Kelele za kumtaka wenger aondoke zilitapakaa kila kona kutoka kwa mashabiki wa
Arsenal, natamani kujua baada ya Wenger kuondoka mnaionaje Arsenal? Imeanza
kuonesha dalili ya kuwa mnavyotaka?
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF), limetangaza ratiba ya michuano ya mabingwa wa Afrika na Kombe la Shirikisho barani Afrika katika ngazi za vilabu.
Katika ligi ya mabingwa barani Afrika...
Jamani kitaa kuna fursa nyingi zinazoitaji uthubutu tu, unaanza kufuta jasho kwa noti.
Wazazi wengi wa kileo wanapenda kuwarisisha watoto Wao ujuzi wa kitu Fulani.
Sasa mid nimeona kuna fursa ya...
ALL THR BEST MTANI
HUWA KWENYE UTAIFA SINAGA ROHO MBAYA
MH AMEMSHUKURU LOWASSA KUWEPO KTK MAENDELEO YA NCHI NA KUSHAURI WAONDOE UÇHAMA KWENYE MAENDELEO YA NCHI ELSE WATAISHIA SEGE........
sasa...
Mzuqa
Sasa vile vinywaji vimekosea nini hadi havibamize chini?
Kanichekesha sana. Kwanza kapiga buti kreti ya kwanza ya vinywaji halafu akainua kreti ya pili nakuibamiza chini in a wild...
Leo kwenye mechi kati ya simba sc na Lipuli fc kumetokea vitendo vya kishirikina.Ilipofika muda wa mapumziko mchezaji wa simba Dilunga alikataa kutoka kwenye pitch ya uwanja mpaka pale wachezaji...
Mourinho azua vituko tena Old Trafford
Arsene Wenger alifukuzwa uwanjani kwa kupiga teke chupa za maji alipokuwa meneja wa Arsenal walipokuwa wanacheza Old Trafford mwaka 2009.
Habari wa ndugu,
Naizungumzia Taifa Stars kuelekea Afcon 2019. Kwanza Taifa Stars ikienda sare dhidi ya Uganda mwakani tayari imeshajitoa wenyewe kuelekea Afcon. Mungu ajaalie Taifa Stars 5-0...
Nikili wazi kabisa mm ni mfatiliaji wa mechi wanazolusha azam tv iwe ligi ya spain, ligi kuu tanzania bara au mechi za CAF kiukweli kabisa wamejaliwa watangazi wazuri wa mpira.
Mwanzoni wakati...
Nikifikiria mechi iliyo mbele yetu ya kufuzu AFCON, naona ni mechi rahisi sana kwetu. Lakini kinachoniwazisha zaidi ni kwamba ni mechi ambayo kwanza Refarii atakua na wasiwasi sana na maamuzi yake...
Je! Unakubaliana na mimi kuwa huyu ndiye king of football kuwahi kutokea since dunia iumbwe!!
Wachache sana watakuja kupinga lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.
Kuna mtu humu simkumbuki aliwahi kuandika uzi usemao "Taifa starrs hatuendi Cameroon" ,ilikuwa hata kabla ya mechi na lesotho na alitoa pointi zake, na aliongea kwa kujiamini sana, naanza...
Leo kutakuwa na mtanange wa kukata nashoka kwenye moja ya viwanja bora kabisa nchini, uwanja wa kaitaba huko bukoba, yanga atakuwa akitafuta points tatu muhimu ili kujikita kileleni mwa ligi na...
2566 League One
Sunderland - Barnsley
1X 1.40
2556 League One
Bristol Rovers - Gillingham
Over(1.5) 1.24
1195 UEFA Champions League
Bayern Munich - Benfica Lisbon
1 1.32
1280 UEFA Champions League...
Game 2
8193 Primera Division
Real Sociedad - Celta Vigo
X2 1.90
4121 Serie A
Cagliari - Torino
X2 1.38
5523 Liga 1
Madura United - Psis Semarang
Over(1.5) 1.16
4970 Ligue 2
Metz - GFC Ajaccio
1...