi...
SABABU ZA UZALENDO KUNITOKA NI HIZI HAPA.
1- Walioteuliwa kuunda kamati ya uhamasishaji siyo wanasoka. Hakuna hata mmoja aliwahi kuichezea timu ya taifa, wengine ni watu wenye scandal mbaya kama...
Nimelazimika kutoa chonde chonde hii baada ya kuwasikia kwa masikio yangu baadhi ya wanasiasa wakihamasishana kuvaa sare za chama siku ya mechi.
Ni vema kama sote tukavaa kitaifa zaidi kwani kama...
Serikali haina dini ila watu wake wana dini! Tanzania haina dini ila watu wake wana dini! Watu walishatahadharisha mapema tu hapa! Haya mambo ya misalaba kwenye jezi ya taifa sinunui hata Kama...
TFF wametukosesha hizi fainali wallahi. Game ya kwanza ya Lesotho ilichezwa kana kwamba ni game ya kirafiki baina ya Yanga na Namungo Fc. Majority were not aware as well ikachezewa Chamanzi huko...
Burundi ni nchi ndogo sana ukilinganisha na Tanzania lakini leo wamefuzu walikuwa wanahitaji dro tu zidi ya Gabon na wameipata mechi imeisha moja moja
Yani kwa kweli tusipo fuzu itakuwa aibu na mi...
Hapa kuna mambo mengi sana yameingizwa humu, kuna zawadi, kuna watu wana wasupport wafunge na kuna vipaji.
Siku ya leo ndio tutapata jibu sahihi ya kitakachotokea leo, ile nguvu ya uchawi...
KILA LA KHERI TAIFA STARS, NI ZAMU YETU AFCON2019.
Leo 12:15pm 24/03/2019.
Taifa Stars leo Jumapili jioni itashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa kuandika historia ambayo vijana wengi wa kizazi kipya...
Kule Ulaya na mataifa mengine ambayo yameendelea kisoka,inapotokea kunahitajika hamasa kubwa ya kujenga morali kwa wachezaji na mashabiki basi wale wachezaji Nguli wastaafu hutumika sana...
Nimefanikiwa kuliona pambano hilo lililofanyika jijini Nairobi,Kwa kweli mtifuano ulikuwa mzuri kwani Mabondia wote walikuwa wakishambuliana kwa zamu,hadi mzunguko wa 5 Hassan Mwakinyo...
Burundi leo iimetoka sare ya 1 - 1 na Gabon na hivyo kufuzu kwa fainali za Afcon huko Misri.
Taifa Stars itashinda kesho na hivyo kuungana na Uganda na Burundi kwa safari ya Misri.
Source ITV...
Wazee wa kuweka mkeka hivi hawa jamaa jamaa wanaotoa fixed results za kwenye matches wana ukweli wowote maana sikuiz naona wamejaa kila kona. Embu tupeane uzoefu wasiwe wanawapiga watu kizembe...
Alipo Andika kwa Mara ya kwanza msemaji wa Yanga Dismas Teni ,huu upuuzi wa kuwekewa sumu,nilitegemea TFF mngemtaka Athibitishe mkakaa kimya, sasa hili limeshakuwa tatizo kila timu itakayo fungwa...
WALIOHARIBU BONGO MOVIE NDIO WANAHAMASISHA TAIFA STARS ISHINDE...
Kwa masikitiko makubwa jana nimeona kamati ya kuhamasisha timu ya taifa kushinda ikiongea na wandishi wa habari.
Nikajaribu...
Wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea kambi ya wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Mwenyekiti wa Kamati ya Saidia Taifa Stars Ishinde, Paul Makonda amesema watatoa...
Kenya na Burundi Leo wamefuzu kwenda huko misri.
Kwanini sisi kichwa cha mwendawazimu tushindwe??
Pia hela alizoahidi kutoa #bashite atoe kweli.
Tuna maombi mawili
Sisi tushinde
Cape Verde...
Baada ya Kenya na Uganda kufuzu Mapema kwenda hatua inayofauata ya michuano ya AFCON2019, leo Burundi nayo imeungana nao kwa kufuzu baada ya kutoa sare dhidi ya Gabon! Ikumbukwe Burundi...
Japokuwa Yanga ni team yangu lakini kwa hili naomba niwe mkweli. Hao viongozi wetu waliokuwa wanamwaga mabilioni ya hela kwenye klabu kumbe zilikuwa za ufisadi!
Hela zinapigwa Serikalini halafu...