Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

I am confused just like when young African fan or Simba fc fan disgusted by performance of the club. Man utd fans are almost tired with the drama of the management. The says who knows who, and who...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Club ya Chelsea imekumbana na adhabu ya kutokufanya uamisho wa wachezaji kwa miaka miwili na shirikisho la soka duniani FIFA,Adhabu iyo inakuja baada ya chelsea kufanya usajili wa mchezaji...
4 Reactions
15 Replies
6K Views
Mbunge wa Mtera Mh. Lusinde hivi karibuni akihojiwa na Clouds FM aliponda kitendo cha Manji kutangaza kurudi ktk nafasi ya uenyekiti wa Yanga wakati alijiuzulu mwenyewe. Alifananisha kitendo hicho...
7 Reactions
8 Replies
2K Views
Mara nyingi timu yetu inapohitaji matokeo hata ya sare huwa tunafungwa hata kama tunacheza na Timu mbovu lakini kunapokuwa hakuna haja ya matokeo hata kama tukicheza na Brazil tunaweza kuwafunga...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba nieleweke sio kwamba naiombea mabaya taifa stars ila najaribu kueleza dalili za taifa stars zitakazosababisha kutopata matokeo ya kueleweka dhidi ya lesotho. Kwa uzoefu wangu wa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Wadau kutokana na changamoto ya bando inayoweza kumkuta memba yeyote humu ndani. Naomba kwa niaba yao tuwe tunatupia ratiba na matokeo ya mechi Kali za ulaya kila siku kwenye Uzi huu. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amemweleza wazi Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji, kuwa aache kuichezea Serikali, kama bado ana mapenzi na klabu...
0 Reactions
38 Replies
9K Views
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga Obrey Chirwa atajiunga Azam FC, kesho anategemea kusaini mkataba ndani ya mabingwa hao wa Afrika mashariki na katizamani wa Yanga Obrey Chirwa atajiunga Azam FC...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Huwa najiuliza sana na kukwazika pale ninapoona wachezaji vijana wa Tanzania vijana kabisa damu inachemka wanastaafu wakifikisha miaka 30! Sijui tatizo ni nini ila ningetegemea wakipige mpaka...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Hii ni baada ya juhudi zake za kuipata bure timu hiyo kugonga ukuta . Wanayanga wanashangazwa na mtu ambaye ni kiongozi wa yanga ambaye ana uwezo wa kuitafutia yanga udhamini mkubwa lakini eti...
4 Reactions
68 Replies
7K Views
KAMA KUNA WAKATI UMEFIKA N SASA YANGA KUONYESHA UMOJA WAOO YANGA ITAONGOZWA NA VIONGOZI WANAOTAKA WAO KAMA.WANA YANGA NA SI VINGINEVYO TUSIRUHUSU DAMU ZA SIMBA KUINGIZWA JANGWANI KAMWE YANGA...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Shirikisho la soka nchini TFF kupitia Kamati ya Maadili, limewafungia Mwenyekiti wa matawi ya klabu ya Yanga, Bakili Makele na Katibu wa matawi ya klabu hiyo Boaz Ikupilika kujihusisha na soka kwa...
3 Reactions
32 Replies
6K Views
Waharakishe kwa sababu wabongo wabishi Man Utd news: ‘Time's up’ - United told to SACK Jose Mourinho after saying THIS about star
1 Reactions
9 Replies
994 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Sports Pesa Tarimba Abas akizungumzia michuano ya Sports Pesa Super Cup inayotarajiwa kuanza Januari 22 mwaka 2019. Na Zainab Nyamka,Globu ya jamii KLABU ya Mbao FC...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Yanga timu yangu pendwa kabisa imekuwa ikipitia kipindi kigumu kwa takribani msimu mmoja na nusu hivi tangu uongozi uanze kuyumba na kupalaganyika,timbwili lilianza baada ya Yusuph...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Ukiacha ile ya kukimbia na mpira kama mwendawazimu sijui wenyewe mnaitanga kudribble, ni kipi yule andunje anamsogelea yule fundi wa mpira? Mbona kama karibu kila kitu kazidiwa? Najua wengi...
13 Reactions
115 Replies
9K Views
Niwe muwazi na mkweli, toka kustaafu kwa beki wa kati wa zamani wa Man Utd, Leeds United, QPR na timu ya taifa ya England bado sijaona beki wa kariba yake barani Ulaya. Rio ni miongoni mwa beki...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Pamoja na ukweli kwamba MO ni kada mtiifu wa CCM na Hans Pope ni Chadema lakini kule kandandani hawa ni wamoja. Mo amemteua Hans Pope kuingia katika bodi ya Simba katika nafasi zake sita kama...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi kinachomchelewesha kujiuzulu huyu jamaa ni kitu gani , analindwa na nani na kwanini ? lengo la kiongozi yeyote ni kuendeleza soka kwa kuhakikisha vilabu vinawezeshwa kiuchumi ili viweze...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Hivi Serious Yanga mnakubali huu mtego wa Manji?. Sio kwamba simtaki Manji bali Yanga kwa sasa inahitaji viongozi wapya ambao watakuja kuinusuru klabu hali mbaya kwa sasa kwenye klabu wachezaji...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…