Ni hayo tu !
Watanzania wakiwa na hamasa kubwa na mechi,huwa tunapigwa, Mech ya Cape verde ya kwanza na ya Lesotho hii na nyingine nyingi zinathibitisha
Tunaenda Afcon sababu,Mechi dhidi...
Uganda the cranes wamefuza fainali zijazo za AFCON kwa kuifunga Cape Verde 1:0.
Hivyo Cape Verde wanabakia na point 4 na endapo wataifunga Lesotho mechi yao ya mwisho watafikisha point 7.
Taifa...
Viongozi wa TFF tuondoleeni hiyo takataka... hana nia njema na Timu yetu
Ni dhahiri kabisa huyu kocha hatutakii mema sisi watanzania, ambao ni mashabiki wa timu yetu ya Taifa..
Mechi na cape...
Ukiangalia kikosi kinachoa anza, ni rahisi hata kubet na kuiua stars. Kocha huyu hajifunzi hata mechi ya kule verde, wachezaji waliobadilisha mchezo bado amewaweka benchi.
Hivi ametumia akili...
Hiii TAIFA STARS cjui ni namna gani..timu Leo haikuwa hata haieleweki inacheza kwa namna gani..hakuna flow of play kabisa..Lesotho ni team nzuri ila nadhani imefanya juhudi kusoma michezo ya TZ...
Ukiangalia kikosi kinachoa anza, ni rahisi hata kubet na kuiua stars. Kocha huyu hajifunzi hata mechi ya kule verde, wachezaji waliobadilisha mchezo bado amewaweka benchi.
Hivi ametumia akili...
Ukiangalia kikosi kinachoa anza, ni rahisi hata kubet na kuiua stars. Kocha huyu hajifunzi hata mechi ya kule verde, wachezaji waliobadilisha mchezo bado amewaweka benchi.
Hivi ametumia akili...
Hali ya barabara ya kuelekea Cameroon kwenye fainali za AFCON au CON 2019 ikionekana kuwa safi na siyo na matuta mengi.
Tanzania inacheza na Lesotho jumapili hii ikiwa na pointi 4 nyuma ya Uganda...
TFF ambao ndio wasimamizi wa mpira wa miguu , wanaye msemaji wake hakuna haja ya waziri kupora cheo cha mtu , ataharibu !
Ifahamike kwamba TFF inaye msemaji wake ambaye analipwa kwa kazi hiyo ...
Maradona;
Nimesha sema sana Mourinho ni kocha bora sana kuliko Gardiola.
-Mfumo wa tick tack(pasi nyingi)yeye sio mwanzilishi,ameiga kwa Johan.
-Kwa sasa anabebwa na pesa za waarabu,anasajili...
Mungu tunakuomba uibariki na kuiongoza timu yetu ya Tanzania katika mchezo dhidi ya Lesotho...... Mungu ukawabariki walinzi wake wote bila kumsahau Manula..... Ukawatie nguvu na wepesi katika...
Ni dhahiri kuwa baada ya Uganda kuichapa Cape Verde pale Kampala na hatimaye kufuzu AFCON 2019, Tanzania ina nafasi kubwa sana ya kufuzu pia.
Sasa wakati timu yetu ikisubiri kutupa zawadi hiyo...
Wengi wanaibeza Lesotho na kuona kuwa tumewafunga. Swali Kama ni kibonde Mbona tulishindwa kuwafunga hapa TZ tena mbele ya kina Samata. Tunaweza tusiamini kesho ratio wachezaji wetu ni wepesi...