Ni mapumziko hapa Chamanzi Kcca wakiwa wanaongoza kwa goli 1-0 huku mtibwa wakionyesha kiwango kibovu kabisa kuanzia benchi la ufundi hadi wachezaji ndani.
Kwa mpira huu ni ngumu sana vilabu vya...
Ndoto ya muda mrefu ya kiungo fundi Tanzania mwenye Kipaji cha kuzaliwa Haruna Moshi Boban kukipiga ndani ya klabu kongwe na yeye historia ya kipekee Afrika "YANGA" imetimia
Mpaka sasa dk ya 10...
Kitendo kilichotokea leo sijawahi waza kuna siku ntashingilia mikia.bao la chama lilinifanya nishangilie huku nmekunja uso na kujawa huzuni sana.
Sielewi ilikuaje lakini nlijikuta nmeamka na...
Mechi dhidi ya Ruvu shooting alifunga bao la ushindi kavua jezi, kashangalia baada ya mechi kama kachukua ubingwa. Hizi sio tabia za wachezaji proffesional anaonekana anabahatisha.
Ona Chama...
Habari zilizonifikia hivi punde tu zinasema kwamba ' Makomandoo ' wa Simba SC katika hali ya Kuonyesha kuwa hawana ' Utani ' kabisa hasa kuelekea Mechi yao ya Kesho dhidi ya Nkana Red Devils jioni...
Ama kwa hakika awamu hii inasikitisha mno ! Kulikuwa kuna juhudi zilizofanyika ili game ya Simba vs Nkana ichezwe jumamosi au jumatatu ili kuwapa nafasi watanzania wengi kuhudhuria mapokezi ya...
Ebwana wanaJF Mzuka!
Leo hapa Copenhagen mchana nilikuwa najinyoosha kidogo nikakutana na waafrika wenzangu wanne. Nikamuomba mmoja anipige picha kwenye simu yangu. Baada ya kunipiga tukaanza...
Hawa Nkana red devils kesho watavaa jezi gani wakuu?
Kwa ule mpira walionesha wiki iliyopita kwa mtu yeyote mpenda mpira mzuri, mpira wa burudani basi ile ni timu ya kwenda kuipa support?
Narudia...
Tumejitahidi hadi hivi sasa kwa Nguvu za Giza na kuna Goli 2 ila na Wao pia watapata Goli 1 hivyo ' Upepo ' bado unaweza ukawa siyo mzuri Kwetu. Na hali hii imekuwa ngumu hivi Kwetu kwakuwa kuna...
TUZO YA MESSI
ZAWADI PEKEE AMBAYO ANASTAHILI MWANADAMU HUYU
NA
NIHZRATH NTANI JNR
Jioni moja, ukiwa umejipumzisha nyumbani. Umri wako sio ulionao sasa, wakati huo. U mzee ,mwenye mvi nyingi...
Kufanya biashara ya kuonesha mpira wa miguu; Fursa pekee iliyoko nyuma ya pazia!
Mpira wa miguu ni mchezo unaopendwa sana hapa duniani. Ni mchezo pekee ambao unawashabiki wengi tena wa Lika zote...
Ili jiji litulie na sisi yanga tuwe na amani na mwendelezo wa kipigo kwa wapinzani wetu nkana wameingia hapa jana na sasa wanakutanishwa na mzee wetu mutu ya kongo.
Mlidhani kwa kumtambua yule wa...
Kwa walioangalia game Ya Juventus Na Young Boys Juzi ambapo kama kawaida Cr7 Ameanza mwanzo mwisho
Cha kuuliza hapa watu wanapata wapi uthubutu wa kulinganisha uwezo wa Messi Na Christian Ronaldo...
Zingatia:Kabla sijaenda mbali zingatia hili-katika mara zote walizokutana Simba SC haijawahi kuifunga Nkana au kutoa droo pale Kitwe,Zambia.Halikadhalika NKANA HAIJAWAHI KUIFUNGA au KUTOA DROO NA...
Yule kiongozi wa vyura ambaye yumo katika orodha ya washtakiwa wa mheshimiwa waziri, yeye pamoja na mchezaji anayecheza nafasi ya beki katika kikosi cha timu ya Nkana FC, wameonekana mkoani...
Wakuu utabiri wa hali ya hewa jijini Dar es Salaam unaonesha tarehe 24/12/2018 kutakuwa na jua kali na hamna dalili yoyote ya manyunyu wala mvua.
Kuna mtu huwa anategemea mvua miaka yote ili...
Yule mchezaji wa kimataifa anaewasumbua wazungu samagoal ametimiza miaka 23 Leo hongera kwake
Ikumbukwe samata amejifunga mkataba mpya klabuni hapo hadi 2021 ambapo kwa mwezi anakula milioni 500