Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Huyu jamaa anajiita mchambuzi wa soka hapa Tanzania.. Lakini uchambuzi wake ni uchambuzi wa kubomoa, kuponda na kuondoa ari ya soka waliokuwa Nayo watanzania ...uchambuzi uliojaa fitina na chuki...
3 Reactions
41 Replies
7K Views
Simba msimu huu ina kikosi kizuri (sio kipana) kuliko ilivyowahi kutokea misimu mingi sana iliyopita. Lakini Simba ya msimu huu ni mbovu sana kuliko Simba ya misimu mingi iliyopita. Hii inakatisha...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Kipigo cha mbwa mwitu alichopewa Simba na AS Vita Club kilitabiriwa na mtaalamu wa uchambuzi wa soka ndugu Shaffi Dauda mara tu baada ya makundi kupangwa. Shaffi aliweka bayana kabisa kwamba...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wanasema mwanadamu hutakiwi kuwa kasuku kwenye maisha,sababu kasuku ni ndege mwenye maneno mengi lakini hawezi kuruka angani umbali mrefu. Tai "Eagle" ni ndege asiye na maneno mengi lakini huruka...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Nilishasema kitambo ili soka la nchi hii lifanikiwe inabidi tuwe na mipango thabiti kuelekea mafanikio..basi kati ya moja ya mikakati iwe ni kuzifutilia mbali hizi klabu mbili kubwa kongwe na...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa hili la kufungiwa na FIFA sijui ataenda mahakama gani tena imrudishe kujihusisha na soka, Nadani ni wakati wake sasa kijihusisha na netbal, au hata kua mishen town tu, mana alishazoea kupiga...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu, mtakumbuka timu ya Azam ilipata kushiriki ' bonanza ' kama hizi huko Uganda na Zambia. Wakubwa, Yanga na Simba, wakalalamika na kwa kuwa wanasikilizwa na TFF Azam FC ikapigwa marufuku. Na...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Mshambuliaji mpya wa klabu ya Cardiff City aliyeweka rekodi ya usajili ndani ya timu hiyo, Emiliano Sala alipata nafasi ya kutuma ujumbe mfupi wa sauti ndani ya ndege kwa baadhi ya ndugu na...
2 Reactions
36 Replies
7K Views
Hivi kweli kocha anayetafuta ubingwa wa sports pesa anatumia michuano hiyo kama trial match kwa shopping ya defenders na attackers ama kweli Manara na profesa wake Aussems! Sent using Jamii...
0 Reactions
5 Replies
916 Views
Edo Kumwembe, najuwa mnamfahamu vizuri sana huyu mchambuzi, ni mmoja katika wachambuzi bora kabisa hapa Tanzania + Shaffii Dauda...na bila kumsahau Adriano Gulliani, hutu ni Makamu Raisi AC...
4 Reactions
80 Replies
8K Views
Wadau naombeni mwenye kujua anieleweshe mimi hapa, Ivi timu inayochukua ubingwa wa kombe la spotpesa inachukua kiasi gani cha pesa? nawasilisha. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
17 Replies
5K Views
WAMBURA NA MPIRA! 1997, uwanja wa Uhuru ulifanyiwa ukarabati na baadaye yakafanyika mashindano maalumu kwa ajili ya kuuzindua. Kamati iliyosimamia hayo, iliongozwa na mtu mmoja aliyeitwa Michael...
4 Reactions
27 Replies
4K Views
Kocha wa timu ya Monaco ya nchini Ufaransa, Thierry Henry asimamishwa kazi Hatua hii imechukuliwa ikiwa ni miezi 3 tangu apewe jukumu la kukinoa kikosi hicho cha AS Monaco Kwa muda wote huo...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Ikiwa nyumbani Monaco imepigwa bao 4 kwa nunge na timu mbovu ya Club Brugge ya Belgium , Kipigo hiki kinamaanisha kwamba Henry hajawahi kuonja ushindi tangu ateuliwe kufundisha Monaco , ameanza na...
14 Reactions
62 Replies
5K Views
Kuelekea hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Afrika, baada ya kuwakwaruza vilivyo JS Saoura ya Algeria, kwa mikwaruzo mitatu bila majibu, DOZI Kimataifa kuendelea. ..Mwana Kulitaka Mwana...
10 Reactions
246 Replies
23K Views
nani ni straika/foward bora kuliko mwingine kati ya hawa hapa??? HERITIER MAKAMBO~YANGA,,, MEDIE KAGERE~SIMBA,,, ENOCK ATA~AZAM na AMBOKILE~MBEYA CITY. weka ushabiki pembeni, kuwa mkwel,,, tujue...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Julai 2003, Chelsea FC ilinunuliwa na bilionea wa kirusi, Roman Abramovich, kutoka kwa 'babu madevu', Ken Bates. Septemba mwaka huo huo, RA 'akamnunua' mtendaji mkuu wa Manchester United, Peter...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwanini nyuzi zangu zinakufa njiani? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
320 Views
Wakimataifa juzi wamebamizwa na Kaliobangi kutoka kenya kwa bao 3-2 Wakaugeuza Uwanja wa taifa kuwa Jukwaa la Ngumi.Ndio maana Fifa inataka neno sports lisitumike badala yake kuwe na neno...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…