Kuna wimbo mmoja nimepita sehemu katika mishe mishe zangu nikausikia.. Unaimbwa hivi. Nanukuu..
Mwambie farao nimeokoka sitorudi tena misri naenda Kanani!! Sasa nikajikuta nashtuka nikawaza kuna...
Ball control ndio mchawi namba moja kwa vijana wetu almost timu zote za premier league sana tatizo ni hilo
Kwa Sie tuliocheza mpira miaka ya nyuma kidogo ilikua afadhali sana na tulikua na...
Habari ya alasiri,
Mimi ni mama ninataka kujiunga na mashindano ya magari ninaomba kujua ninapaswa kufanyaje ili nipate nafasi ya mimi kushindana. Ninapaswa niwe na sifa gani?
Nina leseni na...
SWALI 1: Umesema una mipango ya kuimarisha kikosi chako katika msimu ujayo ikiwemo kuongeza nyota kadhaa. . Je mipango yako itakamilika vipi wakati klabu haina pesa? na Je una njia mbadala yoyote...
Ni wazi kwamba Mo Dewji anapigwa hela zake na matapeli yaliyomzunguka. Mazee ya ten percent yameokota wachezaji feki huko nje kwa kushirikiana na mzungu wanadai wanawafanyia majaribio yanawapa...
TAARIFA YA MONACO KUMFUTA KAZI THIERRY HENRY NA KUMRUDISHA LEONARDO JADIM
"Klabu yetu inapitia changamoto kubwa sana. Niko tayari kukiri kwamba mimi binafsi nawajibika kwa hali hii.
Tunapaswa...
Kiukweli binafsi mimi ni mpenzi wa Simba, ila kusema ukweli ni kuwa mpira wa Tanzania bado sana.
But hamna anaepinga kwa sasa Simba ni club bora hapa Tanzania kwani mpira wao uwanjani wanaonana...
Amsema Yanga sio maskini hadi kuwa ombaomba.
Amesema katika uchunguzi wake wa juujuu amegundua Yanga inamashabiki zaidi milioni 5, amesema mashabiki hao kila mmoja akichangia 2500 kwa mwezi ni...
Usiku wa siku ya Al hamisi kuamkia siku ya Ijumaa ya Mechi yao dhidi ya Bandari FC kwenye michuano ya SportPesaCUP.
Wachezaji 7 wa Simba SC wakiongozwa na Maestro mwenyewe Haruna Hakizimana...
Wakuu, Waziri Mkuu was zamani wa Kenya, Leo alikuwa mgeni rasmi kwenye fainali za sportpesa, mara tu baada ya kikabidhi kombe kwa Kariobangi Sharks, ameonekana anataka kuanguka, ilibidi...
Naangalia mechi hapa kati ya simba na mbao kiukweli vijana hawa wa simba sc kuna haja ya kujipanga haswa kwa michuano ya kimataifa maana kuna wachezaji hawajitumi kabisa mtu kama kichuya bado...
Binafsi kama shabiki mkubwa wa Yanga bado namuunga mkono kocha Zahera kwa uamuzi wake wa kukataa kumrudisha kakolanya kama kipa wa Yanga.
Kitendo alichofanya hakivumiliki na kilileta madhara...
Klabu ya soka ya Simba inakabiliwa na ratiba ngumu ya michezo yake ya ligi kuu pamoja na ile ya kimatafa ambapo mara baada ya michuano ya Sportpesa Super Cup inayoanza 22/01/2018 hadi 27/01/2019...
Nimekata tamaa ni wachezaji wa klabu ya Simba kutoka na aina ya uchezaji wao wa kutaka kushangiliwa "Show game".
Wachezaji hawajui kuwa kila dakika timu inataka goli wanatumia muda mwingi kupiga...
Haiwezekani hata kombe dogo tu hili tunakosa
Ivi mpira wa Tanzania mbona haubadiliki miaka yote
Tunakwama wapi ?
Nani ameturoga yaani wachezaji hawana ubunifu kabisa aise ..!
Sent using...
-Kuna uwezekano klabu ya Eveton ikacheza na klabu ya Simba badala ya bingwa wa mchuano ya Sportpesa Super Cup 2019 kutokana na timu zote ambazo zimeingia Fainal hazidhaminiwi na kampuni hilo...
Kwa wale mashabiki halisi wa Simba (Mnyama / wekundu wa Msimbazi) hiki ndicho kikosi kitakachokabiliana na AFC Leopards ya Kenya uwanja wa Taifa kuanzia saa 10 na robo jioni.
Sent using Jamii...
Miaka yote tumekua tukipeleka kikosi cha pili sportpesa lakini this time tumepeleka mashine zetu zote...inatokeaje tunafungwa na bandari tena kwa overcome
hivi mbna hii aibu kubwa kwa taifa...