Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ilikuwa kama vile Morata asajiliwe na Man Utd na Lakaku asajiliwe na Chelsea. Lakini imekuwa kinyume chake. Man Utd wamemsajili Lakaku na Chelsea wanamsajili Morata. Wapo wanaodai kuwa Lakaku ni...
9 Reactions
171 Replies
27K Views
Watu wana maneno sana wakati Ronaldo yupo Real Madrid akifunga magoli 40+ kwa msimu kuna baadhi wakaanza maneno eti Ronaldo anabebwa na kina Benzema kwani wanalazimika kumpasia yeye tu ili afunge...
13 Reactions
145 Replies
12K Views
Hivi walitumia vigezo gani walitumia kumchagua uyu ndugu karia RAIS wa taasisi kubwa kama tff anashindwa kushwawishi wadhamin kuja kuwekeza pale Yaani yupo yupo tu na program anazozileta zisizo...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakati Ronaldo Luiz Nazario De Lima aliposajiliwa Inter Milan mwaka 1997 alikuta jezi namba 9 inavaliwa na mshambuliaji mahiri wa Chile, Ivan Zamorano. Hivyo kutokana na sababu za kibiashara...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Patashika la mtifuano wa ligi kuu ya Tanzania bara TPL, linatarajia kutimua vumbi leo Ijumaa Novemba 23, 2018 na kesho kutwa ambapo katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam mabingwa wa nchi...
5 Reactions
169 Replies
18K Views
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imepitisha majina ya wagombea nyadhifa mbalimbali za uongozi ndani ya klabu ya Yanga. Nafasi hizo ni zile za Uenyekiti, Umakamu na zile za...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
-Basi la mashabiki lililoenda Lesotho kuisapoti timu yetu ya Tanzania kwenye mchezo kufuzu Afcon 2019 kupitia Mbeya hadi Afrika Kusini sasa limegeuka basi la Walevi na wafanya Starehe. Basi hilo...
9 Reactions
92 Replies
9K Views
Timu ya mpira wa miguu wa Ufukweni ya Tanzania imetwaa ubingwa wa michuano maalum ya Beach Soccer ya Copa Dar Es Salaam 2018 baada ya kuichapa Uganda 2-1 kwenye mchezo wa fainali Nafasi ya tatu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Aman kwenu Naomba kujua online TV itakayo onesha hii mechi
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Huyu jamaa hana uwezo wa kucheza timu kubwa! Hajui kukontroo mpira, ana touch mbovu, ni mzito sana na mwisho huwa haonekani kwenye mechi kubwa, kwa kifupi ni mzigo na hafai kuwepo kwenye timu...
15 Reactions
161 Replies
54K Views
Kombe pekee walilokuwa wana nafasi ya kushinda ni lile la Carabao Cup ambalo wameondoshwa jana baada ya kufungwa 2-1 na Bristol City ya daraja la kwanza. Hivyo amebaki kwenye Michuano ya Ligi...
6 Reactions
94 Replies
10K Views
Alex sanchez ni miongoni mwa majina ya wacheza yanayo tajwa sana katika dirisha hili dogo la Usajili na inaeelekea Mchezaji huyu mashuhuli wa kimataifa wa Chile atamwaga wino na mashetani wekundu...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Naomba mjuzi aliyeona..Kama nimeeleweka plz
0 Reactions
6 Replies
798 Views
Mnamo Novemba 21, 2018 TFF iliiandikia barua klabu hiyo na kuitaka ibadili jina lake kutoka 'Young Africans Sports Club' na kuwa 'Young Africans Football Club' Katika barua hiyo iliyoandikwa na...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
[Welcome to Twitter] [Home / Twitter] is good,have a look at it!
0 Reactions
0 Replies
708 Views
Boca Juniors filled their entire stadium for a training session - Independent.ie
2 Reactions
4 Replies
959 Views
Wakuu leo naona tunapigwa kabisa kwakweli tujipange kuvumilia maumivu ===== UPDATES Kikosi cha timu ya Taifa cha Tanzania 'Taifa Stars' leo kimeshindwa kuandika historia ya kukata tiketi ya...
4 Reactions
1K Replies
108K Views
Habari wakuu... Ni sehem gani nzuri kwa kuangalia mpira (EPL) sehem zenye Big screen Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Boca Juniors filled their entire stadium for a training session - Independent.ie
1 Reactions
0 Replies
657 Views
Naweza kusema TFF imesahau majukumu yake. Haiwezekani kila kukicha ni malalamiko kwenye taasisi hii ya kisoka. Hebu angalia kuanzia uendeshaji wa ligi za mikoani, madaraja ya chini na hasa daraja...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…