Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Habari ndugu zangu kutokana na matokeo mabovu ya Taifa Stars inaenekana dini kubwa Tanzania tunashindwa kupambania taifa kwenye michezo hasa football. Vilabu vya kariakoo vimejaza dini moja...
3 Reactions
25 Replies
549 Views
Alhamis ya leo Oktoba 10, Taifa Stars itakuwa dimba la ugenini ikicheza na DRC, mchezo wa kuwania kufuzu fainali za AFCON 2025 nchini Morocco. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 1:00 usiku Pia...
11 Reactions
312 Replies
13K Views
Ila waarabu. Nimewavulia kofia. Nigeria wameona cha mtema kuni humo Libya baada ya kukarishwa airport kwa masaa 16 bila huduma yoyote. Wakiwa wamefungiwa. Hakuna hata WIFI. Hii ni zile harakati...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Ushindi wa Simba kesho ni uhakika kwasababu moja tu. MO NI BINGWA WA MIKAKATI NJE YA UWANJA. Kuna taarifa nzuri sana kuwa tayari ameshamalizana na wachezaji waliokwenda kuzitumikia timu zao za...
2 Reactions
14 Replies
741 Views
Msiseme hatukujua!! wewe unajipeleka kwenye mdomo wa simba huku ukijua ana njaa unategemea nini? Simba 3 - 0 Yanga.
1 Reactions
1 Replies
159 Views
MH GAMONDI AMESEMA SIMBA ITAFUNGWA KUTOKANA NA SHAUKU YAO KAMA WANATAMAN MAGOLI MENGI WATAPEWA WANACHOTAKA ▶️MIGUEL GAMOND ATOA NENO KUELEKEA DERBY . 🗨️''Mechi yetu dhidi ya Simba maandalizi...
1 Reactions
6 Replies
538 Views
Kama uzi unavyojieleza; Simba 2-1 Yanga Twende kazi,tuone utabiri wako…
0 Reactions
7 Replies
453 Views
siku ya jumamosi ndiye namuona kama mchezaji hatari kwa Simba SC kutokana na ubora wake ndani ya uwanja, Maxi kama yupo fiti lazima atakupa mechi bora sana kuanzia nguvu hata kasi na ufanisi...
8 Reactions
21 Replies
1K Views
Kama mnavyojua, Simba na Yanga ndio mtaji wa wanasiasa wa Tanzania. Hebu tabiri unahisi tukio gani la kisiasa lazma litajitokeza uwanjani?
0 Reactions
1 Replies
213 Views
Beki wa kati wa klabu ya Simba SC , Abdulrazack Hamza bado hajafanya mazoezi na klabu yake tangu alipopata majeraha ya njama za paja akiwa timu ya taifa ( Taifa Stars ) Taarifa zinaeleza kuwa...
1 Reactions
12 Replies
893 Views
Hapa ndio simba wanafeli Na hapa ndipo viongoz wanapiga hela Wenzenu wanapiga misumari kina ateba na wenzie Amjiuulizi kila mechi mnajadili hivi ndio hiyu kweli wa u tube Watu wanamalizaba na...
0 Reactions
2 Replies
304 Views
Wakuu, Mechi hii nashangaa haina amsha amsha za watani kuomba Ban. Ni kwamba hamjiamini au, au kila mmoja anajua atanyukwa?:KEKLaugh: Au ndio mnaogopa yaliyomkuta aliyemba ban mara mwisho? Mimi...
5 Reactions
12 Replies
470 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ametangaza rasmi kuwa timu ya Coastal Union ya Tanga, maarufu kama "Wagosi wa Kaya," sasa itaanza kutumia Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kama uwanja wake wa...
0 Reactions
3 Replies
444 Views
Hivi umewahi kuona wachezaji wanatoka kwenda kujisajidia?ndani mchezo ukiwa unaendelea iwe dakika 45 za mchezo ama zile 45 za kipindi cha pili. Toka nijue mpira sijaona hata aliepata haja...
11 Reactions
61 Replies
2K Views
Kila mtu ni mchambuzi wa soka. Kila mtu anajua sheria za FI FA Watu wanakula na kuishi kupitia mpira. Tunasubiri nini
2 Reactions
5 Replies
375 Views
Kutoka kushoto ni Suleiman Nyambui, Luis Posso(Posso International Promotions) , Mao Hando , Zakarie Barie , Yuich Isaka (Asics) na Mwanariadha Gabriel Gerald Geay. Kampuni ya Posso...
0 Reactions
0 Replies
121 Views
Hatimaye plan ya Nabi kumleta Kaze ndani ya Kaizer Chiefs imetimia. Unaweza kusema colabo yao ndani ya Yanga katika misimu miwili yenye mafanikio imeifanya Kaizer nao kuwapa nafasi ya kufanya kazi...
5 Reactions
9 Replies
501 Views
“Yanga SC wamekuwa bora zaidi ya Simba SC hawawafungi wapinzani kwa bahati mbaya. This time Simba SC wataingia kutaka kuondoa uteja na uwezo huo wanao. Katika mechi 13 zilizopita Simba SC kashinda...
6 Reactions
44 Replies
1K Views
Zinaweza kufika 7 na kama zitapungua zitakuwa 4. Baada ya game msiniulize nilijuaje
4 Reactions
11 Replies
531 Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa amesema Serikali iko tayari kufanya kila linalohitajika ili kuwezesha Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON 2025. Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Back
Top Bottom