Kila mchezaji wa Simba atakayepata nafasi ya kucheza mechi hiyo, anapaswa kuhakikisha hafanyi makosa ya utovu wa nidhamu hasa kucheza rafu zinazoweza kuwapatia wapinzani faulo zitakazotumiwa na...
Sasa hivi nimekuelewa tafsiri yako ya UNDERDOG
Mwanzo Nilikasirika saana,yaani unaiita Simba UNDERDOG yaani MBWA WA CHINI
Ujumbe wako Shafii waliokuwa hawajakuelewa naamini wamekuelewa kwa...
Wadau wa jf, Jana nilitoa mada kuhusu kutokuwepo kwa habari za matokeo ya mchezo wa Simba huko Congo kuna watu walijibu kua mchezo ulimalizika wakati magazeti yamesha chapishwa hivyo had I toleo...
Upo uwezekano mkubwa sana kwa chumba ambacho timu yetu ya simba ilipewa kuwekewa kitu kibaya , haiwezekani Simba kucheza vile , ni lazima kutakuwa na kitu kimefanyika , hii si ile simba...
Kwanza hongera JF kwa kurudi hewani
Ningependa kujua mtazamo wa watu juu ya wachambuzi hawa wawili wa soka hapa Tanzania.
Mwalimu Kashasha na Dr. Leakey, Wamekuwa wakichambua soka stesheni ya...
FULL-TIME: Simba SC 3 - 0 JS Saoura
Klabu ya soka ya Tanzania Simba SC imemenyana na klabu ya JS Saoura ya Algeria katika michuano Klabu Bingwa Afrika ikiwa ni mchezo kundi D
UPDATES:
SUB...
Kutokana na kasi na uwezo mkubwa wa timu ya AS Vita hasa wakiwa kwao, hiki ndio kikosi ambacho kitawapa tabu kikipangwa.
1) Manula
2) Mlipili
3)Bukaba
4)Juuko
5) Wawa
6) Kotei
7) Niyonzima
8)...
MTANDAO huu kwa muda mrefu sasa umekuwa ukifanya tafiti na kufuatilia mwenendo wa klabu ya Simba katika mechi za ligi kuu soka Tanzania bara msimu huu.
Mwishoni mwa juma lililopita, Simba...
wadau wa soka kama inavyosomeka hapo juu ninaomba ufafanuzi maana hasa ya kikosi cha kwanza,kikosi cha pili na timu B.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari yenu wote humu,
Hivi karibuni nimeona andiko moja lisemalo 'yanga wanamuhitaji mtu kama Haji Manara'. Nimesikitishwa na mwandishi aliyeandika andiko hilo kwani ameandika kishabiki bila...
Kuna dhana kuwa Simba wana kikosi kipana , hii sio halisi. Matokeo ya finali ya Mapinduzi cup yanapingina na msemo huu. Ukweli ni kwamba Simba ni ya Okwi, kagere, bocco, mkude, shabalala, chama...
Simba SC safari bado tunayo tuzidi kupambana kwa maslahi ya klabu yetu na Nchi, Viongozi, Wachezaji, Wanachama Mashabiki na Wadau wa soka, kwa matokeo ya kufungwa na AS Vita Club ni sehemu ya...
Sijafa moyo na hatujafa moyo,tuna imani tutaingia robo fainali,kama sio leo basi kesho.
Constantine wamewatandika TP Mazembe 3G wakiwa kwao. Nyumbani ni nyumbani tu.
Nakubali kuwa beki yetu jana...
kikosi cha yanga leo dhidi ya stand united
match time: 10:00 jioni
stadium: ccm kambarage
kikosi:
1.claus kindoki
2.paul godfrey
3.gadiel michael
4.andrew vicent {dante}
5.kelvin yondan
6.abdalah...
Watu wanachonga Sana Mara baada ya simba SC kupigwa tano -kwa bila na As vita club.lakini wanashindwa kujua kuwa hilo ni kawaida almost duniani kote,ukiangalia Jana hata timu kubwa Kama Tp mazembe...
Katika soka lolote linawezekana, japo ukweli ni kwamba soka la kisasa ni la kisayansi na linaenda sambamba na uwekezaji. Washindani wenu wakuu katika kundi AL AHLY na AS VITA wamewazidi katika...
MWAKA 1998 YANGA SC WALIFANIKIWA KUINGIA HATUA YA MAKUNDI CLUB BINGWA
YANGA WALIWEZA KUWEKA RECORD MATATA AMBAYO SIDHANI KAMA KUNA TIMU ITAKUJA KUIFIKIA
YANGA ILIWEZA KUWEKA RECORD YA KUFUNGWA...
......Mkiambiwa UnderDog muwe mnaelewa.
Shafiii ndo Mchambuzi Bora Tanzania... Tatizo mashabiki wengi Majuha na Hawajuhi chochote zaidi ya Upuuzi... Wanapenda kusikia maneno matamu matamu Hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.