Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Comeback ya nguvu kama kawaida ya mabingwa wa muda wote Young Africans kupitia magoli ya Shaibu Ninja na Makambo the Congolese international,baada ya kuwa nyuma kwa goli moja hadi kipindi cha...
10 Reactions
27 Replies
4K Views
Mashabiki wa simba hamna haja ya kufurahia viporo vyenu kwani wapinzani wenu wameshinda mechi zao kwa hyo mjiandae kisaikolojia viporo kuchacha
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Timu inaelewana na kizuri zaidi timu inachukuliwa kama underdog hivyo mpinzani akija na mentality hii lazima ageuziwe matokeo kama alivyofanyiwa vijibibi vya Turin palepale kwao akala kipigo. Man...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Huyu kocha wa Arsenal ananishangaza sana ! hajui kiingereza lakini analazimisha kuongea huku watu wote hatumuelewi ! Amedanganywa na nani ?
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Espanyol 0 Barcelona 4 Messi kaingia kambani x2 na ametoa assist Ya goli la pili la Dembele Kwa walioshuhudia jinsi Messi alivyofight ktk game hii, ambayo kwake Ni game yake ya pili tangu atoke...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Hapa ni baadhi ya wachezaji wa Ufaransa waliobeba Kombe la Dunia katika ardhi ya nyumbani mwaka 1998. Je ndugu yangu mhenga unamkumbuka nani hapo kwenye picha?
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwanza kabisa ninakupongeza kocha Zahera na wachezaji wote kwa mshikamano mlionao tangu ligi ilipoanza mpaka sasa hamjapoteza hata mechi moja. Kwa wapenzi wa Klabu jirani zetu kila mara...
9 Reactions
27 Replies
3K Views
Heeeeey wadau naomba kufahamishwa matokeo ya Azam mechi inayopigwa mda huu
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Taifa letu pendwa limekuwa na timu kadhaa za taifa katika michezo mbalimbali miongoni mwao ni za soka, mpira wa kikapu ,riadha, kuongelea na kadhalika.Mara nyingi timu za soka zimekuwa zikipewa...
0 Reactions
3 Replies
994 Views
Habari members wenzangu!!! Matokeo ya mechi zilizochezwa leo 10/12/2018 kama ifuatavyo. Morocco 5-4 Ivory Coast Egypt 4-2 Madagascar Nigeria 4-2 TANZANIA Baada ya kupoteza mechi zote tatu katika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
i don't get the answer why ronaldo din't attend the balon d'or festival
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mbwa koko alivyookoa bao mechi ya ligi πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ€£πŸ€£πŸ€£ Mbwa koko alivyookoa bao mechi ya ligi Argentina 7 Disemba 2018 Tazama wakati mbwa koko alipookoa bao katika mechi ya ligi ya daraja la tatu nchini...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mtazamo Wang naona Azam anachkua TPL 1.Aina ya Coach waliyenaye 2.Wana vipaji vingikwa sasa hasa vijana ambao kasi yao Du hatari. SIMBA na YANGA wajiandae kisaikolojia
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Yatandikwa bao 12 soka la ufukweni .
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Kilichobakia kuifunga yanga tu ni mahakama na sivinginevyo.
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Beach soccer Afcon
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Yanga walibahatika sana kupata saini ya huyu mchezaji, mimi Simba lakini Makambo ni habari nyingine, huyu jamaa akicheza timu kama Totenham au Man U basi naona kabisa watu watakavyosugua benchi...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Kwanza na'declare interest mimi ni shabiki wa Simba kindakindaki! Nirudi kaika mada juu..Nimemtazama jama (Mwaikimba) katika mechi kama sita hivi za karibuni. Amebadilika sana! Hakosi magoli ya...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
...Wakuu salaam! Kuna mdau kaanzisha mada na kuonesha Yanga ni namba 1 kwa kuwa na washabiki wengi, binafsi nakataa. Simba ndiyo inaongoza kwa kuwa na washabiki wengi. Sasa ili kuweka rekodi...
0 Reactions
86 Replies
14K Views
Huu ni uwanja wa La Bombonera, unaambiwa mashabiki zaidi ya 49,000 walijazana hivi kuangalia mazoezi πŸ˜±πŸ’™πŸ’› ya timu yao Boca Juniors.Thats football in its best manifestation Tomorrow is a second...
2 Reactions
95 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…